Uchaguzi 2020 Utapeli: Mgombea Ubunge atia nia kugombea majimbo tofauti , ni Rorya na Tarime Mjini , kila jimbo na Chama chake

Uchaguzi 2020 Utapeli: Mgombea Ubunge atia nia kugombea majimbo tofauti , ni Rorya na Tarime Mjini , kila jimbo na Chama chake

Agombee huko huko rorya tarime hatuwezi kumpa ubunge mjaluo huyo. Hatutaki MURISYA.
 
View attachment 1504183

Ikiwa kama nimemsingizia basi nisamehewe , bali rada za wapekuzi wetu waliotapakaa nchi nzima wanaoangalia kwa karibu sana uadilifu wa wagombea wamenasa mmoja wa watia nia akiendesha siasa za kishamba zisizoeleweka

Ingekuwa ni kwenye soka basi bila shaka TFF ingemfungia bila huruma , lakini huku kwingine sifahamu adhabu anayopaswa kuipata .
Wanamchafua! Haiwezekani hii
 
Dawa yake hapo ni wana chadema ni kufuta kabisa jina lake maana huyo amekosa sifa ya kuitumikia chadema.
View attachment 1504183

Ikiwa kama nimemsingizia basi nisamehewe , bali rada za wapekuzi wetu waliotapakaa nchi nzima wanaoangalia kwa karibu sana uadilifu wa wagombea wamenasa mmoja wa watia nia akiendesha siasa za kishamba zisizoeleweka

Ingekuwa ni kwenye soka basi bila shaka TFF ingemfungia bila huruma , lakini huku kwingine sifahamu adhabu anayopaswa kuipata .
 
Mwanaccm agombee Chadema? Hivi hujui kuwa mtu muongo asili yake ni CCM? Huko ndio kwenye asili ya uongo, sio Mwenyekiti, KM, Chakubanga, Mangula, wasanii hadi vuvuzela nyie wote waongo tuu!
Hivi kuna watu waongo kuzidi wapinzani dunia hii? Wewe tu ile taarifa ya Tz kuipigia kura Djibouti si ulilazimisha watu waiamini humu. Muongo wa kutupwa wewe plus huyo mgombea wote kundi moja!
 
Akagombee kwenye chama cha watu wasiojulikana wenzake.
 
View attachment 1504183

Ikiwa kama nimemsingizia basi nisamehewe , bali rada za wapekuzi wetu waliotapakaa nchi nzima wanaoangalia kwa karibu sana uadilifu wa wagombea wamenasa mmoja wa watia nia akiendesha siasa za kishamba zisizoeleweka

Ingekuwa ni kwenye soka basi bila shaka TFF ingemfungia bila huruma , lakini huku kwingine sifahamu adhabu anayopaswa kuipata .

Wewe Bawacha hizi poster hata wewe si unaweza tengeneza? Nilifikiri umeweka video au audio akitamka kutia nia majimbo tofauti na kwa chama tofauti! Hata mimi naweza tengeneza poster ya Mlevi mbowe akitia nia majimbo kumi tofauti na kwa vyama vinne tofauti
 
Hii wengi wameifanya mwaka huu. Sema tatizo la huyu bwana katia nia kwenye majimbo yaliyo karibiana Sana. Lkn kuna wajanja wawili nawafahsmu wamevuta fomu katika majimbo yaliopo kanda tofauti.
 
Back
Top Bottom