Uchaguzi 2020 Utapeli: Mgombea Ubunge atia nia kugombea majimbo tofauti , ni Rorya na Tarime Mjini , kila jimbo na Chama chake

Uchaguzi 2020 Utapeli: Mgombea Ubunge atia nia kugombea majimbo tofauti , ni Rorya na Tarime Mjini , kila jimbo na Chama chake

Chakaza,
Kwa hiyo mkuu unafanya kazi UN? Kuhusu Kosovo kuonekana imepiga kura mara mbili kwenye lile bandiko unaliongeleaje??
 
Anagombea jimbo gani na kwa chama kipi ?
Nasema hivi, hawezi kanusha ujinga. Kama anagombea jimbo moja anajua yeye. Dunia ya leo ya tehama inakuaje mtu unaamini upuuzi wa namna hii bila kujiridhisha? Ndio mnafunzwa hivyo ufipa?
 
Nasema hivi, hawezi kanusha ujinga. Kama anagombea jimbo moja anajua yeye. Dunia ya leo ya tehama inakuaje mtu unaamini upuuzi wa namna hii bila kujiridhisha? Ndio mnafunzwa hivyo ufipa?
Mkuu wewe bado ni kijana mdogo sana kwenye siasa za Tanzania
 
View attachment 1504183

Ikiwa kama nimemsingizia basi nisamehewe , bali rada za wapekuzi wetu waliotapakaa nchi nzima wanaoangalia kwa karibu sana uadilifu wa wagombea wamenasa mmoja wa watia nia akiendesha siasa za kishamba zisizoeleweka

Ingekuwa ni kwenye soka basi bila shaka TFF ingemfungia bila huruma , lakini huku kwingine sifahamu adhabu anayopaswa kuipata .

Alikuwa anafurahisha genge
 
View attachment 1504183

Ikiwa kama nimemsingizia basi nisamehewe , bali rada za wapekuzi wetu waliotapakaa nchi nzima wanaoangalia kwa karibu sana uadilifu wa wagombea wamenasa mmoja wa watia nia akiendesha siasa za kishamba zisizoeleweka

Ingekuwa ni kwenye soka basi bila shaka TFF ingemfungia bila huruma , lakini huku kwingine sifahamu adhabu anayopaswa kuipata .

Kama ni kweli, basi huyujamaa kaamu kutega nyavu sehemu mbili tofauti, kwa sababu hajui ni hipi itampatia samaki, ili akikosa sehemu moja, basi apate sehemu nyingine.

Wanaomfahamu watueleze ni mwanachama wa chaama kipi , maana sasa naona atakose kotekote
 
Ukute watu wanamchafua tu. Siasa xina michezo michafu sana. Kwani kutengeneza hivyo vipeperushi kuna ugumu. Nahisi ni siasa majitaka hizi
 
Siyo kosa anaangalia upepo akikwama huku ana kwenda kule. Hiyo ni nia tu
View attachment 1504183

Ikiwa kama nimemsingizia basi nisamehewe , bali rada za wapekuzi wetu waliotapakaa nchi nzima wanaoangalia kwa karibu sana uadilifu wa wagombea wamenasa mmoja wa watia nia akiendesha siasa za kishamba zisizoeleweka

Ingekuwa ni kwenye soka basi bila shaka TFF ingemfungia bila huruma , lakini huku kwingine sifahamu adhabu anayopaswa kuipata .
 
View attachment 1504183

Ikiwa kama nimemsingizia basi nisamehewe , bali rada za wapekuzi wetu waliotapakaa nchi nzima wanaoangalia kwa karibu sana uadilifu wa wagombea wamenasa mmoja wa watia nia akiendesha siasa za kishamba zisizoeleweka

Ingekuwa ni kwenye soka basi bila shaka TFF ingemfungia bila huruma , lakini huku kwingine sifahamu adhabu anayopaswa kuipata .
Huyo atakua mfuasi wa TLP, UDP, CUF, NCCR yaani huyo ni CCM B
 
Hiyo ni ishara kuonesha namna ambavyo siasa nchini kwetu zimefiliska kufikia kiwango hiki.

Style ya uongozi wa Magufuli imefuta ideological identity/positions za vyama vya siasa vyote na kubakiza party legal framework operations similar to an industrial line of product manufacturing.

Hata CCM hali iko hivyo ndio maana tunashuhudia wajasiria siasa wengi (kibao) wanaomba kugombea udiwani au ubunge kupitia chama hicho.

Pengine utakuwa ulimsikia Augustino Lyatonga Mrema jana ndani ya Mkutano Mkuu wa CCM akiomba chama chake kipewe wagombea ubunge/udiwani kutoka miongoni wa watakaokuwa hawakupitishwa na CCM.

Aidha, ukisikiliza nyimbo walizokuwa wakiimba wasanii kwenye mkutano mkuu wa CCM na kisha kushangiliwa na wajumbe hao pasipo nyimbo kuwa na ideological substance inaonesha kiwango kilichofikiwa cha ideological paucity ndani ya CCM.

Ukiona mwenyekiti na mgombea kiti cha urais wa chama anateuliwa, lakini badala ya hotuba yake ya kukubali uteuzi kusheheni mipango kiitikadi au tathmini ya utendaji miaka mitano iliyopita (hapa kikwete alipaweza sana), kwa mfano namna ambavyo chama kinaungwa mkono na wananchi (wanachama wapya), uwezo wa kubuni na kutekeleza miradi yake ya kisiasa, uwezo wa kuhamasisha na kutumia rasmilimali za chama, uwezo wa kuimarika kwa institutuinal machinery ya chama, uwezo wa chama (siyo serikali) kuchagiza (influence) public opinion, na kadhaika - mgombea pekee wa nafasi ya urais na mteule wa Chama Cha Mapinduzi ana-reduce mkutano mkuu wa chama chake kuwa tukio la kupiga kura za kumteua mgombea tu, na ndani ya masaa manne, badala ya kuendelea na ratiba ya siku mbili zilizopangwa, anakatiza na kutangaza kuisha kwa mkutano mkuu, ujue kuwa kwa sasa Tanzania inaelekea shimoni kisiasa, and the first victim is CCM!
 
Mkuu, huyu mtia nia ingawa kwa jicho la haraka anaonekana kama ndumila kuwili wa kisiasa, lakini kimantiki anaonyesha kuna haja ya kuwa na wagombea huru wasiofungamana na vyama vya kisiasa.
Kama ni hivyo ni sawa..ila umesahau hoja muhimu kabisa

Hata ukiwa Mgombea binafsi basi usiruhusiwe kugombea majimbo zaidi ya moja kwa wakati mmoja....kama alivyofanya huyu kiazi!

Ni ukichaa kugombea majimbo yote haya kwa wakati mmoja....

Je akija kushinda yote mawili at once?Tutaapisha kenge mmoja mara kadhaa?

Ukichaa jumlisha ukichaa!
 
View attachment 1504183

Ikiwa kama nimemsingizia basi nisamehewe , bali rada za wapekuzi wetu waliotapakaa nchi nzima wanaoangalia kwa karibu sana uadilifu wa wagombea wamenasa mmoja wa watia nia akiendesha siasa za kishamba zisizoeleweka

Ingekuwa ni kwenye soka basi bila shaka TFF ingemfungia bila huruma , lakini huku kwingine sifahamu adhabu anayopaswa kuipata .
Huyu ni mvurugani na mleta masihara
 
Back
Top Bottom