>>Mwanaume wa dar ukiongea naye maneno mawili tu anaanza kulamba midomo.
>>mwanaume wa dar kazi kukaa vibarazani kuchongwa nyusi
>>kazi kukaa na dada zao, kugongana mikono na kusema "haloooo", jomoni, lol, n.k
Jana usiku huko Element ambapo msanii Omarion alikua akitumbuiza, Mkuu wa Mkoa wa DSM alikuepo pia na Kutokana na habari zilizosambazwa na Mangekimambi ni kwamba kulitokea na mgogoro kati ya Mkuu wa Mkoa na Msanii huyo wa Marekani, Omarion na kusababisha shughuli io kuisha mapema na msanii huyo kujawa na Jazba. Fuatilia zaidi