Utapeli Pari match bet

Sportpesa Kenya mzigo umefikia TZS billion 3 almost na bado unasonga tu, Ila naupa wiki chache mzigo unachukuliwa huo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uhuni huu, nenda ofisini kwao wakikataa kawashitaki kwa mamlaka ya bahati nasibu
Tena wambie unakuja Dar na mwanasheria ..itabidi wakulipe hela ya mwanasheria na gharama za kuja far ma ndege..all cost to be paid...kuwa serious..wambie unakuja dar na mwanasheria..ili wakulipe hela yote ma milion 6 za asumbufu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda Kwenye Bodi Ya Bahati Na Sibu Ukaonane Na Abas Tarimba Nakuhakikishia Kesho Tu Wanakulipa
Usiende kwao..maana washashindwa kukulipa..screenshot chat zao na zako kisha nenda directly bodi ya bahati na sibu

Pia utadai wakulipe gharama ya usumbufu wa kuja Dar..mkuu mark my wordutalipwa hela yote na ya usumbufu juu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
robertjackline tatizo lako limeishaje tunaomba feedback
 
Bado ndugu niliwasiliana na gbt wameniambia wanalifanyia kazi lakin pia siku chache zijazo naelekea dar nikalifatilie kwa karibu zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah yani inatia hasira sana yani kwa jinsi tunavyoliwa alafu itokee tatizo kama hilo inatia hasira sana

Alaf inatakiwa uwaambie ulipoteza laini uliyofungulia acc ndo maana ukafungua acc mpya
 
Acha tuu ndugu, mtu unajaribu kifikiria utabet vip tena uitew mili6 tim zinavyochana
Dah yani inatia hasira sana yani kwa jinsi tunavyoliwa alafu itokee tatizo kama hilo inatia hasira sana

Alaf inatakiwa uwaambie ulipoteza laini uliyofungulia acc ndo maana ukafungua acc mpya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm nishaachana na makampuni ya Tanzania Tangu nilipodeposit 500k premier bet Mzigo ulikatwa mpesa ila kwenye account premier haujaingia, nikipiga cm premier bet na kutuma ile sms nazungushwa tu. Nikaona bongo ungese tu. kiufupi ukiondoa 1xbet kampuni nyingi Tanzania zipo kutuibia tu.
 
Tatizo 1xbet mfumo wakulipa ni mgumu ndugu,au wewe unalipaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…