Utapeli wa kuagiza gari Japan

Utapeli wa kuagiza gari Japan

Joyce wohwoh

Member
Joined
Sep 17, 2021
Posts
80
Reaction score
185
Naomba kuwasilisha hili kwa faida ya wengi,Mimi niliagiza gari japan kupitia Real motor japan ni miezi kama mitatu sasa.

Kila kitu kikawa kinaenda sawa, nikajulishwa gari imepakiwa nkapewa na jina la meli itafika tarehe ngapi nikawa naitrack fresh kabisa.

Nikaambiwa wanaandaa documents wanitumie through DHL,nimesubiri mpaka hakuna document inayotumwa.

Nimawasumbua sana hapo imebaki one week meli ifike Tanzania wananipanga tu tutatuma tutatuma.mwisho wakaniambia you can cancel the order.

Nikakubali nikacancel ili wanirefund hela yangu.nkatuma details zote za account yangu, up to now kimya natuma message wamenichunia.

Tuwe waangalifu ndugu zangu ntaleta mrejesho zaidi.

Naombeni anayejua hatua za kuchukua

NB: Nilituma pesa kwenye account yao ya Tanzania shillings.
 
Naomba kuwasilisha hili kwa faida ya wengi,Mimi niliagiza gari japan kupitia Real motor japan ni miezi kama mitatu sasa.

Kila kitu kikawa kinaenda sawa, nikajulishwa gari imepakiwa nkapewa na jina la meli itafika tarehe ngapi nikawa naitrack fresh kabisa.

Nikaambiwa wanaandaa documents wanitumie through DHL,nimesubiri mpaka hakuna document inayotumwa.

Nimawasumbua sana hapo imebaki one week meli ifike Tanzania wananipanga tu tutatuma tutatuma.mwisho wakaniambia you can cancel the order.

Nikakubali nikacancel ili wanirefund hela yangu.nkatuma details zote za account yangu, up to now kimya natuma message wamenichunia.

Tuwe waangalifu ndugu zangu ntaleta mrejesho zaidi.

Naombeni anayejua hatua za kuchukua

NB: Nilituma pesa kwenye account yao ya Tanzania shillings.
Kwanini ulikubali ku cancel hapo ndo ulikosea badiliaha tu gari nyingine uletewe.
 
Naomba kuwasilisha hili kwa faida ya wengi,Mimi niliagiza gari japan kupitia Real motor japan ni miezi kama mitatu sasa.

Kila kitu kikawa kinaenda sawa, nikajulishwa gari imepakiwa nkapewa na jina la meli itafika tarehe ngapi nikawa naitrack fresh kabisa.

Nikaambiwa wanaandaa documents wanitumie through DHL,nimesubiri mpaka hakuna document inayotumwa.

Nimawasumbua sana hapo imebaki one week meli ifike Tanzania wananipanga tu tutatuma tutatuma.mwisho wakaniambia you can cancel the order.

Nikakubali nikacancel ili wanirefund hela yangu.nkatuma details zote za account yangu, up to now kimya natuma message wamenichunia.

Tuwe waangalifu ndugu zangu ntaleta mrejesho zaidi.

Naombeni anayejua hatua za kuchukua

NB: Nilituma pesa kwenye account yao ya Tanzania shillings.

Jichange ununue lingine mkuu apo ushapigwa.

Tafuta connection uko halmashauri, TRA au Polisi kuna gari zinauzwa bei rahisi kwenye mnada.
 
Wiki chache zilizopita kuna mtu alikuja na malalamiko ya changamoto ya kuagiza gari Real Motor Japan.

Tulimtahadharisha kwa sababu muuzaji (ambaye tulihisi ni tapeli) alianza kumpa vitisho endapo asipolipia gari kwa wakati.

Nilisema pia kwa muda sasa website ya Real Motor Japan inaonesha security yake haipo sawa. Ikiwa na maana kwamba matapeli wanaweza kuivamia na kutapeli wateja. Sasa sijui uliagiza gari kutoka genuine website ya Real Motor Japan au ulikutana na matapeli.
 
Wiki chache zilizopita kuna mtu alikuja na malalamiko ya changamoto ya kuagiza gari Real Motor Japan.

Tulimtahadharisha kwa sababu muuzaji (ambaye tulihisi ni tapeli) alianza kumpa vitisho endapo asipolipia gari kwa wakati.

Nilisema pia kwa muda sasa website ya Real Motor Japan inaonesha security yake haipo sawa. Ikiwa na maana kwamba matapeli wanaweza kuivamia na kutapeli wateja. Sasa sijui uliagiza gari kutoka genuine website ya Real Motor Japan au ulikutana na matapeli.
Real Motor Japan wenyewe kabisa wala sio matapeli.
 
Back
Top Bottom