Huyu Anakwenda Inapojengwa Ile Ya Millions 450🤣🤣🤣🤣jamaa noma kamuibia waziri wa ulinzi.
Ajengewe sanamu wapi huyu, au iwe pembeni ya atakayo jengewa JPM
Eti Waziri wa Ulinzi anatapeliwa na boya flan yupo kwa Aziz Ally hapo. Je akibananishwa na Wachina au Mabeberu itakuwaje? Huyo waziri anapenda kutoa rushwa ndiyo maana kaingia kwenye 18 za MasaweNdio maana nchi haiendelei,Mawaziri akili zero
Tatizo ni hiyo mimba inakusumbuaWachaga watu wabaya Sana,ona sasa juzi mchaga mmoja kachoma Moto mmewe Leo huyu nae katapeli waziri.
Hawa watu wakipewa nchi wanaweza iba nchi yetu,they are really worse people ever!!!!
Shubamiti
Hahaha hio ndio namna ya kuwatumia wajinga kuwa fursaKuna mshikaji mmoja wa Mmachame huko alikuwa afisa kilimo wilaya Moja akawa custodian wa ghala la mazao. Aisee watu wanajua wamehifadhi mazao yao kumbe ashauzwa miezi mingi, alikuwa analeta Sem-trailer usiku kubeba mazao ya wadau kama yake.
Ubaya tu wakulima walimwamini hawakuwa hata wana msainisha mahala. Jamaa alipangua kesi aka resign kazi ss hv ni bilionea hapa mjini.
Kuna yule binti alimuua mazake na kumtoboa machoWachaga watu wabaya Sana,ona sasa juzi mchaga mmoja kachoma Moto mmewe Leo huyu nae katapeli waziri.
Hawa watu wakipewa nchi wanaweza iba nchi yetu,they are really worse people ever!!!!
Shubamiti
hata chanjo ya kidono panga hudunda lakini sindano hupita.Anyway!.
Kama waziri wa Ulinzi anatapeliwa kirahisi hivi, basi wajinga hawatokaa wamalizike.
Imagine ndiye anaingia dili ya manunuzi ya Vifaa vya kijeshi. Na akutane na mitapeli iliyobobea, mama yangu tunaingizwa cha kike.
Aisee!.
Uchagga unahusika vipi hapo?Wachaga watu wabaya Sana,ona sasa juzi mchaga mmoja kachoma Moto mmewe Leo huyu nae katapeli waziri.
Hawa watu wakipewa nchi wanaweza iba nchi yetu,they are really worse people ever!!!!
Shubamiti