Utapeli miamala ya simu: Usikubali malipo kwa simu toka kwa usiyemjua

Utapeli miamala ya simu: Usikubali malipo kwa simu toka kwa usiyemjua

Huku tozo, kumbe kama vile haitoshi miamala nayo ni kwa risk zetu wenyewe?

Jamaa yangu mmoja alikubali malipo kwa M-pesa. Muamala ukasoma safi, lakini baada ya muda mlipaji akauchukua kama alivyokuwa kautuma. Wizi na utapeli wa mchana kweupe!

Kuwapata wenye mtandao wao, wakadai hii inawapata wengi.

Cha kujiuliza kama vodacom wanaujus wizi huu kuwa rampant kwanini hawajachukua hatua hata za kuuelimisha umma tu?

Au ni kuwa Vodacom wamechagua kuwa sehemu kwenye uwezeshaji wa wizi huu?

Tukimbilie wapi sisi ya Rabi?
Ndo maana kuna kitu inaitwa lipa kwa Number hii
 
Huku tozo, kumbe kama vile haitoshi miamala nayo ni kwa risk zetu wenyewe?

Jamaa yangu mmoja alikubali malipo kwa M-pesa. Muamala ukasoma safi, lakini baada ya muda mlipaji akauchukua kama alivyokuwa kautuma. Wizi na utapeli wa mchana kweupe!

Kuwapata wenye mtandao wao, wakadai hii inawapata wengi.

Cha kujiuliza kama vodacom wanaujus wizi huu kuwa rampant kwanini hawajachukua hatua hata za kuuelimisha umma tu?

Au ni kuwa Vodacom wamechagua kuwa sehemu kwenye uwezeshaji wa wizi huu?

Tukimbilie wapi sisi ya Rabi?
Voda lipa
 
Kina kipi zaidi ya hapo mkuu?

Malipo kwa M-pesa yanakuhusu mlipaji ku cancel malipo hayo bila kumshirikisha mlipwaji.

Kwenye kadhia hiyo vodacom (mmiliki wa mtandao) anakiri hili kuwa athiri wengi huku akidai kuwa yeye hahusiki.

Wewe unaona hiyo iko fair?

Yangu ni alert. Yamemkuta ndugu yangu yasipokukuta nawe si ndiyo furaha yangu?

Nakazia: kina kipi ukitaka zaidi ya hapo?
Kuna lipa kwa number hii, sasa kama mnalipana kwa njia ya kawaida hio ni shauri yenu
 
Siyo kuwa utulie wewe na kwamba urejee shule au hata ngumbalu kujifunza kuandika vyema?

Minufaikaji ya utapeli tapeli mkiguswa kwenye anga zenu kwani huwa mnaweza japo kukaa kimya?

Mbona hatutaacha kuwapelekeeni moto? Tafuteni kazi zingine huku hatutawaacha salama.

Na bado!
"Kupelekea moto" ni msamiati wa matusi ya nguoni.

Kwa nini umeutumia katika kuwasilisha agenda chanya?
 
Umekunywa bia, na kuamua kulipa bili kwa kumtumia pesa zilizoko kwenye simu yako aliyekuuzia, awe Barmaid au Kaunta wa hiyo bar.

Baada ya muda ukazirudisha hizo pesa kwako tena. Kwenye simu yako kupitia huduma ya kurudisha muamala uliotumwa kimakosa.

Hapa inamaana umemwibia aliyekuuzia Bia.

Tahadhari.
Usikubali kulipwa kwa njia ya kurushiwa pesa ya kwenye simu na mtu usiye mjua.

Atarudisha muamala wake aliokutumia pesa na kukusababishia hasara ya bidhaa yako.
Hivi mtoa mada angeliandika kwa usanifu hivi, kungelifurika hoja za missunderstanding zisizo na ulazima?
 
Umeandika vyema. Dawa ya hili ni elimu ya kutosha kwa watu. Makampuni ya simu yalipaswa kuwa mstari wa mbele kwenye kuwapa watu elimu hiyo.

Kwamba tunasema hapa na kwa kutokuelewa kwao wengine wanaona wajinga ni sisi?

Hiyo ndiyo Tanzania sasa ambako hata asiyekuwa na ujuzi ni nguli mbobezi.
Tatizo lugha uliyoitumia kuwasilisha mada mkuu.

Huoni huyo jinsi alivyoeleweka kirahisi?
 
... na ndio maana wajanja kama unataka kumtumia pesa kutokea mbali hakubali umtumie kwenye namba yake. Anakutumia details za wakala utume kwake kuondoa risk ya ku-cancel mwamala baada ya kutuma.
Hii njia niliwahi itumia kwa hawara mshenzi!

Nikamtumia 30k nikasubiria ahsante yake.

Nilivyoona kapiga kimya nikampandia hewani kumuuliza kulikoni kimya?

Alinijibu hadi nikatetemeka kwa ghadabu:
"Hela gani ya nyanya hiyo mwanaume mzima unatuma?"

Baada ya majibu yake hayo, faster nikairudisha kwa option ya kutuma hela kimakosa!

Hata iliporejeshwa, yeye kwenye account yake akabaki na figures zile zile.

Kimbembe kilikuja alipotaka kwenda kutoa ili anigidie mimi bwege, kakuta sifuri.

Kwa kuwa nilijua atanitafuta, nikamblock mapema kimya kimya.

Baada kama ya siku3 nikakuta simu imejaa miss call zake, nikajua tayari jiwe nililolirusha gizani limepopoa mtu.
 
Huku tozo, kumbe kama vile haitoshi miamala nayo ni kwa risk zetu wenyewe?

Jamaa yangu mmoja alikubali malipo kwa M-pesa. Muamala ukasoma safi, lakini baada ya muda mlipaji akauchukua kama alivyokuwa kautuma. Wizi na utapeli wa mchana kweupe!

Kuwapata wenye mtandao wao, wakadai hii inawapata wengi.

Cha kujiuliza kama vodacom wanaujus wizi huu kuwa rampant kwanini hawajachukua hatua hata za kuuelimisha umma tu?

Au ni kuwa Vodacom wamechagua kuwa sehemu kwenye uwezeshaji wa wizi huu?

Tukimbilie wapi sisi ya Rabi?
Airtel wanakutangazia kifurushi cha "dakika 150 kwa 1000 Tsh mitamdao yote" lakini ukishalipia wanakupa dk 110 Airtel to Airtel na only dk 40 mitamdao yote! Wizi mtupu!
 
"Kupelekea moto" ni msamiati wa matusi ya nguoni.

Kwa nini umeutumia katika kuwasilisha agenda chanya?

Kila mtu ana haki ya tafsiri yake. Vyema kuwa umetambua agenda ni chanya. Ila maneno highlighted hapa chini uliweza kuyaona au hata kuyatambua tu?
"Kupelekea moto" ni msamiati wa matusi ya nguoni.

Kwa nini umeutumia katika kuwasilisha agenda chanya?

La kheri umetambua agenda ni chanya. Wengine akiwamo huyu mwamba Allency hawakuona hivyo.

Tafsiri ni kwa mujibu wa kamusi za Kiswahili sanifu zilizopo bwerere maktaba na kwenye maduka ya vitabu.

Msimamo ni ule ule watu makini hawachukuliwi kireja reja na tafsiri uchwara za vijiweni.

Rejea kuyaona matusi na waasisi kujiridhisha wanaostahili lawama ni nani.
 
Hii njia niliwahi itumia kwa hawara mshenzi!

Nikamtumia 30k nikasubiria ahsante yake.

Nilivyoona kapiga kimya nikampandia hewani kumuuliza kulikoni kimya?

Alinijibu hadi nikatetemeka kwa ghadabu:
"Hela gani ya nyanya hiyo mwanaume mzima unatuma?"

Baada ya majibu yake hayo, faster nikairudisha kwa option ya kutuma hela kimakosa!

Hata iliporejeshwa, yeye kwenye account yake akabaki na figures zile zile.

Kimbembe kilikuja alipotaka kwenda kutoa ili anigidie mimi bwege, kakuta sifuri.

Kwa kuwa nilijua atanitafuta, nikamblock mapema kimya kimya.

Baada kama ya siku3 nikakuta simu imejaa miss call zake, nikajua tayari jiwe nililolirusha gizani limepopoa mtu.

Tapeli yeyote hujisifia kwa utapeli wake. Walisema Nginde - 'kama aikudanganya na kupoteza wakati wako bure, ajue kuwa mambo hayo yatamfika naye."

Waungwana wengine husema malipo ni hapa hapa duniani.
 
Tatizo lugha uliyoitumia kuwasilisha mada mkuu.

Huoni huyo jinsi alivyoeleweka kirahisi?

Kwenye maandiko yoyote huwa kuna disclaimer na scope.

Ukiona umeshindwa kuelewa rejea kujiridhisha disclaimer na scope zilikuwa ni zipi?

Usipoyaelewa mawili hayo hoja kama hii yako sasa unaweza kudhani ni zinga la point.

Karibu kwenye uwanja wa elimu ambako ukishindwa kuelewa usishangae kuwa kumbe tatizo laweza kuwa hata ni lako tu.
 
Kina kipi zaidi ya hapo mkuu?

Malipo kwa M-pesa yanakuhusu mlipaji ku cancel malipo hayo bila kumshirikisha mlipwaji.

Kwenye kadhia hiyo vodacom (mmiliki wa mtandao) anakiri hili kuwa athiri wengi huku akidai kuwa yeye hahusiki.

Wewe unaona hiyo iko fair?

Yangu ni alert. Yamemkuta ndugu yangu yasipokukuta nawe si ndiyo furaha yangu?

Nakazia: kina kipi ukitaka zaidi ya hapo?
Ilitakiwa iwe unatoa taarifa voda kua umekosea halaf wao wapige namba ya kule ulikokosea ili kuthibitisha kama ni kweli amepokea kimakosa. Na ikithibitika amepokea kihalali basi yule mtoa taarifa azuiwe kufanya miamala kwa wiki nzima
 
Ilitakiwa iwe unatoa taarifa voda kua umekosea halaf wao wapige namba ya kule ulikokosea ili kuthibitisha kama ni kweli amepokea kimakosa. Na ikithibitika amepokea kihalali basi yule mtoa taarifa azuiwe kufanya miamala kwa wiki nzima
Ilitaka haki bin haki. Utapeli ni utapeli tu hauna tofauti na wizi wa kibaka mwizi wa kuku.
 
Umeandika haya:

"Mtoa mada pengine huelewi vizuri hizi mambo zinafanya vipi kazi."

Ni wazi kuwa ungekuwa mada umeielewa usingeandika pia haya:

"Labda elimu ndio muhimu .."

Kwamba:

"ila mtu kurudisha pesa aliyotuma "kimakosa" sio utapeli."

Karudisha pesa aliyotuma kimakosa au katapeli kuwa analipa kumbe - jongo?

Rejea kamusi ya kiswahili kuhusiana na neno utapeli.
download.png
images (5).png

USITUMIE MPESA AU TIGO PESA KUPOKEA MALIPO SABABU HAZIKUTENGENEZWA ILI KUFANYA MALIPO, ZINARUHUSU KURUDISHA MUAMALA IWAPO MTUMAJI AMEKOSEA. TUMIA NAMBA MAALUM ZA MALIPO KAMA HIZO KWENYE PICHA, KWENYE MENU YAKO IMEANDIKWA LIPA KWA SIMU NA SIO TUMA PESA. UKIFANYA HIVI HUTATAPELIWA.
 
View attachment 2304112View attachment 2304118
USITUMIE MPESA AU TIGO PESA KUPOKEA MALIPO SABABU HAZIKUTENGENEZWA ILI KUFANYA MALIPO, ZINARUHUSU KURUDISHA MUAMALA IWAPO MTUMAJI AMEKOSEA. TUMIA NAMBA MAALUM ZA MALIPO KAMA HIZO KWENYE PICHA, KWENYE MENU YAKO IMEANDIKWA LIPA KWA SIMU NA SIO TUMA PESA. UKIFANYA HIVI HUTATAPELIWA.

Msingi wa hoja - inatakikana elimu.

Imefanyanyika tathmini kutambua kiasi gani cha wanajamii kingali gizani huku utapeli huu ukiendelea?

Ni hayo tu ndugu mjumbe.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Msingi wa hoja - inatakikana elimu.

Imefanyanyika tathmini kutambua kiasi gani cha wanajmii kingali gizani huku utapeli huu ukiendelea?

Ni hayo tu ndugu mjumbe.
Ndo elimu hiyo inatolewa na wadau kua mtu asikubali kutumiwa pesa, anatakiwa alipwe sio kutumiwa pesa. Ukitumiwa pesa hujalipwa, umepewa na aliyekupa anaruhusiwa kuirudisha. Ukilipwa ni ya kwako na haiwezi chukuliwa bila ridhaa yako.

Kupewa PESA/kutumiwa PESA njia: MPESA, TIGOPESA, AIRTEL MONEY, NAMBA YA WAKALA.

Kulipwa PESA njia: LIPA NAMBA YA VODA/TIGO.
 
Back
Top Bottom