Utapeli Pari match bet

Utapeli Pari match bet

Joined
Oct 14, 2013
Posts
52
Reaction score
25
Wana JamiiForums

Nimebeti na kampuni ya pari matchi. Nimewala pesa zaidi ya Milioni 3 lakini inakaribia mwezi sasa hawajanitumia pesa yangu na nimejaribu kuwatafuta maranyingi wakaanza kuniuliza niwatumie vitambulisho,niwapigie picha na mambo mengi, jibu walilonipa mwisho ni kwamba eti wamechunguza wameona ninaacount zaid ya moja, nashindwa kuwaelewa mwenye kujua kuhusu mambo haya vizuri anisaidie ushauri

FB_IMG_1549430303960.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanajamii forum nimebeti na kampuni ya pari matchi. Nimewala pesa zaidi ya mili 3 lakini inakaribia mwezi sasa hawajanitumia pesa yangu na nimejaribu kuwatafuta maranyingi wakaanza kuniuliza niwatumie vitambulisho,niwapigie picha na mambo mengi, jibu walilonipa mwisho ni kwamba eti wamechunguza wameona ninaacount zaid ya moja, nashindwa kuwaelewa mwenye kujua kuhusu mambo haya vizuri anisaidie ushaurView attachment 1015137

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani una account ngapi?
 
Mkuu nenda ofisi zao wakikataa nenda bodi ya michezo ya kubahatisha huu ujinga walinifanyia meridian bet nilikula bonus wakakataa kunitumia pesa eti kisa nime comment mara tatu kwenye account yao niliwazungusha paka walikuwa wanafutiwa kibali wakaona isiwe shida wakanipa pesa yangu

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa sawa mkuu nitalifanyia kazi pamoja nakuwa nipo arusha naomba unisaidie utaratibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wana JamiiForums

Nimebeti na kampuni ya pari matchi. Nimewala pesa zaidi ya Milioni 3 lakini inakaribia mwezi sasa hawajanitumia pesa yangu na nimejaribu kuwatafuta maranyingi wakaanza kuniuliza niwatumie vitambulisho,niwapigie picha na mambo mengi, jibu walilonipa mwisho ni kwamba eti wamechunguza wameona ninaacount zaid ya moja, nashindwa kuwaelewa mwenye kujua kuhusu mambo haya vizuri anisaidie ushauri

View attachment 1015137

Sent using Jamii Forums mobile app

Uhuni huu, nenda ofisini kwao wakikataa kawashitaki kwa mamlaka ya bahati nasibu
 
Wana JamiiForums

Nimebeti na kampuni ya pari matchi. Nimewala pesa zaidi ya Milioni 3 lakini inakaribia mwezi sasa hawajanitumia pesa yangu na nimejaribu kuwatafuta maranyingi wakaanza kuniuliza niwatumie vitambulisho,niwapigie picha na mambo mengi, jibu walilonipa mwisho ni kwamba eti wamechunguza wameona ninaacount zaid ya moja, nashindwa kuwaelewa mwenye kujua kuhusu mambo haya vizuri anisaidie ushauri

View attachment 1015137

Sent using Jamii Forums mobile app
Account zaidi ya moja inahusika vipi nenda kakalamike katika bodi ya michezo ya kubahatisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Oyoo... uliweka ngapi hadi ukawapiga pesa yote hiyo?? Pambana aisee hadi walipe mpunga wako...


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom