DOKEZO Utapeli mpya umeibuka kwenye Vyombo vya Habari Tanzania, Serikali chukueni hatua

DOKEZO Utapeli mpya umeibuka kwenye Vyombo vya Habari Tanzania, Serikali chukueni hatua

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

mr pipa

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2021
Posts
3,074
Reaction score
6,472
Wakuu hivi tuseme hizi media zimeishiwa mbinu za kutafuta pesa au wanA wawezesha wasikilizaji?

Kumekuwa na mchezo mmoja saizi naona unasambaa kwenye kila redio.

Unakuta watangazaji wanasema tuma kiasi fulani ujishindie kiasi fulani.

Na ni kwa kila kipindi husika je huu sio utapeli kama serikali inapinga watu kutapeliwa kwenye simu. Sasa kwanini inaruhusu hizi media ziwatapeli watu.

Nb wamiliki wa media kama mnaona mnashindwa kuendesha matangazo yenu bora muombe msaada kama ifanyavyo redio maria kumchangia bikira maria (kapu la mama maria)

Kulikoni hiki mnachofanya kama inashindikana kwakuwa serikali inachukua kodi basi hata wale wa TUMA KWA NAMBA HIYi waingizwe kwenye system tupate kodi toka kwao mnawazuia vipi tena kwa kututumia sms kwenye simu zetu yakuwa ukiona dalili za utapeli tuma namba hiyi sijui 15 napng ngp sasa kuna haja gani

Haiwezekani mtu una mshawishi tuma buku ushinde laki 5 pasipo mchezo wowote kuendelea kwenye hiyo buku yako huu ni wizi ni utapeli mara mia wangeambiwa tuma buku ujibu maswali ujishindie laki tano

Lakini sio tuma buku kwenye namba hiy ushinde laki tano na tena redioni wanasikiliza kila rika tunakifunza nini kizazi chetu
AU wanakuu mnasemaje,? Kwenye hili
Au tutoe taarifa za utapeli kwenye hiyo namba ya kuwa redio fulani inatutapeli ????
 
Watu hawapo kukufurahisha wewe na wana-CHAGEMA, kumbuka watangazaji nao wanatafuta pesa ya kulipa bills.
 
KIKUBWA NI MICHEZO YA HIARI, MKUU USISAHAU KUNA WATU WANA NYOTA, WANA NDOTO ZA KUTAPELIWA.

USISAHAU UWEPO WA WAJINGA NI MTAJI KWA WENGINE.

WAGANGA WA KIENYEJI WAPO KWA AJILI YA WAJINGA.

WANASIASA WAPO KWA AJILI YA WAJINGA.

WAFANYA MIUJIZA WAPO KWA AJILI YA WAJINGA
 
Wakuu hivi tuseme hizi media zimeishiwa mbinu za kutafuta pesa au wanA wawezesha wasikilizaji?

Kumekuwa na mchezo mmoja saizi naona unasambaa kwenye kila redio

Unakuta watangazaji wanasema tuma kiasi fulani ujishindie kiasi fulani

Na ni kwa kila kipindi husika je huu sio utapeli kama serikali inapinga watu kutapeliwa kwenye simu
Sasa kwanini inaruhusu hizi media ziwatapeli watu

Nb wamiliki wa media kama mnaona mnashindwa kuendesha matangazo yenu bora muombe msaada kama ifanyavyo redio maria kumchangia bikira maria (kapu la mama maria)

Kulikoni hiki mnachofanya

AU wanakuu mnasemaje,? Kwenye hili
Hasira zako za Kucheza mara Elfu Mbili na mpaka sasa hujaambulia chochote usizilete katika hizi Media ambazo zinachezesha huu Mchezo Kihalali kabisa ( kwa ruhusa ya Gaming Board na Serikali ) huku Washindi nao wakipatikana kwa Haki pia.

Sasa kama una Nuksi zilizokujaa kutoka katika Visigino vyako hadi katika Kope zako za Macho yako hayo Makubwa uliyonayo kama Kalmati za Vingunguti ulitegemea nawe Ushinde kweli?

Kwani Umelazimishwa Kuucheza?
 
Wakuu hivi tuseme hizi media zimeishiwa mbinu za kutafuta pesa au wanA wawezesha wasikilizaji?

Kumekuwa na mchezo mmoja saizi naona unasambaa kwenye kila redio.

Unakuta watangazaji wanasema tuma kiasi fulani ujishindie kiasi fulani.

Na ni kwa kila kipindi husika je huu sio utapeli kama serikali inapinga watu kutapeliwa kwenye simu. Sasa kwanini inaruhusu hizi media ziwatapeli watu.

Nb wamiliki wa media kama mnaona mnashindwa kuendesha matangazo yenu bora muombe msaada kama ifanyavyo redio maria kumchangia bikira maria (kapu la mama maria)

Kulikoni hiki mnachofanya?

AU wanakuu mnasemaje,? Kwenye hili
Mkuu kwani kucheza ni lazima?
 
Kwani si kuna bodi husika?? Au unafikiri wamefanya kiholela tu?? Kwanza sio lazima kucheza, serikali ina mambo mengi ya maana inatakiwa ifanye sio kuanza kuhangaika na ujinga wa mtu mmoja.
 
Hasira zako za Kucheza mara Elfu Mbili na mpaka sasa hujaambulia chochote usizilete katika hizi Media ambazo zinachezesha huu Mchezo Kihalali kabisa ( kwa ruhusa ya Gaming Board na Serikali ) huku Washindi nao wakipatikana kwa Haki pia.

Sasa kama una Nuksi zilizokujaa kutoka katika Visigino vyako hadi katika Kope zako za Macho yako hayo Makubwa uliyonayo kama Kalmati za Vingunguti ulitegemea nawe Ushinde kweli?

Kwani Umelazimishwa Kuucheza?
Well blessed and very intelligent man!, Nakupata kiongozi.
 
Wakuu hivi tuseme hizi media zimeishiwa mbinu za kutafuta pesa au wanA wawezesha wasikilizaji?

Kumekuwa na mchezo mmoja saizi naona unasambaa kwenye kila redio.

Unakuta watangazaji wanasema tuma kiasi fulani ujishindie kiasi fulani.

Na ni kwa kila kipindi husika je huu sio utapeli kama serikali inapinga watu kutapeliwa kwenye simu. Sasa kwanini inaruhusu hizi media ziwatapeli watu.

Nb wamiliki wa media kama mnaona mnashindwa kuendesha matangazo yenu bora muombe msaada kama ifanyavyo redio maria kumchangia bikira maria (kapu la mama maria)

Kulikoni hiki mnachofanya?

AU wanakuu mnasemaje,? Kwenye hili
Hiyo ni kweli.

Lakini, 90% ya ulimwengu umejaa uwongo, wizi na utapeli. And i think there is nothing you can do about it!
 
Kwa upande wa commercial fm radio especially zinazosikika eneo kubwa la Tanzania nadhani ni RFA na East Africa Radio pekee ambazo hazifanyi hizi michezo
 
Wakuu hivi tuseme hizi media zimeishiwa mbinu za kutafuta pesa au wanA wawezesha wasikilizaji?

Kumekuwa na mchezo mmoja saizi naona unasambaa kwenye kila redio.

Unakuta watangazaji wanasema tuma kiasi fulani ujishindie kiasi fulani.

Na ni kwa kila kipindi husika je huu sio utapeli kama serikali inapinga watu kutapeliwa kwenye simu. Sasa kwanini inaruhusu hizi media ziwatapeli watu.

Nb wamiliki wa media kama mnaona mnashindwa kuendesha matangazo yenu bora muombe msaada kama ifanyavyo redio maria kumchangia bikira maria (kapu la mama maria)

Kulikoni hiki mnachofanya?

AU wanakuu mnasemaje,? Kwenye hili
Madhara ya punyeto iliyopitiliza hayaachani sana na betting iliyokubuhu. Unakumbuka shuka saa tatu ahsubuhi.

Punguza kubet hakuna mgodi wa utajiri huko
 
Wakuu hivi tuseme hizi media zimeishiwa mbinu za kutafuta pesa au wanA wawezesha wasikilizaji?

Kumekuwa na mchezo mmoja saizi naona unasambaa kwenye kila redio.

Unakuta watangazaji wanasema tuma kiasi fulani ujishindie kiasi fulani.

Na ni kwa kila kipindi husika je huu sio utapeli kama serikali inapinga watu kutapeliwa kwenye simu. Sasa kwanini inaruhusu hizi media ziwatapeli watu.

Nb wamiliki wa media kama mnaona mnashindwa kuendesha matangazo yenu bora muombe msaada kama ifanyavyo redio maria kumchangia bikira maria (kapu la mama maria)

Kulikoni hiki mnachofanya?

AU wanakuu mnasemaje,? Kwenye hili
Kwaiyo ww unaona redio maria sio wezi?? ww ukiwa na akili timamu unamchangiaje bikra maria wakat hata dunian hayupo!
 
Nikwelii mkuu hii michezoo imekuwa mingi mnoo mimi kiukweli tangu michezo hii ianze sijawahii muona mtu ninaye mfahamu akashinda sa sijuii wanapeana. Ushindi wa mchongo ili tuzidi kutuma helaa
Wakishinda wanakaa kimya na kujifanya hawajashinda
 
Wakuu hivi tuseme hizi media zimeishiwa mbinu za kutafuta pesa au wanA wawezesha wasikilizaji?

Kumekuwa na mchezo mmoja saizi naona unasambaa kwenye kila redio.

Unakuta watangazaji wanasema tuma kiasi fulani ujishindie kiasi fulani.

Na ni kwa kila kipindi husika je huu sio utapeli kama serikali inapinga watu kutapeliwa kwenye simu. Sasa kwanini inaruhusu hizi media ziwatapeli watu.

Nb wamiliki wa media kama mnaona mnashindwa kuendesha matangazo yenu bora muombe msaada kama ifanyavyo redio maria kumchangia bikira maria (kapu la mama maria)

Kulikoni hiki mnachofanya?

AU wanakuu mnasemaje,? Kwenye hili
Afadhali turudi kwenye radio za dini zetu mfano sisi waislam kuna radio Kheri, Radio Imaan, kwa wale wa kanda kuanzia Kibamba hadi Kibaha kuna Radio moja inaitwa Mum ya Morogoro. Zote hizo unapata taarifa na hakuna kubeti
 
Back
Top Bottom