Utapeli wa mchana kweupeKaribu Uptrend shoga mbona watu tunapiga pesa vizuri tu. Mie kwa week naingiza wastani wa $200 sio mbaya. Hapo no Uptrend Inc.
Halafu kwa Elikana-Fx sijadeposit bado.
Kisha FEA naingia $150 hivi kwa week.
Sasa niambie, $200 + $150 = $350 kwa week = $1200 kwa mwezi = 2.5 million TZS hainitoshi kukaa nyumbani na kusahau vicoba!!!
Maisha marahisi ukifungua akili na ukiwa tayari ku-take calculate risk.
Unakosea kusema wote ni matapeli. Umeshatapeliwa sh ngapi nikupe? na una uthibtisho upi kwamba wote ni matapeli?Mbona umepaniki na unanitukana bure...nyie wote ni matapeli mwanzo mwisho
Komaa mpendwa achana na matapeli
Kwa hali hiyo na imani account yako inachezea million 100 kasoro mkuu.Kwa ufupi , hakuna siku siingizi Pesa ya faida kati ya Tsh 60,000 mpaka 200,000....
Mkuu na wewe ynamuamini mnisithe kupitia huyo dogo eti katoa 500$ to 150000 chini ya 3 weeks? Hata kama ni kweli unafikiri huyo ni trader mzuri wa kumtolea mfano? Vipi kwa mtindo huo anaweza kusurvive in long-term? Je unadhani hiyo staili ni sahihi kwa kutrade forex? Huoni kama jamaa anavuta watu kwenye training zake??Endelea kuongea shits ... Huko south Africa mtu katoa dola 500 mpaka 150,000 ndani ya wiki chini ya tatu ....
Nimesoma andiko laki hakuna cha maana unachosema. Eti unasema Forex iko programmed ... Yaani currency ya nchi iko programmed hahahaha hiki kitu ndio nimesikia kwako ... Hakuna hela duniani ina move kwa kuwa programmed labda hela ya mbinguni ... Ingekuwa m hivyo tungeiprogram hela yetu ya shilling isiendelee kushuka ...
Ulivyoandika MTU akipitia juu juu unawezadhani kuna la maana ila ukikaa chini na kutafakari ulichoandika unagundua kuna magap mengi ...
View attachment 1094320
Newbie tu ndo anaweza kujibu hivyoKwani nimeuliza pips ???
Kwani hiyo 200000 huwezi ibadiri ujue ni pips ngapi ??
Hold on😂 😂 😂 ndo wabongo tulivyo nadhani generation iliyozaliwa 2010 kwenda juu itakuwa tofauti kidogo wanakulia katika miongozo mizuri na wanalelewa na wazazi walioachana na Dark ages ila kwa wale wazazi ambao bado wako stuck in 1961 watakoma
Unakosea kusema wote ni matapeli. Umeshatapeliwa sh ngapi nikupe? na una uthibtisho upi kwamba wote ni matapeli?
Yes sir!Hold on
Hata sandile pia anaishi kwa pesa za training, ila yeye ni mjanja sanaa njia anayotumia huwezi kumshtakiWe Fala acha kubwatuka umechanganya majina.
Kuna "Sandile Shezi" na "Andile Mayisela"
Hapo jamaa alimuongelea "Andile"
Acha ujinga.
Yaani kwamba kila week lazima hiyo pesa iingie? Ila Elikana ni moja kati ya trader ninaowakubali bongoKaribu Uptrend shoga mbona watu tunapiga pesa vizuri tu. Mie kwa week naingiza wastani wa $200 sio mbaya. Hapo no Uptrend Inc.
Halafu kwa Elikana-Fx sijadeposit bado.
Kisha FEA naingia $150 hivi kwa week.
Sasa niambie, $200 + $150 = $350 kwa week = $1200 kwa mwezi = 2.5 million TZS hainitoshi kukaa nyumbani na kusahau vicoba!!!
Maisha marahisi ukifungua akili na ukiwa tayari ku-take calculate risk.
Kwamba 200$ ni nyingi 😂 😂 aisee. Huyo aliyekuita fala ungemtukana kivyake ila si kugeneralize traders wote ni matapeli huo ni uwongo. Rekebisha comment yako sio "wote". Na kama ni wote tuma ewallet yako nikupe hiyo hela maana nimekutapeli pia na wakati sikujui wala sijawahi kukuona ila na mimi umenitia kwenye hiyo list. Ni sawasawa niseme wanawake wote ni Wasagaji, it doesnt make any sense ila nikisema baadhi ya wanawake ni wasagaji huo ni ukweli usiopingika.Utanipa wewe laki 4??? Embu acha masikhara aisee..
Na sio justification mtu aniite mimi fala..kama wapo ambao hawakutapeliwa basi good for them..lakin mimi nimetapeliwa
Sure kabisa kuna watu wanatusua na kilimo kila wakilima ila kuna wengine kilimo kinawala kinyume na maumbile hahahah kila wakilimsSi tu forex Bali kila biashara is not for everyone ... Mimi niwewahi kulima na kufuga nikapata hasara .. Ila siwezi kusema ni utapeli ..
Akili za kimasikini.[emoji23] [emoji23] [emoji23] ndo wabongo tulivyo nadhani generation iliyozaliwa 2010 kwenda juu itakuwa tofauti kidogo wanakulia katika miongozo mizuri na wanalelewa na wazazi walioachana na Dark ages ila kwa wale wazazi ambao bado wako stuck in 1961 watakoma
Hakuna kundi lisilo na risk hapo.Nimekwambia tunazunguka wewe umesema sipo sawa, nikauliza wapi eti High Trade Frequency hai-apply kwenye Forex nikakujibu matokeo yake mwisho wa siku bado tupo pale pale kwenye hayo makundi matatui niliyoweka Kuna Risky; na mengine hayana risky kwahio point ya mwanzo kabisa bado ipo valid na sioni hizi pages 13 tulikuwa tunaelekea wapi zaidi ya kupotezeana muda
Hao wote hakuna akili achana nao.Unakosea kusema wote ni matapeli. Umeshatapeliwa sh ngapi nikupe? na una uthibtisho upi kwamba wote ni matapeli?
Lazima utapeliwe kama unatembea na akili mfukoni.Utanipa wewe laki 4??? Embu acha masikhara aisee..
Na sio justification mtu aniite mimi fala..kama wapo ambao hawakutapeliwa basi good for them..lakin mimi nimetapeliwa
Hao wote hakuna akili achana nao.
Hiyo ndo akili ya mtanzania ilivyo. Ukifanikiwa utaitwa freemason.
Serikali itasema ufilisiwe.
Atawalipa kwa kutoa wapi hela?Duh aisee pole kwa kijana mwenzetu ila mbona km kwa maelezo yake hapo juu anadai atawalipa haki zao hao wanaomdai .hata hivyo samahani mkuu point yako ni ipi kwa hili andiko uliloandika sorry km hujapenda nilichoandika
Kwa ufupi , hakuna siku siingizi Pesa ya faida kati ya Tsh 60,000 mpaka 200,000....