Utamwambia vipi mwanaume kuwa hajawahi kukufikisha kileleni bila kumfanya ajisikie vibaya?

Utamwambia vipi mwanaume kuwa hajawahi kukufikisha kileleni bila kumfanya ajisikie vibaya?

Kuna binti hapa ananiambia eti amekua kwenye mahusiano kwa mwaka mzima ila kwa kipindi.chote hicho jamaa hajawahi kumkojoza hata mara moja.

Anadai genye za muda mrefu zimesababisha awe frustrated ila anaogopa kwa vile anampenda mtu wake anaogopa akimwambia atajisikia vibaya hasa ukizingatia jamaa anadai ex galfriend wake alikua akimtangaza kuwa ni mwanaume suruali.

Binti anadai hataki kumuumiza jamaa kama alivyoumizwa na ex galfriend ila anatamani jamaa ajue ila hajui amjuze vipi bila kuumiza hisia za kipenzi chake.

Wakuu mie nimeshindwa cha kushauri naomba mnisaidie
Mwambie aniletee huyo jamaa yake nimshikishe ukuta, tatizo kubwa la hawa dada zetu ni kupenda kudate na vitoto vya bongo fleva. Unampa game na hata hajakukujoza anakwenda kukutangazia mtaani ama mtandaoni kama afanyavyo kaka yao Haji Manara.
 
Mwambie aniletee huyo jamaa yake nimshikishe ukuta, tatizo kubwa la hawa dada zetu ni kupenda kudate na vitoto vya bongo fleva. Unampa game na hata hajakukujoza anakwenda kukutangazia mtaani ama mtandaoni kama afanyavyo kaka yao Haji Manara.
Sio lazima dunia nzima ijue wenzio wanakushikisha ukuta mkuu
 
Ujue mkuu genye za muda mrefu ni ugonjwa ee?
Sasa huyu binti yuko veery unstable na hiyo imedhoofisha mahusano yao coz jamaa anaona binti amekua na vitabia vya ajabu.
Natamani ningeweza kuongea na huyo shem wetu atafute jinsi yakumridhisha mwanamke wake mana hakika binti anampenda sana mtu wake na shem akimpoteza huyu binti anaweza asipate tena binti wa hivi.Ni binti mtulivu mwenye kuzingatia maisha yake tofauti na wanawake wengi wa kisasa ila kwa ninavyoona sijui kama hilo penzi litasalimika.
Saa nyingine relationships zinakufa kutokana na ushauri usio sahihi. Huyo rafiki yako kama aliweza vumilia for a year ulishindwa Nini kuwaita wote kwa pamoja na kujua tatizo lipo wapi. Umepata maelezo ya upande mmoja wa rafiki yako, hukupata maelezo ya bwana wake na kujua shida iko wapi umegeneralize tu kuwa mwamba hajui kitu haha.

Ukweli huuma ila mngetafuta namna ya kumwambia ili aseme ni kipi kinamfanya awe hivyo.


Namalizia: si kila mwanaume anajua kucheza na hisia za mwanamke hata akikuta mapungufu yanatakayomfanya asimfikishe mwanamke huyo labda kuwe na shida nyingine za kiafya(psychology)
 
Asitupige na kitu kizito bhana, mwanamke hajawahi penda mtu asiyemkojoza sema anakaa na jamaa kupata unafuu wa maisha tu. Eti nampenda sitaki kumuudhi.
 
Saa nyingine relationships zinakufa kutokana na ushauri usio sahihi. Huyo rafiki yako kama aliweza vumilia for a year ulishindwa Nini kuwaita wote kwa pamoja na kujua tatizo lipo wapi. Umepata maelezo ya upande mmoja wa rafiki yako, hukupata maelezo ya bwana wake na kujua shida iko wapi umegeneralize tu kuwa mwamba hajui kitu haha.

Ukweli huuma ila mngetafuta namna ya kumwambia ili aseme ni kipi kinamfanya awe hivyo.


Namalizia: si kila mwanaume anajua kucheza na hisia za mwanamke hata akikuta mapungufu yanatakayomfanya asimfikishe mwanamke huyo labda kuwe na shida nyingine za kiafya(psychology)
 
Back
Top Bottom