DOKEZO UTAPELI: Afisa Elimu mkoa wa Morogoro anatapeli fedha kwenye shule zilizopo chini yake

DOKEZO UTAPELI: Afisa Elimu mkoa wa Morogoro anatapeli fedha kwenye shule zilizopo chini yake

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Vichekesho

Member
Joined
Jun 20, 2024
Posts
66
Reaction score
3,277
Yeye kwa kushirikiana na wahalifu wengine ofisini kwake, wametengeneza mfumo bila kuishirikisha taasisi ya serikali inayotengeneza websites na mifumo yote ya serikali yaani eGA.

Mfumo huo ambao hautumii kikoa (domain) ya serikali ya Tanzania yaani .go.tz, unatumia domain ya .us ambayo si utambulisho rasmi wa website na mifumo ya serikali.

UTAPELI: Afisa elimu mkoa amewataka walimu wakuu kulipia mfumo huo ambao ni (mock.famnet.us) kisha kuweka matokeo ya mtihani wa MOCK baada ya kulipia.

Je, ikiwa kuna uhitaji huo kwanini eGA hawajahusishwa? Je TAMISEMI wana taarifa kuwa shule zimetakiwa kulipia mfumo huo?

NB: MALIPO YOTE HAYAPITII KWENYE CONTROL NUMBER

Je, huku ndiko kula kwa urefu wa kamba?
 
Yeye kwa kushirikiana na wahalifu wengine ofisini kwake, wametengeneza mfumo bila kuishirikisha taasisi ya serikali inayotengeneza websites na mifumo yote ya serikali yaani eGA.

Mfumo huo ambao hautumii kikoa (domain) ya serikali ya Tanzania yaani .go.tz, unatumia domain ya .us ambayo si utambulisho rasmi wa website na mifumo ya serikali.

UTAPELI: Afisa elimu mkoa amewataka walimu wakuu kulipia mfumo huo ambao ni (mock.famnet.us) kisha kuweka matokeo ya mtihani wa MOCK baada ya kulipia.

Je, ikiwa kuna uhitaji huo kwanini eGA hawajahusishwa? Je TAMISEMI wana taarifa kuwa shule zimetakiwa kulipia mfumo huo?

Je, huku ndiko kula kwa urefu wa kamba?
 

Attachments

  • 20240915_111016.jpg
    20240915_111016.jpg
    102.1 KB · Views: 7
Maafisaelimu wilaya zote za mkoa wa morogoro, wapo kweli mkumbo huu!
 

Attachments

  • 20240915_050646.jpg
    20240915_050646.jpg
    217 KB · Views: 7
Walimu acheni majungu, hakuna kada ya watu wenye roho mbaya na majungu kama walimu. Huwezi kukuta kada nyingine zina majungu na kufitiniana kama walimu.
 
mi naongelea ile control no. Halali kwa malipo ya serikali

Sawa.. Ila watajuaje? kwa sababu wengi hawafikirii kucheki. Na labda papo na hata pa kucheki hawapafahamu. Kama nami sipafahamu na bado. sijahitaji kucheki.

PIA
Hao ni viongozi wao, lazima wanawaamini na ndio wanaliwa pesa.

Kila mtu kwa awezavyo.. Wameachiwa mwaaaaaa 😊
 
Hivi afisa elimu mkoa wa morogoro si ndiye yule ndugu yake na manara? Au alishahama?
 
Yeye kwa kushirikiana na wahalifu wengine ofisini kwake, wametengeneza mfumo bila kuishirikisha taasisi ya serikali inayotengeneza websites na mifumo yote ya serikali yaani eGA.

Mfumo huo ambao hautumii kikoa (domain) ya serikali ya Tanzania yaani .go.tz, unatumia domain ya .us ambayo si utambulisho rasmi wa website na mifumo ya serikali.

UTAPELI: Afisa elimu mkoa amewataka walimu wakuu kulipia mfumo huo ambao ni (mock.famnet.us) kisha kuweka matokeo ya mtihani wa MOCK baada ya kulipia.

Je, ikiwa kuna uhitaji huo kwanini eGA hawajahusishwa? Je TAMISEMI wana taarifa kuwa shule zimetakiwa kulipia mfumo huo?

NB: MALIPO YOTE HAYAPITII KWENYE CONTROL NUMBER

Je, huku ndiko kula kwa urefu wa kamba?
Kabla hujazipeleka nawewe mega zako ili muende sawa
 
Hapo morogoro manispaa ni hivyo....kuna urasimu sana idara ya traffic unafanya mtihani wa udereva matokeo unapata baada ya mwaka lasivyo utoe rushwa kwa ofisi ya RTO watu wanateseka sana mama samia tupia macho traffic police morogoro
Mama anaupiga mwingi na wameambiwa wataongezewa vifaa vingi wazid kutukamata
 
Back
Top Bottom