Utamwambia vipi mwanaume kuwa hajawahi kukufikisha kileleni bila kumfanya ajisikie vibaya?

Maji yashamwagika hakuna cha kumwaga tena
...saiv yanazama tu chini... Ila wanawake mna mambo... Na hapo aliambiwa amtunzie siri... Ila kwa vile umbea blood... Makoo yenu yana ukurutu... Hakuna namna...
 
Mkuu mwambie hakuna mwanaume wa kukufikisha kileleni ila wewe mwenyewe mwanamke pambana ufike kileleni,yaani pesa nitoe mimi,kuingiza na kuhangaika kupump mimi tena nihangaike kukukojoza wewe,aaah thubutu!!
Wapo
 
Mkuu wangu asante kwa ushauri wako ila imagine binti anaomba waandaane kwanza ila mtu anasema hakuja haja anachomeka ana pump anakojoa then THE END .
I like the guy, focus on more important issues, chomeka kojoa, chomoa then lala fofofo kwa ajili ya nguvu ya kutafuta pesa kesho.
 
Kila mwamba nvoma huvutia kwake, binti kaja na malalamiko kwako na umeshaur amuache jamaa. Naona hauko sahihi labda kama huyo binti ni wewe ila kama sio wewe basi hakutakiwa kumuacha.

Ni tatizo dogo hilo kutibia kwa miaka hii. Huyo dem atabadili wanaume wangapi ili apate alie perfect. Ex wake anamkojoza wameachana, huyu nae anatemana nae, ataenda kwa mwingine nae akikuta ana kitu hapendi list itaendelea.

Asimuache, amtibu.
 
Reactions: Cyb
Ni mawazo yako tu
 
Asante kwa ushauri mzuri mkuu.Nitampatia binti labda utamfaa huko aendako
 
Ila sisi wanawake tuna Siri...

Unaweza ukawa unaona unamfikisha kileleni kumbee [emoji1787]

Yaani anakuigizia...

Alafu akitoka hapo kimyaa, anakuchora...

Wanawake vicheche wanaenda kwa watu wao wanaowafikisha kileleni...
Kwa kuangalia hizi koment inaonesha kaka zetu wengi hapa wanasaidiwa uanaume na bodabodas
 

ukiachana na huyo ambaye hajawai mfikisha !! Je ashawai fika kilelen huko nyuma? ushangae hamna mwanaume ashamfikisha
 
How do you open up to someone who says there is no need for foreplay and is always tired?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…