Utani wa jad kati ya wanaume wa dar na wa mikoan sijui hata utaisha lini

>>Mwanaume wa dar ukiongea naye maneno mawili tu anaanza kulamba midomo.
>>mwanaume wa dar kazi kukaa vibarazani kuchongwa nyusi
>>kazi kukaa na dada zao, kugongana mikono na kusema "haloooo", jomoni, lol, n.k
Hahaaaaa umeshau

MY GOShiiiiiiiii
 
Utaisha pale wanaume wa mikoani watakapohamia dar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…