Utamwambia vipi mwanaume kuwa hajawahi kukufikisha kileleni bila kumfanya ajisikie vibaya?

Dada yangu kumfikisha mwanamke kileleni kuna raha yake aisee, yaani anavyolia huku anajinyonga nyonga, na kukukumbatia.

Baada ya hapo anakuganda kama luba, anakuwa mtiifu mno ili usimuache, siku nyingine mechi anakuita yeye mwenyewe.
 
Dada yangu kumfikisha mwanamke kileleni kuna raha yake aisee, yaani anavyolia huku anajinyonga nyonga, na kukukumbatia.

Baada ya hapo anakuganda kama luba, anakuwa mtiifu mno ili usimuache, siku nyingine mechi anakuita yeye mwenyewe.
Kabisaaa, yaani huyo mtu anayekufikisha ukiona simu yake tu unatetema.....
 
Kabisaaa, yaani huyo mtu anayekufikisha ukiona simu yake tu unatetema.....
Kumbe ndo mnavyokuwaga hivyo 🤣 😂, lakini kila mtu na mtu wake, mwanaume unaweza ukamkojoza msichana A na B, lakini ukashindwa kumkojoza msichana C. Watu wapo tofauti kabisa, kwahiyo usishangae unapokutana na jambo tofauti.
 
kama hata hilo hawawezi kuongea kwa uwazi ni wazi hakuna mapenzi hapo, wapo wanaigiziana tu.
 
We sema tu umemchoka mwamba wetu unataka ubadilishe tu maana nyie sababu haziwakosagi mwache tu mfate yule aliyekuwa anakufikisha kabla ya huyu
 
Kumbe ndo mnavyokuwaga hivyo 🤣 😂, lakini kila mtu na mtu wake, mwanaume unaweza ukamkojoza msichana A na B, lakini ukashindwa kumkojoza msichana C. Watu wapo tofauti kabisa, kwahiyo usishangae unapokutana na jambo tofauti.
Ni kweli,ila anayekukojoza ana heshima zake.
 
Hiyo simple!!, Achague kimojawapo aendelee kubaki na msongo wa mawazo kwa handsame wake ama aachane naye akatafuta ambaye atamkojoza
 
Queen kama ni wewe mwenyewe na kama ni hawa vijana wa siku hizi mchane tu live wala usimfiche! Vijana wengi wa siku hizi nasikia malalamiko kila kona kwamba hawakojozi!!
 
Wakati wa kunyanduana jamaa alale chalii alafu shoga yako aikalie ajipimie mwenyewe akishindwa kufika uko kileleni basi ilo ni tatizo lake
Mkuu na wewe unamdanganya, kwani kikojoo kiko mbali hivyo? Anakipita hapo karibukaribu anaenda mbali kote huko kufanya nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…