robertjackline
Member
- Oct 14, 2013
- 52
- 25
- Thread starter
-
- #81
Acha tuu ndugu yangu pesa zetu wanakula ila wakiliwa inakuwa tabuNao wadanzii, Kwahiyo ukiwala ndio wanajifanya una account 2.. ukiliwa hawasemii
Sent using Jamii Forums mobile app
Kampuni gani nyingine zina utapeli kama huu wa parimatch tutemane nao!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao primier kwenye kutoa hela mbona wanasema hakiki account. Ina hakikiwa vipi.Sikusoma mashart ndugu lakini premier au sport pesa ulila kama unaacount zaid ya moja huwa hawana tatizo kabisa,
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kwenye nyota nyota nimeweka majibu yangu na imeshuka vizuri sana.Hawa Parimatch ni ** sana.. Mimi mwenyewe niliwala kama laki3 tu natoa wanaanza kudai vitambulisho k**** zao hawa mbwa
Betpawa nilikula mil 2.8 baada ya dk 5 hela imeingia na nikafanya transfer poa ,betpawa ni kampuni makini sananjoobet pawa watu wanaliwa mamilion na wanakula mamilion cash to cash
kule chapu hawawazigiBetpawa nilikula mil 2.8 baada ya dk 5 hela imeingia na nikafanya transfer poa ,betpawa ni kampuni makini sana
Makampuni yangu ni betpawa na sportpesa tu,niliwahi kula hela haifiki hata laki nilizungushana na betika wiki nzima ,halafu wasumbufu kila kukiwa na mechi Kali wanapigia watu simu kukumbusha kumbe matapeli sanakule chapu hawawazigi
Vp mdau ulifanikiwa kupata ela yakoWana JamiiForums
Nimebeti na kampuni ya pari matchi. Nimewala pesa zaidi ya Milioni 3 lakini inakaribia mwezi sasa hawajanitumia pesa yangu na nimejaribu kuwatafuta maranyingi wakaanza kuniuliza niwatumie vitambulisho,niwapigie picha na mambo mengi, jibu walilonipa mwisho ni kwamba eti wamechunguza wameona ninaacount zaid ya moja, nashindwa kuwaelewa mwenye kujua kuhusu mambo haya vizuri anisaidie ushauri
View attachment 1015137
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa case ya account 2, kuna. jamaa juzi kati amekula milioni 38, 22bet wakamzingua kwa kigezo hicho waka mzima pesa yake nafikiri tuachane. na kampuni za Kiswahili hizi zimejaa uhuni, yaani milion 3 wanakuzima wajinga sana haoWana JamiiForums
Nimebeti na kampuni ya pari matchi. Nimewala pesa zaidi ya Milioni 3 lakini inakaribia mwezi sasa hawajanitumia pesa yangu na nimejaribu kuwatafuta maranyingi wakaanza kuniuliza niwatumie vitambulisho,niwapigie picha na mambo mengi, jibu walilonipa mwisho ni kwamba eti wamechunguza wameona ninaacount zaid ya moja, nashindwa kuwaelewa mwenye kujua kuhusu mambo haya vizuri anisaidie ushauri
View attachment 1015137
Sent using Jamii Forums mobile app
22bet ipo bongo ina tumia domain ya bongo mshauri aenda ofisi Za kamari atasaidiwakwa case ya account 2, kuna. jamaa juzi kati amekula milioni 38, 22bet wakamzingua kwa kigezo hicho waka mzima pesa yake nafikiri tuachane. na kampuni za Kiswahili hizi zimejaa uhuni, yaani milion 3 wanakuzima wajinga sana hao