Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Hapana sitredi kabisa najipanga upyaIla bado una trade au ushafuta application zote kwenye simu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana sitredi kabisa najipanga upyaIla bado una trade au ushafuta application zote kwenye simu.
Hili swali kuna dogo nilimuuliza. akasema wanafanya hivyo kuweza kufahamiana na kupata uzoefu zaidi.Kwanini hawa watu wa Forex lazima waoneshe kuwa wamefanikiwa?
Wakiishi kimya kimya kuna shida gani?
Siku ukirudi naomba tuungane unipe ABC, kidogo ishu za trends nitazifuatilia mwenyewe tafadhali.Hapana sitredi kabisa najipanga upya
Siku ukirudi naomba tuungane unipe ABC, kidogo ishu za trends nitazifuatilia mwenyewe tafadhali.
Hata mtumiaji wa cocaine ukimwambia aache hawezi kukuelewa.ila angalau umejifunza kuna watu mpk leo pamoja & ushahidi wote huu bado hawataki kuelewa
Hata mtumiaji wa cocaine ukimwambia aache hawezi kukuelewa.ila angalau umejifunza kuna watu mpk leo pamoja & ushahidi wote huu bado hawataki kuelewa
Nitashukuru sana, kumbe wakati mwingine una hekima na mtulivu sana. Hongera sana mkuu
Wana mfanano na wale wa network marketing. Ukikata kujiunga nao inakuwa ugomviKUNA MFANYAKAZI MWENZANGU TUPO OFISI MOJA ALISHANISHAWISHI HADI TUKAGOMBANA NILIGOMA AISEE
Nitashukuru sana, kumbe wakati mwingine una hekima na mtulivu sana. Hongera sana mkuu
Mkorofi sana na mwenye majivuno, ila nimekuja kugundua ni katika kuchangamsha uzi tu. Samahani nilikua nakuchukulia ndivyo sivyo Khantwe[emoji3][emoji3] jamani kwa hiyo mimi huwa unanichukuliaje
[emoji3][emoji3][emoji3] daah ngoja nianze kukomenti kitumishi. Nitakuja kujikosesha mchumbaMkorofi sana na mwenye majivuno, ila nimekuja kugundua ni katika kuchangamsha uzi tu. Samahani nilikua nakuchukulia ndivyo sivyo Khantwe
Wachumba utawapa wala usiwe na wasiwasi kabisa 😊[emoji3][emoji3][emoji3] daah ngoja nianze kukomenti kitumishi. Nitakuja kujikosesha mchumba
Nitawapata wakati naonekana mjeuri na nina majivuno? Mwanaume gani atachukua mtu wa hivyo ampeleke kwao?[emoji3][emoji3]Wachumba utawapa wala usiwe na wasiwasi kabisa [emoji4]
na kwenye 7 kwa 7 hujajibuMkuu katika vitu niliapa sitokuja kufanya ni kununua signal, sijawahi kufanya huo ujinga. Vicoba bado nna deni[emoji3][emoji3]
na kwenye 7 kwa 7 hujajibu
utanijibu pm pekeakangu[emoji3][emoji3] nimejifanya sijapaona
Usijaliutanijibu pm pekeakangu
hahaha kweli kabisaHata mtumiaji wa cocaine ukimwambia aache hawezi kukuelewa.