UTAPELI WA FOREX: Francisco Magnetics adaiwa kuhama nchi, anadaiwa pesa nyingi. Polisi wamsaka!

UTAPELI WA FOREX: Francisco Magnetics adaiwa kuhama nchi, anadaiwa pesa nyingi. Polisi wamsaka!


We share the knowledge
FB_IMG_1557747804204.jpeg
 
Mimi mwenyewe nimeshangaa kanivamia sijui ushamba sijui nini nimemshangaa mara nimeishia primary... aisee hawa watu waliofeli feli shule na kupata kidogo kila mtu anadhani kafeli kama yeye basi ni kuishi kwa kujitutumua tuu...
siku zote kauli za mtu husadifu akili zake zilivyo
 

TEAM
IMG_20190513_190457_980.jpeg
 

TEAMView attachment 1096553
Aisee hatari sana mapips ya kutosha. Ni TF gani hii usijekuwa umetuwekea 1min (joke)
 
Helo wakuu

Acc management 70% of profit yours 30% mine. capital From 50$minimum and 10000$ maximum

Pm or whatsapp 0655115004
 
Tatizo letu Wa bongo kila mtu anajifanya mjuaji/anapenda aonekane anajua kuliko wote..[emoji3][emoji3][emoji3]..instead of kubishana ilitakiwa forums zianzishwe watu wabadilishane experiences coz after all hela za forex haziishi leo wala kesho (over 5 trillion $ per day)..forex is a legitimate business but it needs time and patience and investing in knowledge..Not a quick rich scheme and losses are unavoidable ndo mana kula stop loss..sasa unakuta mtu anapost blue tu ili kuibia watu[emoji28][emoji28]...lets keep learning and chase that paper [emoji39]
 
ukipoteza inakuwaje
Kwani unanipa mkononi no unafungua akaunt yako kwa broker wako unanipa mt4 details tu, mwenye uwezo wa kudeposit na kudrwal ni wewe, kuhusu kupotea utasoma risk disclouser za broker wako, but for me na aaplyy good risk management so i will make sure fund yako inakua doubled then unatoa hofu
 
bna wengi mmeongea wee ila according to my experience

nililipia mafunzo kwa fransisco magnetics which sikujifunza kitu
porojo kibao na ahadi za uongo

nikajitoa nikalipia auto trading kwa majamaa wanaitwa moneyhollic

kachoma account yote

so sjui utanambia nn na hao ma trainer wa bongo ...labda nijifunze mwenyewe online na nijaribu mwenyewe but kwa experience yangu naona wabongo weng wanafundishia njaa

unasema unatengeneza 2.5 mill a month ..well n good hongera

facebook , jf , insta mbona bado unatusumbua unataka laki 1 zetu kwaajili ya trainings ? c uinvest 2.5 m zako utengeneze hata M 4 huko ?

pesa zetu za maji unazitaka za nn ? sasa ukiitwa tapeli utalalamika kweli?[emoji23]

kaa na mamilioni yako bas acha kutupigia kelele tuache na biashara zetu ambazo zinatupa pesa ya uhakika ....kama una moyo wakusaidia coz umefanikiwa fundisha bure
 
bna wengi mmeongea wee ila according to my experience

nililipia mafunzo kwa fransisco magnetics which sikujifunza kitu
porojo kibao na ahadi za uongo

nikajitoa nikalipia auto trading kwa majamaa wanaitwa moneyhollic

kachoma account yote

so sjui utanambia nn na hao ma trainer wa bongo ...labda nijifunze mwenyewe online na nijaribu mwenyewe but kwa experience yangu naona wabongo weng wanafundishia njaa

unasema unatengeneza 2.5 mill a month ..well n good hongera

facebook , jf , insta mbona bado unatusumbua unataka laki 1 zetu kwaajili ya trainings ? c uinvest 2.5 m zako utengeneze hata M 4 huko ?

pesa zetu za maji unazitaka za nn ? sasa ukiitwa tapeli utalalamika kweli?[emoji23]

kaa na mamilioni yako bas acha kutupigia kelele tuache na biashara zetu ambazo zinatupa pesa ya uhakika ....kama una moyo wakusaidia coz umefanikiwa fundisha bure
money hollic ndo akina nani hao
 
bna wengi mmeongea wee ila according to my experience

nililipia mafunzo kwa fransisco magnetics which sikujifunza kitu
porojo kibao na ahadi za uongo

nikajitoa nikalipia auto trading kwa majamaa wanaitwa moneyhollic

kachoma account yote

so sjui utanambia nn na hao ma trainer wa bongo ...labda nijifunze mwenyewe online na nijaribu mwenyewe but kwa experience yangu naona wabongo weng wanafundishia njaa

unasema unatengeneza 2.5 mill a month ..well n good hongera

facebook , jf , insta mbona bado unatusumbua unataka laki 1 zetu kwaajili ya trainings ? c uinvest 2.5 m zako utengeneze hata M 4 huko ?

pesa zetu za maji unazitaka za nn ? sasa ukiitwa tapeli utalalamika kweli?[emoji23]

kaa na mamilioni yako bas acha kutupigia kelele tuache na biashara zetu ambazo zinatupa pesa ya uhakika ....kama una moyo wakusaidia coz umefanikiwa fundisha bure

Good point!
 
magnenga.png

tweet.png

tweet2.png


Ni kijana ambae hapo nyuma amepata kufanikiwa kwa haraka sana na kuishi maisha ya juu sana na kukiri kuwa na uwezo wa kutengengeneza takribani milioni 9 kila wiki, Ilifikia kipindi akanunua gari ya kifahari aina ya BMW X6, sijui kama ilikuwa ni bahati mbaya au maksudi kimaslahi hio gari ilikula mzinga wiki kama sio miezi michache kabla hajaondoka nchini ikiambatanishwa na "tetesi" ya kwamba kuna aina za bima endapo gari ikipata ajali shirika la bima humlipa mmiliki pesa ya kununua gari upya.

Kijana kwa sasa hayupo nchini na inadaiwa anatafutwa na polisi kwa kile kinachosadikiwa ya kwamba kakimbia na pesa anazodaiwa na wawekezaji wake waliowekeza pesa zao kwake ili wapate faida kwa kuziongeza kupitia skills za forex alizonazo kijana. Kuna "tetesi" ya kwamba wawekezaji walioowekeza wanamdai kiasi cha dola laki tatu (takribani milioni 690 za kitanzania).

HITIMISHO
Walengwa wanaomdai huyu kijana inawezekana wakadhani kwamba kijana kakimbia na pesa zaokumbe sivyo , Kijana kaahidi ya kupitia account yake ya twiiter kwamba atarudisha pesa zao, walengwa itapendeza wawe wavumilivu wakiwa na uhakika wa kurejeshewa pesa zao.

NJE YA MAADA
Awali majuzi tarehe 7 - 5 -2019 huko nchini afrika kusini mfanya biashara wa forex aliekuwa na pesa chafu ambae pia wawekezaji walikuwa wakiwekeza pesa kwake kwa jina la "jabulani cashflow ngcobo" amefungwa kifungo cha miaka sita na kulipa faini ndefu baada ya kupatikana na kesi ya kutapeli wawekezaji

CHIMBUKO LA FOREX TANZANIA
Miaka ya 2017 kuna kijana anaefahamika kwa jina la "Ontario ama Sir jeff dennis" ndie aliekuwa chanzo cha watanzania wengi kuanza kuisoma, kuifatilia na kuifanya forex, alileta muamko mkubwa sana wa forex nchini ikafika kipindi habari ya mujini ilikuwa ni forex na hata post yake ilivunja rekodi ya ushawishi mkubwa kwenye mtandao wa jamiiforums kwa kuwa na wasomaji wengi. Baada ya miezi michache kijana huyu alianzishiwa maada / thread kibao humu ndani zilizomshtumu kwamba ni mpigaji aliekuwa analazimisha wanafunzi wake watrade kwa kumtumia broker waliekuwa wanagawana faida

watu forex wanazani kama unachuma,matapeli ni wengi sana mpaka hualisia wa forex ujulikani sasa.kwa mtu anaye ijua uwezi kukuta anatawaliwa na watu kama hao.utajikuta unawatajirisha.mtu aliye soma forex au kuwa na elimu hii asidanganywe na wanao jiita sijui wata kupa signal ambazo pips utafanikiwa,sijui ukijiunga nao utapata signal za kukupa pesa,kumbe wao kutengeneza pesa kwa njia ya wajinga kupitia mambo ya kijanja.
forex sio lele mama fanyeni kazi nyengine ukiona mafanikio sio rahisi
 
Back
Top Bottom