Ndo maana kuna kitu inaitwa lipa kwa Number hiiHuku tozo, kumbe kama vile haitoshi miamala nayo ni kwa risk zetu wenyewe?
Jamaa yangu mmoja alikubali malipo kwa M-pesa. Muamala ukasoma safi, lakini baada ya muda mlipaji akauchukua kama alivyokuwa kautuma. Wizi na utapeli wa mchana kweupe!
Kuwapata wenye mtandao wao, wakadai hii inawapata wengi.
Cha kujiuliza kama vodacom wanaujus wizi huu kuwa rampant kwanini hawajachukua hatua hata za kuuelimisha umma tu?
Au ni kuwa Vodacom wamechagua kuwa sehemu kwenye uwezeshaji wa wizi huu?
Tukimbilie wapi sisi ya Rabi?
Voda lipaHuku tozo, kumbe kama vile haitoshi miamala nayo ni kwa risk zetu wenyewe?
Jamaa yangu mmoja alikubali malipo kwa M-pesa. Muamala ukasoma safi, lakini baada ya muda mlipaji akauchukua kama alivyokuwa kautuma. Wizi na utapeli wa mchana kweupe!
Kuwapata wenye mtandao wao, wakadai hii inawapata wengi.
Cha kujiuliza kama vodacom wanaujus wizi huu kuwa rampant kwanini hawajachukua hatua hata za kuuelimisha umma tu?
Au ni kuwa Vodacom wamechagua kuwa sehemu kwenye uwezeshaji wa wizi huu?
Tukimbilie wapi sisi ya Rabi?
Kuna lipa kwa number hii, sasa kama mnalipana kwa njia ya kawaida hio ni shauri yenuKina kipi zaidi ya hapo mkuu?
Malipo kwa M-pesa yanakuhusu mlipaji ku cancel malipo hayo bila kumshirikisha mlipwaji.
Kwenye kadhia hiyo vodacom (mmiliki wa mtandao) anakiri hili kuwa athiri wengi huku akidai kuwa yeye hahusiki.
Wewe unaona hiyo iko fair?
Yangu ni alert. Yamemkuta ndugu yangu yasipokukuta nawe si ndiyo furaha yangu?
Nakazia: kina kipi ukitaka zaidi ya hapo?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]huyo nyani atapata wapi hiyo hela ya kununua kiooKumbe niliyokuuliza ni magumu? Ama kweli nyani kuona ku*dule hadi anunue kioo.
"Kupelekea moto" ni msamiati wa matusi ya nguoni.Siyo kuwa utulie wewe na kwamba urejee shule au hata ngumbalu kujifunza kuandika vyema?
Minufaikaji ya utapeli tapeli mkiguswa kwenye anga zenu kwani huwa mnaweza japo kukaa kimya?
Mbona hatutaacha kuwapelekeeni moto? Tafuteni kazi zingine huku hatutawaacha salama.
Na bado!
Hivi mtoa mada angeliandika kwa usanifu hivi, kungelifurika hoja za missunderstanding zisizo na ulazima?Umekunywa bia, na kuamua kulipa bili kwa kumtumia pesa zilizoko kwenye simu yako aliyekuuzia, awe Barmaid au Kaunta wa hiyo bar.
Baada ya muda ukazirudisha hizo pesa kwako tena. Kwenye simu yako kupitia huduma ya kurudisha muamala uliotumwa kimakosa.
Hapa inamaana umemwibia aliyekuuzia Bia.
Tahadhari.
Usikubali kulipwa kwa njia ya kurushiwa pesa ya kwenye simu na mtu usiye mjua.
Atarudisha muamala wake aliokutumia pesa na kukusababishia hasara ya bidhaa yako.
Tatizo lugha uliyoitumia kuwasilisha mada mkuu.Umeandika vyema. Dawa ya hili ni elimu ya kutosha kwa watu. Makampuni ya simu yalipaswa kuwa mstari wa mbele kwenye kuwapa watu elimu hiyo.
Kwamba tunasema hapa na kwa kutokuelewa kwao wengine wanaona wajinga ni sisi?
Hiyo ndiyo Tanzania sasa ambako hata asiyekuwa na ujuzi ni nguli mbobezi.
Hii njia niliwahi itumia kwa hawara mshenzi!... na ndio maana wajanja kama unataka kumtumia pesa kutokea mbali hakubali umtumie kwenye namba yake. Anakutumia details za wakala utume kwake kuondoa risk ya ku-cancel mwamala baada ya kutuma.
Airtel wanakutangazia kifurushi cha "dakika 150 kwa 1000 Tsh mitamdao yote" lakini ukishalipia wanakupa dk 110 Airtel to Airtel na only dk 40 mitamdao yote! Wizi mtupu!Huku tozo, kumbe kama vile haitoshi miamala nayo ni kwa risk zetu wenyewe?
Jamaa yangu mmoja alikubali malipo kwa M-pesa. Muamala ukasoma safi, lakini baada ya muda mlipaji akauchukua kama alivyokuwa kautuma. Wizi na utapeli wa mchana kweupe!
Kuwapata wenye mtandao wao, wakadai hii inawapata wengi.
Cha kujiuliza kama vodacom wanaujus wizi huu kuwa rampant kwanini hawajachukua hatua hata za kuuelimisha umma tu?
Au ni kuwa Vodacom wamechagua kuwa sehemu kwenye uwezeshaji wa wizi huu?
Tukimbilie wapi sisi ya Rabi?
"Kupelekea moto" ni msamiati wa matusi ya nguoni.
Kwa nini umeutumia katika kuwasilisha agenda chanya?
"Kupelekea moto" ni msamiati wa matusi ya nguoni.
Kwa nini umeutumia katika kuwasilisha agenda chanya?
Hii njia niliwahi itumia kwa hawara mshenzi!
Nikamtumia 30k nikasubiria ahsante yake.
Nilivyoona kapiga kimya nikampandia hewani kumuuliza kulikoni kimya?
Alinijibu hadi nikatetemeka kwa ghadabu:
"Hela gani ya nyanya hiyo mwanaume mzima unatuma?"
Baada ya majibu yake hayo, faster nikairudisha kwa option ya kutuma hela kimakosa!
Hata iliporejeshwa, yeye kwenye account yake akabaki na figures zile zile.
Kimbembe kilikuja alipotaka kwenda kutoa ili anigidie mimi bwege, kakuta sifuri.
Kwa kuwa nilijua atanitafuta, nikamblock mapema kimya kimya.
Baada kama ya siku3 nikakuta simu imejaa miss call zake, nikajua tayari jiwe nililolirusha gizani limepopoa mtu.
Tatizo lugha uliyoitumia kuwasilisha mada mkuu.
Huoni huyo jinsi alivyoeleweka kirahisi?
Ilitakiwa iwe unatoa taarifa voda kua umekosea halaf wao wapige namba ya kule ulikokosea ili kuthibitisha kama ni kweli amepokea kimakosa. Na ikithibitika amepokea kihalali basi yule mtoa taarifa azuiwe kufanya miamala kwa wiki nzimaKina kipi zaidi ya hapo mkuu?
Malipo kwa M-pesa yanakuhusu mlipaji ku cancel malipo hayo bila kumshirikisha mlipwaji.
Kwenye kadhia hiyo vodacom (mmiliki wa mtandao) anakiri hili kuwa athiri wengi huku akidai kuwa yeye hahusiki.
Wewe unaona hiyo iko fair?
Yangu ni alert. Yamemkuta ndugu yangu yasipokukuta nawe si ndiyo furaha yangu?
Nakazia: kina kipi ukitaka zaidi ya hapo?
Ilitaka haki bin haki. Utapeli ni utapeli tu hauna tofauti na wizi wa kibaka mwizi wa kuku.Ilitakiwa iwe unatoa taarifa voda kua umekosea halaf wao wapige namba ya kule ulikokosea ili kuthibitisha kama ni kweli amepokea kimakosa. Na ikithibitika amepokea kihalali basi yule mtoa taarifa azuiwe kufanya miamala kwa wiki nzima
Umeandika haya:
"Mtoa mada pengine huelewi vizuri hizi mambo zinafanya vipi kazi."
Ni wazi kuwa ungekuwa mada umeielewa usingeandika pia haya:
"Labda elimu ndio muhimu .."
Kwamba:
"ila mtu kurudisha pesa aliyotuma "kimakosa" sio utapeli."
Karudisha pesa aliyotuma kimakosa au katapeli kuwa analipa kumbe - jongo?
Rejea kamusi ya kiswahili kuhusiana na neno utapeli.
View attachment 2304112View attachment 2304118
USITUMIE MPESA AU TIGO PESA KUPOKEA MALIPO SABABU HAZIKUTENGENEZWA ILI KUFANYA MALIPO, ZINARUHUSU KURUDISHA MUAMALA IWAPO MTUMAJI AMEKOSEA. TUMIA NAMBA MAALUM ZA MALIPO KAMA HIZO KWENYE PICHA, KWENYE MENU YAKO IMEANDIKWA LIPA KWA SIMU NA SIO TUMA PESA. UKIFANYA HIVI HUTATAPELIWA.
Ndo elimu hiyo inatolewa na wadau kua mtu asikubali kutumiwa pesa, anatakiwa alipwe sio kutumiwa pesa. Ukitumiwa pesa hujalipwa, umepewa na aliyekupa anaruhusiwa kuirudisha. Ukilipwa ni ya kwako na haiwezi chukuliwa bila ridhaa yako.Msingi wa hoja - inatakikana elimu.
Imefanyanyika tathmini kutambua kiasi gani cha wanajmii kingali gizani huku utapeli huu ukiendelea?
Ni hayo tu ndugu mjumbe.