robertjackline
Member
- Oct 14, 2013
- 52
- 25
Kwani una account ngapi?Wanajamii forum nimebeti na kampuni ya pari matchi. Nimewala pesa zaidi ya mili 3 lakini inakaribia mwezi sasa hawajanitumia pesa yangu na nimejaribu kuwatafuta maranyingi wakaanza kuniuliza niwatumie vitambulisho,niwapigie picha na mambo mengi, jibu walilonipa mwisho ni kwamba eti wamechunguza wameona ninaacount zaid ya moja, nashindwa kuwaelewa mwenye kujua kuhusu mambo haya vizuri anisaidie ushaurView attachment 1015137
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikusoma mashart ndugu lakini premier au sport pesa ulila kama unaacount zaid ya moja huwa hawana tatizo kabisa,Kwani wakati unajiunga kuna shart kwamba usiwe na akaunt zaid ya moja?
Sikusoma mashart ndugu lakini premier au sport pesa ulila kama unaacount zaid ya moja huwa hawana tatizo kabisa,
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa sawa mkuu nitalifanyia kazi pamoja nakuwa nipo arusha naomba unisaidie utaratibuMkuu nenda ofisi zao wakikataa nenda bodi ya michezo ya kubahatisha huu ujinga walinifanyia meridian bet nilikula bonus wakakataa kunitumia pesa eti kisa nime comment mara tatu kwenye account yao niliwazungusha paka walikuwa wanafutiwa kibali wakaona isiwe shida wakanipa pesa yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana ndugu kama ni kweli una account zaidi ya moja sio rahisi wakulipe
Wana JamiiForums
Nimebeti na kampuni ya pari matchi. Nimewala pesa zaidi ya Milioni 3 lakini inakaribia mwezi sasa hawajanitumia pesa yangu na nimejaribu kuwatafuta maranyingi wakaanza kuniuliza niwatumie vitambulisho,niwapigie picha na mambo mengi, jibu walilonipa mwisho ni kwamba eti wamechunguza wameona ninaacount zaid ya moja, nashindwa kuwaelewa mwenye kujua kuhusu mambo haya vizuri anisaidie ushauri
View attachment 1015137
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa ushauri ndugu nitalifanyia lazi hiloUhuni huu, nenda ofisini kwao wakikataa kawashitaki kwa mamlaka ya bahati nasibu
Account zaidi ya moja inahusika vipi nenda kakalamike katika bodi ya michezo ya kubahatishaWana JamiiForums
Nimebeti na kampuni ya pari matchi. Nimewala pesa zaidi ya Milioni 3 lakini inakaribia mwezi sasa hawajanitumia pesa yangu na nimejaribu kuwatafuta maranyingi wakaanza kuniuliza niwatumie vitambulisho,niwapigie picha na mambo mengi, jibu walilonipa mwisho ni kwamba eti wamechunguza wameona ninaacount zaid ya moja, nashindwa kuwaelewa mwenye kujua kuhusu mambo haya vizuri anisaidie ushauri
View attachment 1015137
Sent using Jamii Forums mobile app