Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
amelipa madeni? amerudi Nchini?Mbona jamaaa nasika karudi kwa kishindo
Kidume kutumia jina la mwanamke ni hatari sana, sisi wapenda totozi mnatupa taabu sana.
Hahaha, hatari sana. Sijui ana malengo gani na watu wa humu JF, huyo jamaa.ID yake nyingine huyo jamaa ni Enginer CCNP
Njooni kubet
Hv mimi na wew itakuwa nan kaiga avatar ya mwenzake?Mbona jamaaa nasika karudi kwa kishindo
Mpaka basketballKaka unajua kubet
Daaaah..Jamaa kapatwa na nini asee .
Mbona majanga yanamuandama sana .
Alikuwaga na ndinga kali sana BMW ikala mzinga then huku madeni juu.
Yule manzi ake hajamkimbia kweli.??
Mana manzi fulani mjanja janja sana anaonekana.
nilimkuta geto yupo na mikataba ya watu ,nilitaka kuimbisha masela zangu wakanikatalia eti kisa n demu wa msela wao ...
Hata ningekua mie ningemkimbia.Wanaume akifilisika kwangu hana nafasi tena.
Namuona kama punda.
Sandile alikunyoosha?Huwa hazilipiki hela kama hizo za Forex..mi nimekuwa mpole kitambo sasa baada ya kupigwa na mkenya na msouth Andile
Unafaa ufungwe jiwe zito sana shingoni kisha utupwe baharini..Hata ningekua mie ningemkimbia.Wanaume akifilisika kwangu hana nafasi tena.
Namuona kama punda.
Aise Daud nakutafuta sana mkuuJamaa acha uongo wewe ...
Hakuna biashara isiyokuwa na multiple areas... Hata biashara ya Kuku kuna wanauza dawa za Kuku, wauza chakula cha Kuku , wauza Nyama ya Kuku , wauza utumbo wa Kuku , wauza miguu ya Kuku , wauza vichaa vya Kuku n.k .. Ila Kuku huyo huyo mmoja ...
Same to forex kuna retail traders , kuna information sellers , kuna software makers na account managers ili mradi kila mtu anakula kwa urefu wa kwamba yake ...
Haimaanishi uwepo wa mgawanyo huo unaashiria risk kuwa kubwa au mdogo ... Unaposema software makers hawana risk kubwa kwasababu wanauza programs .. Wewe ni Muongo Tena Mkubwa..
Sikia hii metaquote ambao ndio watengenezaji wa Metatrader4 na 5 ... Unajua baada ya kutengeneza meta trader 5 brokers wengi wamegoma kuhamia huko kwenye mt5 kwasababu gani?? Na kwanini wanaendelea kutumia mt4 ... Ingia google usome ..
Si huyu chalii wa humu JF boss?