Utani wa Simba na Yanga pembeni, bus la SIMBA kuingia kinyume nyume leo kwenye mechi ya kirafiki ilikua ni nini?

Kama kurudi reverse kunamfanya mtu afanikiwe jambo lake,basi na wewe fanya hivyo ili umpite Mo Dewji kwa utajiri,


Ni aibu na fedheha kubwa sana kwenye zama kama hizi,kwa mtu kuamini ujinga wa kiasi hiki.
Na wewe Rudi nyuma uwe GSM
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Sikuwepo hujanitunzia screenshot?!!
Unapenda ubuyu na ugomvi kweli wa mdada. Umekuja haraka haraka na ukiwa umejiandaa kwa bifu.πŸ˜€πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜„
 
Hiyo sehemu ni barabara ya kuingilia uwanjani ukuingia kwa mbele kule hakuna pa kuzeuzia vizuri, so alichofanya dereva ni kurudi nyuma ili gari ikae mkao wa kutoka, ungekua unaishi hapa mwenge usingeanzisha huu uzi
Jitu lipo kitobwa litajulia wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…