mazoezi na ratiba ya chakula ibadilike inawezekana jamaa ni wale wa dakika 3 kama passport za haraka.
Huu ni ukatiliHujuwi kun*t*m*a.....
Simple 😊😊😊😊
Kwa mujibu wa binti ni kuwa sio dhaifu hivyoKwa hiyo tatizo ni kwamba jamaa hana nguvu za kiume za kutosha na kwamba mashine inasinyaa baada ya dakika mbili ikiwa ukeni, si ndio??
Kwanza huyo binti anahisia na mchizi maana unaweza Kuta tatizo ni Binti mwenyewe kutokuwa na hisiaKuna binti hapa ananiambia eti amekua kwenye mahusiano kwa mwaka mzima ila kwa kipindi.chote hicho jamaa hajawahi kumkojoza hata mara moja.
Anadai genye za muda mrefu zimesababisha awe frustrated ila anaogopa kwa vile anampenda mtu wake anaogopa akimwambia atajisikia vibaya hasa ukizingatia jamaa anadai ex galfriend wake alikua akimtangaza kuwa ni mwanaume suruali.
Binti anadai hataki kumuumiza jamaa kama alivyoumizwa na ex galfriend ila anatamani jamaa ajue ila hajui amjuze vipi bila kuumiza hisia za kipenzi chake.
Wakuu mie nimeshindwa cha kushauri naomba mnisaidie
Tatizo kubwa kwa mwanamke kutofika kileleni linaanza na mwanamke mwenyewe. Ipo hivi, wanawake almost wote, kufika kwao kileleni wamemuachia mwanaume. Yaani wao wanaona hawahusiki kabisa kwenye kufika kwao kileleni. Hapo ndo penye shida. Unakuta, kama kilele kipo "Moshi" na mwanaume anahangaika kumpeleka Moshi kilipo kilele, wao badala ya kuungana na mwanaume kuelekea Moshi, wapo bize kuelekea "Mtwara". In this way, hakuna siku watafika kileleni. Na lawama zote ataangushiwa mwanaume. Na kejeli juu..!!Kuna binti hapa ananiambia eti amekua kwenye mahusiano kwa mwaka mzima ila kwa kipindi.chote hicho jamaa hajawahi kumkojoza hata mara moja.
Anadai genye za muda mrefu zimesababisha awe frustrated ila anaogopa kwa vile anampenda mtu wake anaogopa akimwambia atajisikia vibaya hasa ukizingatia jamaa anadai ex galfriend wake alikua akimtangaza kuwa ni mwanaume suruali.
Binti anadai hataki kumuumiza jamaa kama alivyoumizwa na ex galfriend ila anatamani jamaa ajue ila hajui amjuze vipi bila kuumiza hisia za kipenzi chake.
Wakuu mie nimeshindwa cha kushauri naomba mnisaidie
Nimeelezwa.Unajuaje inalala baada muda ya mfupi kama si wewe unaenyanduliwa!
Hiyo industry ngumu, wewe tafuta pesa mengine huwa wanapotezea toka enzi hawa watu hawatakiwi wafurahi Sana sababu wakituliza hiyo mambo wanaanzisha vita nyingine.Kuna binti hapa ananiambia eti amekua kwenye mahusiano kwa mwaka mzima ila kwa kipindi.chote hicho jamaa hajawahi kumkojoza hata mara moja.
Anadai genye za muda mrefu zimesababisha awe frustrated ila anaogopa kwa vile anampenda mtu wake anaogopa akimwambia atajisikia vibaya hasa ukizingatia jamaa anadai ex galfriend wake alikua akimtangaza kuwa ni mwanaume suruali.
Binti anadai hataki kumuumiza jamaa kama alivyoumizwa na ex galfriend ila anatamani jamaa ajue ila hajui amjuze vipi bila kuumiza hisia za kipenzi chake.
Wakuu mie nimeshindwa cha kushauri naomba mnisaidie
Kama sio dhaifu basi ndo umepewa ushauri hapo wa kuikaliaKwa mujibu wa binti ni kuwa sio dhaifu hivyo
Hata kupiga katerelo,dildo na kadharika,hawa viumbe usiwaamini anaweza hata kulala na mbwa.Njia zipi hizo mkuu?
Dildo au😁?
Jamaa ana shida wanawake wote wawili wasifikishike
Binti anadai hawajawahi kurudia gemu hata mara moja.Mwambie wacheze Micheal mitano ndani yake atapata hata mmoja....kama mwanaume ni kimoja Chali na pesa hampi bas hakuna haja ya kujiangaisha...Asepe tu🤒
Nimemshauri binti amuache huyo mwanaume sbb binti wa watu anavumilia mengi ila jamaa hathamini
Tatizo ndo huanzia kwako, unataka ufikishwe kwa nini usijifikishe mwenyewe.Kuna binti hapa ananiambia eti amekua kwenye mahusiano kwa mwaka mzima ila kwa kipindi.chote hicho jamaa hajawahi kumkojoza hata mara moja.
Anadai genye za muda mrefu zimesababisha awe frustrated ila anaogopa kwa vile anampenda mtu wake anaogopa akimwambia atajisikia vibaya hasa ukizingatia jamaa anadai ex galfriend wake alikua akimtangaza kuwa ni mwanaume suruali.
Binti anadai hataki kumuumiza jamaa kama alivyoumizwa na ex galfriend ila anatamani jamaa ajue ila hajui amjuze vipi bila kuumiza hisia za kipenzi chake.
Wakuu mie nimeshindwa cha kushauri naomba mnisaidie
Anampenda hadi kawa mjinga.Kwanza huyo binti anahisia na mchizi maana unaweza Kuta tatizo ni Binti mwenyewe kutokuwa na hisia
Niliwahi kufanya ngono na binti mmoja ana umri wa miaka 26 na ana watoto 2.
Anadai tangu kuzaliwa hajawahi kukojozwa na muda wote nanihii yake ni ndogo na kavu. Hata ufanye romance kwa muda gani nyege zinapanda ila kulowana ni mwiko kwake.
Hii ni nini wataalamu