Utapeli miamala ya simu: Usikubali malipo kwa simu toka kwa usiyemjua

Utapeli miamala ya simu: Usikubali malipo kwa simu toka kwa usiyemjua

Lipa kwa Mpesa au Tigo pesa ndio kisheria inatambulika, namba ya simu ya kawaida hairuhusiwi kufanya biashara au kulipana kibiashara hata kama mlikubaliana na ikitokea upande wa pili kupiga simu Customer care akiomba pesa yake irudi amekosea kutuma inarudishwa na ukilalamika utaelekezwa labda kwa suala lako uende polisi tu. Hivyo kama wewe ni mfanyabiashara au una biashara nenda kachuke zile namba za "Lipa kwa" watu sio waaminifu hasa linapokuja suala la pesa.
... umefafanua vizuri sana. Swali, "Lipa kwa X-Pesa" inaruhusiwa kutokea mbali? Kwa mfano nimesafiri, naweza kumtuma kijana akaenda penye huduma ya "Lipa kwa X-Pesa" nikalipa kutokea mbali tofauti na kutolea kwa wakala ambapo hairuhusiwi kutokea mbali?
 
Hebu sema wewe (uliye mjanja) una laini ya 1. Lipa kwa mpesa? 2. Laini ya kawaida? 3. Laini ya uwakala wa mpesa?

Hivi au Watanzania wangapi wana laini tatu hizo zilizo tofauti?

Hivi hata mada uliielewa kweli?

Kwanini watanzania tume kubuhu kwenye umburula uliopitiliza hivi?
We maamuma kama ulilipwa kwa kwa line yAko ya kawaida na muamala ukawa reversed ni ujinga wako..wafanyabiashara wanaojitambua wanatumia lipa kwa simu kwa kuwa ina usalama...
 
You know what? At least unakuwa pale pale na namba unaiona. Ukikosea tena kutype namba na kuthibitisha jina huna tofauti na aliyetupa pesa kwa makusudi. In short you're not serious na hakuna namna ya kukusaidia zaidi.
LIPA NAMBA hata uwe mafia ukishalipa huwezi rudisha muamala maana kwanza ile ni namba ya malipo hata ukilipa mia tano lazima mfanyabiashara apigiwe kuulizwa kuna mteja X ametutarifu katoa/kalipa kimakosa je ni kweli ukisema sio kweli mteja X anapigiwa na mnaunganishwa,,,hii ishanitokea dukani mara chache mtu anatoa pesa wengine kweli kimakosa unapigiwa ukithitibish basi kwa sasa hivi voda wanakupa wakala option ya kumrejeshea mtej pesa kwenye menu kuna kipengele 1.RUDISHA MUAMALA(hapa unachagua kama ww ndo umetuma kimakosa) 2.MIAMALA ILIYOTOLEWA KIMAKOSA(hapo unakutana na kama kuna mtu katoa kimakosa) kama kweli katoa unauchagua unathibitisha ndo pesa zirudi
 
... umefafanua vizuri sana. Swali, "Lipa kwa X-Pesa" inaruhusiwa kutokea mbali? Kwa mfano nimesafiri, naweza kumtuma kijana akaenda penye huduma ya "Lipa kwa X-Pesa" nikalipa kutokea mbali tofauti na kutolea kwa wakala ambapo hairuhusiwi kutokea mbali?
Yaah hii popote ulipo unalipaa mkuu.....
 
... umefafanua vizuri sana. Swali, "Lipa kwa X-Pesa" inaruhusiwa kutokea mbali? Kwa mfano nimesafiri, naweza kumtuma kijana akaenda penye huduma ya "Lipa kwa X-Pesa" nikalipa kutokea mbali tofauti na kutolea kwa wakala ambapo hairuhusiwi kutokea mbali?
Inaruhusiwa....
 
Mkuu ulipotea wapi? Tumemiss kichiz threads zako za Corona.

Mkuu ya mashabiki wa nyungu nawaona pia hapa. Sasa hivi wao ni wajanja n hawaoni umuhimu wa walio vulnerable kuelimishwa.

Tunapigania vipi mambo ya uhalisia yakiwamo maisha dhidi ya Corona, demokrasia au katiba ya maana na watu kama hawa?

Nimechagua kuwaangalia tokea pembezoni warevu hao kwa muda kwanza.

Au nasema uongo ndugu yangu?
 
Hata hao mawakala wameshakatazwa kutoa pesa za mbali maana mteja nae akipiga simu alitoa pesa kimakosa imekula kwake maana pale Call Centre wanaaangalia mnara aliopo wakala na mnara wa mteja sasa, mteja yupo Arusha walaka Mtwara alalamike katoa kimakosa hela yake inarudishwa. Mawakala wanafanyaga tu kwa shida ya pesa lakini wanarisk maisha yao.
Chukua hiii elimu bure hapa....maana mimi elimu yangu inaambatana na matusi
 
We maamuma kama ulilipwa kwa kwa line yAko ya kawaida na muamala ukawa reversed ni ujinga wako..wafanyabiashara wanaojitambua wanatumia lipa kwa simu kwa kuwa ina usalama...

Ninakazia: Maamuma ni wewe. Huna ulichoelewa wala unachoelewa.

NB: Kuelimika ni dhana pana. Tatizo lako liko hapo.

Pole sana kwa kutojua kuwa hujui.
 
Kina kipi zaidi ya hapo mkuu?

Malipo kwa M-pesa yanakuhusu mlipaji ku cancel malipo hayo bila kumshirikisha mlipwaji.

Kwenye kadhia hiyo vodacom (mmiliki wa mtandao) anakiri hili kuwa athiri wengi huku akidai kuwa yeye hahusiki.

Wewe unaona hiyo iko fair?

Yangu ni alert. Yamemkuta ndugu yangu yasipokukuta nawe si ndiyo furaha yangu?

Nakazia: kina kipi ukitaka zaidi ya hapo?
Hujaweka na ni nini hao Vodacom walichompa jamaa yako mtapeliwa kama ushauri baada ya kuwajulisha habari za wizi.

Zipo namba special kwa ajili ya kupokea hela kama mtu ni mfanyabiashara hela ikiingia aliyekosea au aliyejifanya kukosea akitaka kurudisha muamala akipiga customer care lazima muunganishwe wote ili haki ipate kutendeka,mwaka 2016 kuna jamaa yangu yeye alipigwa 1.7mill na haikurudi akaishia kutafuta waganga wa kumloga jamaa.

Au atafute Lipa Namba,hizi zipo za Vodacom na Tigo.
 
... shukrani. Wafanyabiashara wanasubiri kuchangamkia huduma hiyo (Lipa kwa X-Pesa)? Ila kama ingewezekana kutokea mtandao mmoja ukalipa mtandao mwingine ingekuwa vizuri sana.
Inawezekana...yani mfano lipa ya voda unaweza pokea kutoka mitandao mingine
 
Ninakazia: Maamuma ni wewe. Huna ulichoelewa wala unachoelewa.

NB: Kuelimika ni dhana pana. Tatizo lako liko hapo.

Pole sana kwa kutojua kuwa hujui.
🤣🤣🤣..dogo majibu nnayokupa mimi na voda watakupa hayohayo...
 
Kina kipi zaidi ya hapo mkuu?

Malipo kwa M-pesa yanakuhusu mlipaji ku cancel malipo hayo bila kumshirikisha mlipwaji.

Kwenye kadhia hiyo vodacom (mmiliki wa mtandao) anakiri hili kuwa athiri wengi huku akidai kuwa yeye hahusiki.

Wewe unaona hiyo iko fair?

Yangu ni alert. Yamemkuta ndugu yangu yasipokukuta nawe si ndiyo furaha yangu?

Nakazia: kina kipi ukitaka zaidi ya hapo?
Ana lipanamba ama alilipwa kwa namba za kawaisa? Lipanamba muamala haurudi
 
Hapa wewe unakuwa ulipi kwa Mpesa bali UNATUMA pesa kwa Mpesa kama form ya malipo ya biashara iliyofanyika, hizi ni huduma mbili tofauti, ambapo ukilipa kwa Mpesa hakuna uwezekano wa ku reverse malipo!
Ndugu zangu watanzania. Tujifunze kuandika maneno ya lugha yetu kwa ufasaha. Unaweza kutoa maelezo mazuri lakini herufi moja tu ikaharibu sentensi nzima. ''Ulipi'' ina maana gani? Na hapa sizungumzii typo, kosa ambalo mtu yeyote anaweza kulifanya bali nazungumzia kutojua kuandika maneno!
 
Ulijualo wewe ni lipi ndugu? Yamewakuta wengine. Alert inawekwa hapo kukutahadharisha na wewe ukiwamo kabla ya hatari umekomaa. Kwani ujinga ni nini basi?
Wewe ndiye mjinga, kulipa kwa mpesa au tigopesa mtu aweza rudisha muhamala, ndiyo maana kuna suluisho la lipa namba, sasa huoni kama wewe ni mjinga kutumia mpesa badala ya lipa namba
 
Mada uesoma mkuu?

"Usikubali kulipwa kwa mpesa na mtu usiyemfahamu. Tatizo hili limeathiri wengi." Vodacom anathibitisha hayo privately lakini si publicly.

Wakati vodacom anasema hayo hayo na waathirika in privacy hapa nimeweka hadharani kwa faida ya wengine.

Tatizo liko wapi hapo jombi?
Yaani your alert is too obvious. Ni sawa na kuwaambia watu kuwa dawa ya kupaka usiinywe. Nani asiyejua
 
Unayeandika pumba mbona ni wewe mkuu?

Nimeandika wapi taarifa nimeipata.

1. Tapeli kapewa huduma halali.
2. Kulipa hakukuwa na vibanda vya mpesa karibu.
3. Baada ya kuzunguka kutafuta vibanda mtoa huduma akakubali pesa hizo ahamishiwe yeye.
4. Masaa takribani 10 baadaye muamala ukawa reversed.
5. Mtoa huduma akawalisiana na vodacom kupata ufafanuzi.
6. Vodacom anakiri madhila kama haya kuwapata wateja wake wengi.
7. Ndiyo nimehadithiwa.
8. Nimetafiti vya kutosha kabla ya kuleta uzi huu.

Zingatia - vodacom wanasikitika kwa mapungufu yao haya.
Option ya kurudisha muhamala ni feature nzuri na wala siyo mapungufu. Malipo lipa kwa lipa namba. Pesa tuma kwa mpesa. Period
 
Kwamba unaita uongo bila ya kuwa na ufahamu wowote wa kadhia hii?

Vodacom amekiri tatizo hili ni rampant?

No wonder kuna Tanzania ya viwanda ikijengwa katika awamu fulani.

Bure kabisa!
Ungesema ametumiwa pesa kawaida lakini siyo kwa mfumo wa lipa kwa....
 
Back
Top Bottom