UTAPELI WA FOREX: Francisco Magnetics adaiwa kuhama nchi, anadaiwa pesa nyingi. Polisi wamsaka!

Mnaanzaga upumbavu kukubali kutoa hela zenu eti mtu awe anakulipa kwa mwezi au week sijui.
 
nilimkuta geto yupo na mikataba ya watu ,nilitaka kuimbisha masela zangu wakanikatalia eti kisa n demu wa msela wao ...

Daaaah..Jamaa kapatwa na nini asee .
Mbona majanga yanamuandama sana .
Alikuwaga na ndinga kali sana BMW ikala mzinga then huku madeni juu.

Yule manzi ake hajamkimbia kweli.??
Mana manzi fulani mjanja janja sana anaonekana.
 
nilimkuta geto yupo na mikataba ya watu ,nilitaka kuimbisha masela zangu wakanikatalia eti kisa n demu wa msela wao ...

Hata ningekua mie ningemkimbia.Wanaume akifilisika kwangu hana nafasi tena.
Namuona kama punda.
 
Aise Daud nakutafuta sana mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…