kwa nini usijifunze ku trade mwenyewe?? sijawahi waaminii hao account managerTechnically sifanyi trading on my own, bado sijawa expert.
For the time being nimejiunga na forex groups (signal, account management) Uptrend na FEA.
kwa nini usijifunze ku trade mwenyewe?? sijawahi waaminii hao account manager
Sawa broKojoa ukalale. Ukiamka mama yako atakua ashaivisha nguna ufuturu!
Unaonekana tu!
Wewe hapo ulipo unaniona?
Hahahahahah khantwe Dada yangu were si wakule nanjilinji hahahahahah utani tuIlikuwa lazima unitaje? Nani amekuambia sijawahi kufika nje ya bongo?
siku zote kauli za mtu husadifu akili zake zilivyoMimi mwenyewe nimeshangaa kanivamia sijui ushamba sijui nini nimemshangaa mara nimeishia primary... aisee hawa watu waliofeli feli shule na kupata kidogo kila mtu anadhani kafeli kama yeye basi ni kuishi kwa kujitutumua tuu...
Aisee hatari sana mapips ya kutosha. Ni TF gani hii usijekuwa umetuwekea 1min (joke)👑BRIGHT FOREX TANZANIA INSTITUTE
ᴡʀɪᴛᴇ ᴛᴏ ᴍᴇ ᴀʙᴏᴜᴛ: ✅ MARKET STRUCTURE MENTORSHIP 👨🎓 ✅ V.I.P 🌻sɪɢɴᴀʟ 📈📉 ✅FREE WEEKLY CHAT 🤑 🔰FREE eBooks 🇹🇿🇹🇿🇿🇦🇿🇦 ᴀᴅᴍɪɴ @MRBRIGHTZ BEST BROKER https://justforex.com//affiliate/landing/xmas?ref=334180t.me
TEAMView attachment 1096553
Acha usenge wewe mtoto kakojoe ukalaleHelo wakuu
Acc management 70% of profit yours 30% mine. capital From 50$minimum and 10000$ maximum
Pm or whatsapp 0655115004
ukipoteza inakuwajeHelo wakuu
Acc management 70% of profit yours 30% mine. capital From 50$minimum and 10000$ maximum
Pm or whatsapp 0655115004
Aya mama nimekuelewa mwanao nafanya ivoAcha usenge wewe mtoto kakojoe ukalale
Kwani unanipa mkononi no unafungua akaunt yako kwa broker wako unanipa mt4 details tu, mwenye uwezo wa kudeposit na kudrwal ni wewe, kuhusu kupotea utasoma risk disclouser za broker wako, but for me na aaplyy good risk management so i will make sure fund yako inakua doubled then unatoa hofuukipoteza inakuwaje
money hollic ndo akina nani haobna wengi mmeongea wee ila according to my experience
nililipia mafunzo kwa fransisco magnetics which sikujifunza kitu
porojo kibao na ahadi za uongo
nikajitoa nikalipia auto trading kwa majamaa wanaitwa moneyhollic
kachoma account yote
so sjui utanambia nn na hao ma trainer wa bongo ...labda nijifunze mwenyewe online na nijaribu mwenyewe but kwa experience yangu naona wabongo weng wanafundishia njaa
unasema unatengeneza 2.5 mill a month ..well n good hongera
facebook , jf , insta mbona bado unatusumbua unataka laki 1 zetu kwaajili ya trainings ? c uinvest 2.5 m zako utengeneze hata M 4 huko ?
pesa zetu za maji unazitaka za nn ? sasa ukiitwa tapeli utalalamika kweli?[emoji23]
kaa na mamilioni yako bas acha kutupigia kelele tuache na biashara zetu ambazo zinatupa pesa ya uhakika ....kama una moyo wakusaidia coz umefanikiwa fundisha bure
bna wengi mmeongea wee ila according to my experience
nililipia mafunzo kwa fransisco magnetics which sikujifunza kitu
porojo kibao na ahadi za uongo
nikajitoa nikalipia auto trading kwa majamaa wanaitwa moneyhollic
kachoma account yote
so sjui utanambia nn na hao ma trainer wa bongo ...labda nijifunze mwenyewe online na nijaribu mwenyewe but kwa experience yangu naona wabongo weng wanafundishia njaa
unasema unatengeneza 2.5 mill a month ..well n good hongera
facebook , jf , insta mbona bado unatusumbua unataka laki 1 zetu kwaajili ya trainings ? c uinvest 2.5 m zako utengeneze hata M 4 huko ?
pesa zetu za maji unazitaka za nn ? sasa ukiitwa tapeli utalalamika kweli?[emoji23]
kaa na mamilioni yako bas acha kutupigia kelele tuache na biashara zetu ambazo zinatupa pesa ya uhakika ....kama una moyo wakusaidia coz umefanikiwa fundisha bure
Ni kijana ambae hapo nyuma amepata kufanikiwa kwa haraka sana na kuishi maisha ya juu sana na kukiri kuwa na uwezo wa kutengengeneza takribani milioni 9 kila wiki, Ilifikia kipindi akanunua gari ya kifahari aina ya BMW X6, sijui kama ilikuwa ni bahati mbaya au maksudi kimaslahi hio gari ilikula mzinga wiki kama sio miezi michache kabla hajaondoka nchini ikiambatanishwa na "tetesi" ya kwamba kuna aina za bima endapo gari ikipata ajali shirika la bima humlipa mmiliki pesa ya kununua gari upya.
Kijana kwa sasa hayupo nchini na inadaiwa anatafutwa na polisi kwa kile kinachosadikiwa ya kwamba kakimbia na pesa anazodaiwa na wawekezaji wake waliowekeza pesa zao kwake ili wapate faida kwa kuziongeza kupitia skills za forex alizonazo kijana. Kuna "tetesi" ya kwamba wawekezaji walioowekeza wanamdai kiasi cha dola laki tatu (takribani milioni 690 za kitanzania).
HITIMISHO
Walengwa wanaomdai huyu kijana inawezekana wakadhani kwamba kijana kakimbia na pesa zaokumbe sivyo , Kijana kaahidi ya kupitia account yake ya twiiter kwamba atarudisha pesa zao, walengwa itapendeza wawe wavumilivu wakiwa na uhakika wa kurejeshewa pesa zao.
NJE YA MAADA
Awali majuzi tarehe 7 - 5 -2019 huko nchini afrika kusini mfanya biashara wa forex aliekuwa na pesa chafu ambae pia wawekezaji walikuwa wakiwekeza pesa kwake kwa jina la "jabulani cashflow ngcobo" amefungwa kifungo cha miaka sita na kulipa faini ndefu baada ya kupatikana na kesi ya kutapeli wawekezaji
CHIMBUKO LA FOREX TANZANIA
Miaka ya 2017 kuna kijana anaefahamika kwa jina la "Ontario ama Sir jeff dennis" ndie aliekuwa chanzo cha watanzania wengi kuanza kuisoma, kuifatilia na kuifanya forex, alileta muamko mkubwa sana wa forex nchini ikafika kipindi habari ya mujini ilikuwa ni forex na hata post yake ilivunja rekodi ya ushawishi mkubwa kwenye mtandao wa jamiiforums kwa kuwa na wasomaji wengi. Baada ya miezi michache kijana huyu alianzishiwa maada / thread kibao humu ndani zilizomshtumu kwamba ni mpigaji aliekuwa analazimisha wanafunzi wake watrade kwa kumtumia broker waliekuwa wanagawana faida