smarphoneseller
Senior Member
- Apr 27, 2019
- 150
- 114
Kwahiyo sasa hivi unatembea na wing ipi. I mean, umejiunga na signal / account management sehem nyingine, ama una trade mwenyewe.
Ama ume stop kwanza, unapiga kwanza vitabu. Ama umeachana kabisa na habari za forex forever!!
ok kumbe kama unameneji akaunt zozote zile za watu zikipotea Hanna kudaiana sasa kwannn wamzingue frans
Kwahiyo sasa hivi unatembea na wing ipi. I mean, umejiunga na signal / account management sehem nyingine, ama una trade mwenyewe.
Ama ume stop kwanza, unapiga kwanza vitabu. Ama umeachana kabisa na habari za forex forever!!
Yule wa sheli ya mafuta ama?kuna mwingine naye hapa hapa bongo kachukua usd laki moja na nusu kwa watu toka January mpaka leo kapotea pasipo julikana, kibaya zaidi aliwasainisha watu mikataba hata pesa isipo rudi he is not liable
kuna watu wanafundishia forex simulator program i think its the best way of teaching someone coz kama mtu mbabaishaj kumdaka pale ni easy sana (hio ina real data za miaka na miaka so unarudisha nyuma time mfano 2004 may 5 unachagua time frame unafanya analysis zako unaingia trade then kama ni time frame kubwa una fast foward kupata results kwa haraka so ivo ...mtu anaejua tu ndo anaweza kukufundishia hio coz kama anamake losses kuliko profits utaona pale within no time
mkuu hiyo hiyo program unaipatajekuna watu wanafundishia forex simulator program i think its the best way of teaching someone coz kama mtu mbabaishaj kumdaka pale ni easy sana (hio ina real data za miaka na miaka so unarudisha nyuma time mfano 2004 may 5 unachagua time frame unafanya analysis zako unaingia trade then kama ni time frame kubwa una fast foward kupata results kwa haraka so ivo ...mtu anaejua tu ndo anaweza kukufundishia hio coz kama anamake losses kuliko profits utaona pale within no time
ha ha ha ha ha acha kutapeli watuHelo wakuu
Acc management 70% of profit yours 30% mine. capital From 50$minimum and 10000$ maximum
Pm or whatsapp 0655115004
Sasa. Je ushawahi kuwasikia jamaa wengine wanajiita Forex_Elite_Academy (FEA)? Huwa nawafatilia insta (carloskapinga na nakodierfx) naona wako vizuri jamaa. Huwa wana trade timeframe za H1 tu. Nataka nijiunge signal subscription zao nione wakoje.
Na mshkaji mmoja anaitwa Gasper Kessy?? Sijui ushamsikia. Yeye anafanya pia autotrading. Yuko vizuri so far, mnagwana 50 kwa 50 kila week mbili.
Hujawahi kuwasikia hawa jamaa??
mkuu hiyo hiyo program unaipataje
Nawatapeli aje mi sichukia hela, kuna aina mbili ya ma ac manager wanaochuka hela anatumia akaunt yake na wale wanao manage akaunt yako ukiwa nayo wewe na hela zakoha ha ha ha ha acha kutapeli watu
Ukweli ni upyiiHuu ni uongo.
Unaandika uongo halafu unatangaza kuwa unauwezo wa kufanya account management!!Ukweli ni upyii
Mkuu mbona sijaona meseji zako ?Mkuu haujibu pm zangu
Nasema ninachokijua kuhusu broker ninaemtumia Mama Debora mim niki kudirect kumtumia broker wangu through my link ninachopata ni 10% parcent ya deposit yako na withdrawals 100deposit mi navutiwa 10usd, mi sinaga hizo marketing ila ndo inavyokua so ina vary kutoka broker kwa broker ye broker atajua ni jinsi gani ya kucoverUnaandika uongo halafu unatangaza kuwa unauwezo wa kufanya account management!!
Uta manage vipi accounts za watu ikiwa hujui in&out za forex halafu unaongopa hadharani.
Wapi ulidanganywa kuwa IB broker anakata 10%
Na pia hii IB ( introducing broker) unapata parcent kubwa pale unapompeleka mtu kwa market maker broker , na hi ndo inaleta lawama kama wale wa jaglid plaza na broker wao JP market, sijajua na add % ndogo ndogo zitokanazo na trading activitiesUnaandika uongo halafu unatangaza kuwa unauwezo wa kufanya account management!!
Uta manage vipi accounts za watu ikiwa hujui in&out za forex halafu unaongopa hadharani.
Wapi ulidanganywa kuwa IB broker anakata 10%
Duh aisee pole kwa kijana mwenzetu ila mbona km kwa maelezo yake hapo juu anadai atawalipa haki zao hao wanaomdai .hata hivyo samahani mkuu point yako ni ipi kwa hili andiko uliloandika sorry km hujapenda nilichoandika