Huku tozo, kumbe kama vile haitoshi miamala nayo ni kwa risk zetu wenyewe?
Jamaa yangu mmoja alikubali malipo kwa M-pesa. Muamala ukasoma safi, lakini baada ya muda mlipaji akauchukua kama alivyokuwa kautuma. Wizi na utapeli wa mchana kweupe!
Kuwapata wenye mtandao wao, wakadai hii inawapata wengi.
Cha kujiuliza kama vodacom wanaujus wizi huu kuwa rampant kwanini hawajachukua hatua hata za kuuelimisha umma tu?
Au ni kuwa Vodacom wamechagua kuwa sehemu kwenye uwezeshaji wa wizi huu?
Tukimbilie wapi sisi ya Rabi?
Jamaa yangu mmoja alikubali malipo kwa M-pesa. Muamala ukasoma safi, lakini baada ya muda mlipaji akauchukua kama alivyokuwa kautuma. Wizi na utapeli wa mchana kweupe!
Kuwapata wenye mtandao wao, wakadai hii inawapata wengi.
Cha kujiuliza kama vodacom wanaujus wizi huu kuwa rampant kwanini hawajachukua hatua hata za kuuelimisha umma tu?
Au ni kuwa Vodacom wamechagua kuwa sehemu kwenye uwezeshaji wa wizi huu?
Tukimbilie wapi sisi ya Rabi?