Utapeli unaendelea mafundi kuweni makini hii imetokea leo

Utapeli unaendelea mafundi kuweni makini hii imetokea leo

Vanclassic

Member
Joined
Sep 9, 2024
Posts
32
Reaction score
76
Habar za muda Huu wana jamvi leo mida ya saa sita mchana ilinipigia Namba hii 0749935122 ambayo ni ya huyo tapeli alijitambulisha kwangu anaitwa Mr Elias alipata taarifa kuwa Mimi ni fund Kuchomelea kwaiy ana sait yake Ipo mtaa flani ambao upo KM 15 Hiv toka ninapokaa Mimi anataka ikapimwe madirisha na mageti ya mlangon ili nimpe hesabu ya materials anipe pesa nikanunue kazi ianze

Wakat huo huo pia akaniomba Namba za mtu wa umeme na wa bomba... Mi nikawa Sina hiyana nikampatia Namba za jamaa zang flani ni mafund wa Izo kaz.

Kwakuwa Nina jamaa yang ambae n fund Kuchomelea ikabid mi nikubali ilo dili nia na madhmun nimuunganishe uy jamaa ang......tukakubalian na huyo Mr Elias baada ya nusu saa niende sait kwake nikasema sawa ..

Imefika nusu saa akanipigia sim akaniambia atanitumia Namba za dgo ambae yupo sait nitamkuta huko..yeye Mr Elias alidai alibanwa na kazi hivo hatowez kwenda kwaiy alitaka Mimi niende nitamkuta mtu uko akanipatia Namba ya uyo mtu ambae anamuita Dogo no hizi 0625138920..

Wakt huo huo pia akawapigia wale jmaa zang wengine...umeme na maji akiwaambia ivo ivo km Mimi ispokuwa akataja location tofaut sait yake ilipo na jina akabadili akajiita Mr yakobo ...

Baad ya km nusu saa Hiv nikaipiga ile Namba ya dgo anipe maelekezo niende sait ile namb haikupokelewa..... Dk 3 badae akanipigia Mr Elias akaniambia et km Nina 25,000 nimtumie uyo dgo hela aweke mafuta alitoka kwenda sehem Piki Piki imemzimia mafta alaf nikifk sait nimsubirie yey ataniletea akija kuchkua hesab ya materials..😄

Nikamwambia boc mi mbn Sina hela kwanini yeye akope tu uko uko alipo...😂😂 nilitukanwa matuc ya hatar.

Wale jamaa zang wa umem na maj nao waliishia ivo ivo ila hawajatuma hela waliishia kutukanana...
 
huyo tapeli bado hajaiva, alitakiwa akuite mpaka saiti, ukifika ajidai yupo bize na simu muda wooote.

Ikikata hii inaingia nyingine, halafu ghafra anakuomba simu yako, anataka kumpigia mtu ya kwake salio limekata

akitoka hapo anaenda kwa fundi umeme napo anachukua simu kwa maelezo yale yale kisha anamalizia kwa fundi bomba.

Akimaliza huyoooo anatokomea
 
Habar za muda Huu wana jamvi leo mida ya saa sita mchana ilinipigia Namba hii 0749935122 ambayo ni ya huyo tapeli alijitambulisha kwang anaitwa Mr Elias alipata taarifa kuwa Mimi ni fund Kuchomelea kwaiy ana sait yake Ipo mtaa flani ambao upo KM 15 Hiv toka ninapokaa Mimi anataka ikapimwe madirisha na mageti ya mlangon ili nimpe hesabu ya materials anipe pesa nikanunue kazi ianze

Wakat huo huo pia akaniomba Namba za mtu wa umeme na wa bomba... Mi nikawa Sina hiyana nikampatia Namba za jamaa zang flani ni mafund wa Izo kaz.

Kwakuwa Nina jamaa yang ambae n fund Kuchomelea ikabid mi nikubali ilo dili nia na madhmun nimuunganishe uy jamaa ang......tukakubalian na huyo Mr Elias baada ya nusu saa niende sait kwake nikasema sawa ...

Imefika nusu saa akanipigia sim akaniambia atanitumia Namba za dgo ambae yupo sait nitamkuta huko..yeye Mr Elias alidai alibanwa na kazi hivo hatowez kwenda kwaiy alitaka Mimi niende nitamkuta mtu uko akanipatia Namba ya uyo mtu ambae anamuita Dogo no hizi 0625138920..

Wakt huo huo pia akawapigia wale jmaa zang wengine...umeme na maji akiwaambia ivo ivo km Mimi ispokuwa akataja location tofaut sait yake ilipo na jina akabadili akajiita Mr yakobo ...

Baad ya km nusu saa Hiv nikaipiga ile Namba ya dgo anipe maelekezo niende sait ile namb haikupokelewa..... Dk 3 badae akanipigia Mr Elias akaniambia et km Nina 25,000 nimtumie uyo dgo hela aweke mafuta alitoka kwenda sehem Piki Piki imemzimia mafta alaf nikifk sait nimsubirie yey ataniletea akija kuchkua hesab ya materials..😄

Nikamwambia boc mi mbn Sina hela kwanini yeye akope tu uko uko alipo...😂😂 nilitukanwa matuc ya hatar.

Wale jamaa zang wa umem na maj nao waliishia ivo ivo ila hawajatuma hela waliishia kutukanana...
Kuna mafundi kibao wameliwa hapo

USSR
 
Wakati Niko chuo kikuu Cha Dar nilikua naishi hall one block F lile ambalo Lina ngazi Kama unakwenda underground. Kipindi kile kulikua na watu wanaitwa ma dobi. Kuna dobi mmoja mabibo , dobi hatari alikua anafanya shughuli zake mbele ya nyumba moja Ina wapangaji, wapangaji walikua wanajiachia Sana hawafungi milango uao vizuri kwasababu nje Kuna doni ambaye haondoki, yupo muda wote. Wahuni wakapanga kwenda kuiba kwenye Ile nyumba na zile nguo anazopiga pasi yule dobi, kipindi kile ukiweza kuiba nguo mabibo unakwenda kuziuza fasta tu maana Ni kile kipindi wamakonde walivaa mpaka visafleti. kikwazo kikawa dobi. Sasa wale wahuni wakamfuata dobi na kumuambia Kuna mzungu chuo kikuu block F amesikia sifa zake, sasa dobi anatakiwa aende chuo kikuu na pasi yake ya mkaa akampigie huyo mzungu nguo maana mzungu amemaliza masomo anataka kurudi kwao. Basi wahuni wakampandisha babu kwenye UDA Hadi chuo block F na kumwambia mzee asubiri pale nje mzungu aitwe. Ile mzee anasubiri wahuni badala ya kupanda gorofani walishuka na zile ngazi Kama za underground na kurudi kituoni, kuchukua uda na kuwahi mabibo kumwibia dobi na wapangaji.
Sasasisi tikawa tunakwend cafeteria kula kuku (kipindi kile chakula cafeteria Ni free) halafuni buffee. Tumekwenda kula na kurudi tunamuona mzee ameganda na pasi yake, tumerudi mzee bado yupo. Ikabidi tumuulize kulikoni mbona Yuko pale muda mrefu? Mzee akafunguka kwamba si huyo mzungu? Kwanza tukashangaa mzungu gani anakaa hall one? Mzee akasema Kuna mzungu amemuita ampigie pasi ndio anamsubiri. Tukamuuliza kwani umetokea wapi. Alipotuambia ndio tukamwambia hao jamaa zako wamekuondoa kule ofisini kwako Ile waibe kiulani.
Mzee hakukumbuka kusubiri UDA aliondoka nduki kwa mguu.
 
huyo tapeli bado hajaiva, alitakiwa akuite mpaka saiti, ukifika ajidai yupo bize na simu muda wooote.

Ikikata hii inaingia nyingine, halafu ghafra anakuomba simu yako, anataka kumpigia mtu, akitoka hapo anaenda kwa fundi umeme napo anaachukua simu kwa maelezo yale yale kisha anamalizia kwa fundi bomba.

Akimaliza huyoooo anatokomea
Hii wanaitumia wasichana kuwubia simu mavwege. Anakuomba aongee na mama yake, ukizubaa anatokomea kusikojulina na kukuachia chakula Cha watu wawili.
 
Utapeli mwingine niliuona pale cafe Latino sinza. Kaja mwanamke kavaa Kama wale ma bar maid na kuchukua order kwa wateja. Jikoni plus counter, kumbe sio mhudumu wa pale. Akishachukua order anatokomea kusiko julikana wakati nyie mnaendelea kutoa malalamiko kwa meneja.
 
😄😄😄😄 hakika mjini mipango
Hivi kwann hawa ukishawashtukia wanaoshia kukutukana
Yaan maisha yamekuwa magumu sana mtu analazimisha kukutaperi ikishindikana anakutana
Kwani lazima kunitaperi si nimekataa
Halafu wengi wao wana lafudhi ya Kanda maalum
 
Habar za muda Huu wana jamvi leo mida ya saa sita mchana ilinipigia Namba hii 0749935122 ambayo ni ya huyo tapeli alijitambulisha kwangu anaitwa Mr Elias alipata taarifa kuwa Mimi ni fund Kuchomelea kwaiy ana sait yake Ipo mtaa flani ambao upo KM 15 Hiv toka ninapokaa Mimi anataka ikapimwe madirisha na mageti ya mlangon ili nimpe hesabu ya materials anipe pesa nikanunue kazi ianze

Wakat huo huo pia akaniomba Namba za mtu wa umeme na wa bomba... Mi nikawa Sina hiyana nikampatia Namba za jamaa zang flani ni mafund wa Izo kaz.

Kwakuwa Nina jamaa yang ambae n fund Kuchomelea ikabid mi nikubali ilo dili nia na madhmun nimuunganishe uy jamaa ang......tukakubalian na huyo Mr Elias baada ya nusu saa niende sait kwake nikasema sawa ..

Imefika nusu saa akanipigia sim akaniambia atanitumia Namba za dgo ambae yupo sait nitamkuta huko..yeye Mr Elias alidai alibanwa na kazi hivo hatowez kwenda kwaiy alitaka Mimi niende nitamkuta mtu uko akanipatia Namba ya uyo mtu ambae anamuita Dogo no hizi 0625138920..

Wakt huo huo pia akawapigia wale jmaa zang wengine...umeme na maji akiwaambia ivo ivo km Mimi ispokuwa akataja location tofaut sait yake ilipo na jina akabadili akajiita Mr yakobo ...

Baad ya km nusu saa Hiv nikaipiga ile Namba ya dgo anipe maelekezo niende sait ile namb haikupokelewa..... Dk 3 badae akanipigia Mr Elias akaniambia et km Nina 25,000 nimtumie uyo dgo hela aweke mafuta alitoka kwenda sehem Piki Piki imemzimia mafta alaf nikifk sait nimsubirie yey ataniletea akija kuchkua hesab ya materials..😄

Nikamwambia boc mi mbn Sina hela kwanini yeye akope tu uko uko alipo...😂😂 nilitukanwa matuc ya hatar.

Wale jamaa zang wa umem na maj nao waliishia ivo ivo ila hawajatuma hela waliishia kutukanana...
Mimi ndio huanza Kuwapa kifurushi cha wiki cha matusi halafu kinachofuata ni block
 
Matapeli sasa hivi wamewageukia mafundi kutaka kuwatapeli. Kosa wanalofanya ni kuomba fundi atume hela ili pikipiki ijazwe mafuta ije imchukue impeleke saiti hela atarudishiwa hukohuko saiti. Mbaya zaidi fundi na huyo tapeli hawajuani
 
Mama lishe hawajaachwa nyuma nimeona mama lishe wawili wamepikishwa chakula lundo sahani kama 50 hivi Kisha wakaambiwa kuleta shule
Wahusika huangalia kama shule Kuna ka shughuli flani known basi wanawaambie leta chakula shule
Mda mfupi akiwa anakaribia kuja wanamwambia tuma kiasi kadhaa tununue umeme hapa ukija tunakupa hela Yako
Wa kwanza alituma 100000 wa pili 15000 na wote wakaja wakaganda na sahani zao hadi tulipotoka na kuwashangaa nao wakatushangaa
 
Tapeli mmoja alimtapeli fundi welding kwa kumfuata kwenye kijiwe chake na kumtaka fundi abebe vifaa kabisa kuelekea kazi ilpo,fundi akabeba welding machine,grinder,nyundo n.k
Walipofika eneo la kazi ilikuwa ni fremu ya duka kuweka vyuma kwa ajili ya kivuli ikapigwa hesabu ya materials zikatakiwa squire pipe 4
Jamaa akapiga simu dukani akambiwa bei,fundi kusikia ile akamwambia bosi mbona unauziwa bei kubwa ...pale karibu na ofisi yangu bei ni nafuu bora tukanunue huko,bosi akamwambia nenda mara moja kwani mie kuna jamaa anakuja namsubiri aniletee pesa
Fundi akasema mie lile duka watanipa materials niwalipe jioni jamaa akasema basi kachukue
Fundi kaenda kukopa materials aliporudi hakumkuta bosi wala machine
Welding machine..250,000
Grinder ndogo...........120,000
Nyundo......
Extension cable ndefu
Bosi kasepa navyo
 
Utapeli mwingine niliuona pale cafe Latino sinza. Kaja mwanamke kavaa Kama wale ma bar maid na kuchukua order kwa wateja. Jikoni plus counter, kumbe sio mhudumu wa pale. Akishachukua order anatokomea kusiko julikana wakati nyie mnaendelea kutoa malalamiko kwa meneja.
Kosa la mwenye cafe. Au anashirikiana na tapeli au kuna wahudumu wanashirikiana naye.
 
Ni kuwa makini na mtu usiyemjua akikupigia simu sikiliza neno neno la kwanza litakupa taarifa nzima kuwa unatapeliwa, kata simu haraka kabla hujatukanwa na tapeli hilo baada ya kujjua linataka kukutapeli au lipe makavu fasta usilipe muda wa kuongea na ulikatie simu
 
Back
Top Bottom