Mlolongo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2019
- 3,483
- 6,257
Unaandika pumba.Kwamba kuna watu wanakubali kulipwa kwa mpesa kupisha changamoto fulani zinazoweza kujitokeza?
Kwamba baada ya hapo walipaji wana reverse miamala?
Kwamba vodacom wamekiri kadhia hii ipo na kuwa imeathiri wengi?
Kwamba habari hii ni alert kwa wengine kama wewe isikikukute kwani kutopata msaada?
Kwamba kwako hayo ni shallow? Kwa hakika kama nchi tumekubuhu kwa ujinga!
Hueleweki.
Either story umehadithiwa ukaipokea vibaya.
Ama aliyekuhadithia naye kaipokea vibaya.