Vanclassic
Member
- Sep 9, 2024
- 32
- 76
Habar za muda Huu wana jamvi leo mida ya saa sita mchana ilinipigia Namba hii 0749935122 ambayo ni ya huyo tapeli alijitambulisha kwangu anaitwa Mr Elias alipata taarifa kuwa Mimi ni fund Kuchomelea kwaiy ana sait yake Ipo mtaa flani ambao upo KM 15 Hiv toka ninapokaa Mimi anataka ikapimwe madirisha na mageti ya mlangon ili nimpe hesabu ya materials anipe pesa nikanunue kazi ianze
Wakat huo huo pia akaniomba Namba za mtu wa umeme na wa bomba... Mi nikawa Sina hiyana nikampatia Namba za jamaa zang flani ni mafund wa Izo kaz.
Kwakuwa Nina jamaa yang ambae n fund Kuchomelea ikabid mi nikubali ilo dili nia na madhmun nimuunganishe uy jamaa ang......tukakubalian na huyo Mr Elias baada ya nusu saa niende sait kwake nikasema sawa ..
Imefika nusu saa akanipigia sim akaniambia atanitumia Namba za dgo ambae yupo sait nitamkuta huko..yeye Mr Elias alidai alibanwa na kazi hivo hatowez kwenda kwaiy alitaka Mimi niende nitamkuta mtu uko akanipatia Namba ya uyo mtu ambae anamuita Dogo no hizi 0625138920..
Wakt huo huo pia akawapigia wale jmaa zang wengine...umeme na maji akiwaambia ivo ivo km Mimi ispokuwa akataja location tofaut sait yake ilipo na jina akabadili akajiita Mr yakobo ...
Baad ya km nusu saa Hiv nikaipiga ile Namba ya dgo anipe maelekezo niende sait ile namb haikupokelewa..... Dk 3 badae akanipigia Mr Elias akaniambia et km Nina 25,000 nimtumie uyo dgo hela aweke mafuta alitoka kwenda sehem Piki Piki imemzimia mafta alaf nikifk sait nimsubirie yey ataniletea akija kuchkua hesab ya materials..😄
Nikamwambia boc mi mbn Sina hela kwanini yeye akope tu uko uko alipo...😂😂 nilitukanwa matuc ya hatar.
Wale jamaa zang wa umem na maj nao waliishia ivo ivo ila hawajatuma hela waliishia kutukanana...
Wakat huo huo pia akaniomba Namba za mtu wa umeme na wa bomba... Mi nikawa Sina hiyana nikampatia Namba za jamaa zang flani ni mafund wa Izo kaz.
Kwakuwa Nina jamaa yang ambae n fund Kuchomelea ikabid mi nikubali ilo dili nia na madhmun nimuunganishe uy jamaa ang......tukakubalian na huyo Mr Elias baada ya nusu saa niende sait kwake nikasema sawa ..
Imefika nusu saa akanipigia sim akaniambia atanitumia Namba za dgo ambae yupo sait nitamkuta huko..yeye Mr Elias alidai alibanwa na kazi hivo hatowez kwenda kwaiy alitaka Mimi niende nitamkuta mtu uko akanipatia Namba ya uyo mtu ambae anamuita Dogo no hizi 0625138920..
Wakt huo huo pia akawapigia wale jmaa zang wengine...umeme na maji akiwaambia ivo ivo km Mimi ispokuwa akataja location tofaut sait yake ilipo na jina akabadili akajiita Mr yakobo ...
Baad ya km nusu saa Hiv nikaipiga ile Namba ya dgo anipe maelekezo niende sait ile namb haikupokelewa..... Dk 3 badae akanipigia Mr Elias akaniambia et km Nina 25,000 nimtumie uyo dgo hela aweke mafuta alitoka kwenda sehem Piki Piki imemzimia mafta alaf nikifk sait nimsubirie yey ataniletea akija kuchkua hesab ya materials..😄
Nikamwambia boc mi mbn Sina hela kwanini yeye akope tu uko uko alipo...😂😂 nilitukanwa matuc ya hatar.
Wale jamaa zang wa umem na maj nao waliishia ivo ivo ila hawajatuma hela waliishia kutukanana...