Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
[emoji1787][emoji1787] duuh hatariAnaweza kuwa mwanachama wa vyama vyote kule alikotia nia. Hivi kuna sheria inayomzuia mtu kuwa mwanachama wa vyama zaidi ya kimoja? Tuanzie hapo. Ni muhimu kuanzia hapo kwa sababu huyu mtia nia ni mwanasheria labda amejihami kwenye eneo hilo!