Utani wa Simba na Yanga pembeni, bus la SIMBA kuingia kinyume nyume leo kwenye mechi ya kirafiki ilikua ni nini?

Utani wa Simba na Yanga pembeni, bus la SIMBA kuingia kinyume nyume leo kwenye mechi ya kirafiki ilikua ni nini?

Kama kurudi reverse kunamfanya mtu afanikiwe jambo lake,basi na wewe fanya hivyo ili umpite Mo Dewji kwa utajiri,


Ni aibu na fedheha kubwa sana kwenye zama kama hizi,kwa mtu kuamini ujinga wa kiasi hiki.
Na wewe Rudi nyuma uwe GSM
 
Hiyo sehemu ni barabara ya kuingilia uwanjani ukuingia kwa mbele kule hakuna pa kuzeuzia vizuri, so alichofanya dereva ni kurudi nyuma ili gari ikae mkao wa kutoka, ungekua unaishi hapa mwenge usingeanzisha huu uzi
Jitu lipo kitobwa litajulia wapi
 
Back
Top Bottom