Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
Dah mkuu sipo sawa sasa.... ngem bless sina baya mkuuMpongeze kwa kumtumia hata bando la mwezi mkuu..
Huko ndio kutopongeza kinyonge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah mkuu sipo sawa sasa.... ngem bless sina baya mkuuMpongeze kwa kumtumia hata bando la mwezi mkuu..
Huko ndio kutopongeza kinyonge
Ndugu yangu,Hivi kwa nini watu hawanashindwa kuelewa pyramid scam business.
Au ccm ni muhusika mkubwa ndani ya serikali.
Maana kuna vitu ambavyo hata ccm naweza kusema vinahusika ndani ya nchi sababu ni serikali.
Inasikitisha sanaNdugu yangu,
Hakuna kitu kibaya kama UMASIKINI uchanganye na UJINGA. Huu mchanganyiko huwa ni hatari sana mtu anakua yupo tayari kufanya chochote akiamini kitampa pesa.
Nimemkumbuka mzee mmoja alikua anafanya kazi na ndugu yangu ofis moja, huyu mzee niliambiwa tangu akiwa kijana amekua akicheza michezo ile ya kubahatisha, bahati nasibu zile, betting nk. Yaani ukiongea nae alikuwa ana amini kabisa kwamba kuna siku atapiga hela ndefu awe tajiri mkubwa! Masikini mpaka anastaafu hakuwahi kushinda chochote aliishia kurudi kijijini akiwa fukara wa kutupwa. Sijui kama bado yupo hai mpaka leo.
🔊🔊🔊Ohh wajinga ndio waliwaoooooKekundu
Wajinga ndio waliwaooooo🔊🔊🔊Ohh wajinga ndio waliwaooooo
Ndiyo hivyo tena, umechelewa kidogo, ila wapo humu mabinti wadogo wa kukufaa.Mshangazi dot com ulikuwa unawahi wapi nawe kukua haraka hivo.
Ilitakiwa nikukute hapo kwenye binti mdogo
🤣Mwachi mbona huowi babu Yani unapika hadi chapati za hohoKaribu ziadi ya jf unakaribishwa nyumbani pia tubadirishane mawazo uku ukipigwa na upepo
Afu huu wimbo ni mtamu hasa pale wanaume wanapitikia 😂😂Wajinga ndio waliwaooooo
Watag maana me naona mabros kina Evelyn Salt AtotoNdiyo hivyo tena, umechelewa kidogo, ila wapo humu mabinti wadogo wa kukufaa.
Ahaha umeshindwa kuendelezaAfu huu wimbo ni mtamu hasa pale wanaume wanapitikia 😂😂
Soon utakuwa mshanga ase soon🤣Mwachi mbona huowi babu Yani unapika hadi chapati za hoho
Hii naona wanajeshi wengi wanaliwa pesa kuna wawili waliweka pesa mwanzo walikuwa wanatuonyesha sana make money mwisho siku zinavyo songa hawa show tena 😂Mimi nasubir siku F.I.C wakifanya yao,kuna jamaa yang kapata hela kwa mateso sana,nashangaa anaweka mpaka 2mil,nilishangaa sana
Wimbo mrefu huuAhaha umeshindwa kuendeleza
Snuff inahela sana watu hawajui tu Mimi nauza ugoro wa kimasai naagiza hapo Dodoma nikichanganya na maji ya mwarobaini natoa kitu konk wiki tu mzigo umeisha🤣Mkuu bora nilime tumbaku ni tengeneze snuff na niuze Cannabis hizi tangible haya mambo ya kusadikika hapana.
Af juzi wakakucheka na itel yako kumbe jamaa unapiga pesa zako kimya kimya ndivyo inavyo takiwa bossSnuff inahela sana watu hawajui tu Mimi nauza ugoro wa kimasai naagiza hapo Dodoma nikichanganya na maji ya mwarobaini natoa kitu konk wiki tu mzigo umeisha🤣