adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 12,207
- 26,521
Sikilizia ijayo..Mkuu,
Sikukuu hii tunafanyaje? Mbona kimya hadi saa hii kaka hakuna mwaliko?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikilizia ijayo..Mkuu,
Sikukuu hii tunafanyaje? Mbona kimya hadi saa hii kaka hakuna mwaliko?
MaghayoNiliwahi kuleta Uzi Wenye ushahidi wa wazi unaofichua kuwa Maghayo ndio The Stress Challengerr mods wakapita nao .
Kuna siku nyingine sijui alivuta bange Kali ,mwamba alojichanganya ndani ya dakika mbili alipost Uzi mmoja ukiwa na heading , content mpaka maneno ya ndani ya Uzi sawa katika ID mbili za The Stress Challengerr na ya Maghayo , mimi nikamkumbusha na kumuwekea screenshot kuwa huo Uzi ushapost kwa ID ya The Stress Challengerr akastuka na kudai eti The Stress Challengerr anazingua...