Eleza kwa kinaHuku tozo, kumbe kama vile haitoshi miamala nayo ni kwa risk zetu wenyewe?
Jamaa yangu mmoja alikubali malipo kwa M-pesa. Muamala ukasoma safi, lakini baada ya muda mlipaji akauchukua kama alivyokuwa kautuma. Wizi na utapeli wa mchana kweupe...
Kina kipi zaidi ya hapo mkuu?Eleza kwa kina
Siyo kuwa utulie wewe na kwamba urejee shule au hata ngumbalu kujifunza kuandika vyema?Hebu tulia kwanza halafu uandike vizuri
Huo ni uongo..ukilipa kwa lipa ya voda huwezi rudisha muamala..acha kuchafua makampuni ya watuKina kipi zaidi ya hapo mkuu?
Malipo kwa M-pesa yanakuhusu mlipaji ku cancel malipo hayo bila kumshirikisha mlipwaji...
Huna akili wewe, malipo unalipa kwa lipa namba. Hi ni kwa mitandao yote. Hujui lakini unaleta ujuaji mwingiSiyo kuwa utulie wewe na kwamba urejee shule au hata ngumbalu kujifunza kuandika vyema?
Minufaikaji ya utapeli tapeli mkiguswa kwenye anga zenu kwani huwa mnaweza japo kukaa kimya?
Mbona hatutaacha kuwapelekeeni moto? Tafuteni kazi zingine huku hatutawaacha salama.
Na bado!
Hana alijualo lakini anatukana tu watuHuo ni uongo..ukilipa kwa lipa ya voda huwezi rudisha muamala..acha kuchafua makampuni ya watu
Kwamba unaita uongo bila ya kuwa na ufahamu wowote wa kadhia hii?Huo ni uongo..ukilipa kwa lipa ya voda huwezi rudisha muamala..acha kuchafua makampuni ya watu
Mpumbavu hujui unalolisema ... security ya lipa ni kubwa kuliko unavolinda private parts zakoKwamba unaita uongo bila ya kuwa na ufahamu wowote wa kadhia hii?
Vodacom amekiri tatizo hili ni rampant ila kinyangarika wewe?
No wonder kuna Tanzania ya viwanda ikijengwa katika awamu fulani.
Bure kabisa!
Maamuma tu uyo keshashiba makande anaanza kuongea ujingaHana alijualo lakini anatukana tu watu
Unless kama alituma hela kwa njia ya Mpesa na Si lipa kwa MpesaHuo ni uongo..ukilipa kwa lipa ya voda huwezi rudisha muamala..acha kuchafua makampuni ya watu
Hana alijualo lakini anatukana tu watu
Sure tena kwenye mpesa uwe muamala wa mbaliUnless kama alituma hela kwa njia ya Mpesa na Si lipa kwa Mpesa
Umepigwa kifala sanaSiyo kuwa utulie wewe na kwamba urejee shule au hata ngumbalu kujifunza kuandika vyema?
Minufaikaji ya utapeli tapeli mkiguswa kwenye anga zenu kwani huwa mnaweza japo kukaa kimya?
Mbona hatutaacha kuwapelekeeni moto? Tafuteni kazi zingine huku hatutawaacha salama.
Na bado!
Story iko shallow sanaHuku tozo, kumbe kama vile haitoshi miamala nayo ni kwa risk zetu wenyewe?
Jamaa yangu mmoja alikubali malipo kwa M-pesa. Muamala ukasoma safi, lakini baada ya muda mlipaji akauchukua kama alivyokuwa kautuma. Wizi na utapeli wa mchana kweupe!
Kuwapata wenye mtandao wao, wakadai hii inawapata wengi.
Cha kujiuliza kama vodacom wanaujus wizi huu kuwa rampant kwanini hawajachukua hatua hata za kuidhinisha umma tu?
Au ni kuwa Vodacom wamechagua kuwa sehemu kwenye uwezeshaji wa wizi huu?
Tukimbilie wapi sisi ya Rabi?
Story iko shallow sana
Kulipia bidhaa unajua inatakiwa utumie njia gani? Je ni kwa mpesa au lipia namba??