milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaona yeye Hana pa kupiga kaamua mbwayi iwe mbwayi😀Walimu acheni majungu, hakuna kada ya watu wenye roho mbaya na majungu kama walimu. Huwezi kukuta kada nyingine zina majungu na kufitiniana kama walimu.
Hatari sanaHii nchi kila mtu ni kambale.
MOROGORO NDIO MKOA UNAOONGOZA KWA RUSHWA,UPIGAJI NA UTENDAJI MBOVU TANZANIA NZIMA.Yeye kwa kushirikiana na wahalifu wengine ofisini kwake, wametengeneza mfumo bila kuishirikisha taasisi ya serikali inayotengeneza websites na mifumo yote ya serikali yaani eGA.
Mfumo huo ambao hautumii kikoa (domain) ya serikali ya Tanzania yaani .go.tz, unatumia domain ya .us ambayo si utambulisho rasmi wa website na mifumo ya serikali.
UTAPELI: Afisa elimu mkoa amewataka walimu wakuu kulipia mfumo huo ambao ni (mock.famnet.us) kisha kuweka matokeo ya mtihani wa MOCK baada ya kulipia.
Je, ikiwa kuna uhitaji huo kwanini eGA hawajahusishwa? Je TAMISEMI wana taarifa kuwa shule zimetakiwa kulipia mfumo huo?
NB: MALIPO YOTE HAYAPITII KWENYE CONTROL NUMBER
Je, huku ndiko kula kwa urefu wa kamba?
TAKUKURU moro dah!TAKUKURU Morogoro hawana kazi wanayoifanya.
Mama anaupiga mwingi sana Lucas Mwashambwa Samiaagain2025 na chawa wengine.Matapeli wanaendelea kutamba, Maxence Melo View attachment 3100558
Ameruhusiwa kuibaApigwe, apigwe
Acha wajinga waibiwe.Hili nalo mkalitizame
Majungu ni nini?Walimu acheni majungu, hakuna kada ya watu wenye roho mbaya na majungu kama walimu. Huwezi kukuta kada nyingine zina majungu na kufitiniana kama walimu.