dinongo
JF-Expert Member
- Jun 25, 2022
- 814
- 1,054
Ndiomaana nikasema Ni mjinga,maana alikuwa hajuiUjinga ina maana kutokujua jambo kwa wakati huo. Mtu akishaelimishwa ujinga huishia hapo. Uzi huu umelenga kutoa elimu hiyo. Hata kichwa cha habari nacho hukusoma?