Utapeli wa kuagiza gari Japan

Hii taarifa ndio Scam sasa ya ukweli😅😅😅ina uongo mwingi yenye lengo ya kutisha watu
 
Mkuu tapeli wako wa realmotors bdo yupo na account iko active unaweza wafatilia wapo bongo hiihii
 
Nadhani kuna matapeli waliingilia mfumo wa Web ya Real motors..mm najuaga wako vema tu ila Web security yao inawezekana ikawa poor, ndo mana sbt au Bf wanatumia gharama kubwa kulinda Web zao. Pia inawezekana alikytana na masales agents wahuni ambao wakampiga jamaa , aubkweli kuna tatizo tu mfumo, angewambia wamsafirishie gari nyingine...sio kucancel coz kurejesha pesa wagumu sana. All in all better to rely on SBT and BF, atleast unapunguza risks hizo..mm nmefanya sana nikapigwa za uso na kampuni kadhaa za huko Japan katka ile kutafuta best cars and cheap for my customers, nikajikuta kwenye madeni wallah najuta..
 
Aisee pole sana. Muhumu sana ku deal na kampuni kubwa. Kuna wakati unatembelea sites tofauti za kampuni ndogo ndogo, gari nzuri ila bei nafuu. Unatamani kujaribu ila hofu ya kupigwa inakukimbiza.
 
Aisee pole sana. Muhumu sana ku deal na kampuni kubwa. Kuna wakati unatembelea sites tofauti za kampuni ndogo ndogo, gari nzuri ila bei nafuu. Unatamani kujaribu ila hofu ya kupigwa inakukimbiza.
Ndo mm nilipigwa sina hamu tena, wameniharibia maisha kabisa lakini ni funzo.
 
Daah aisee pole Sana mkuu,, kwann haukuagiza na hizi trusted companies Kama SBT, jan japan au befoward ?
Real motor ni reputable tu kama wameanza uhuni au haikuwa website ya real motor Hawa wanaojulikana.
 
Mnaojua mawasiliano sahihi ya real motor japan mpeni ili ajue alitumia njia sahii au alikuwa redirected.
Kwenye website Yao chino kabisa kuna namba zao za simu na link ya kuwacontact. Muhimu atumie link sahihi. Kwa kuwa amesisitiza kuwa amewatumia real motor wenyewe, muhimu aendelee kuwacontact zaidi kupitia channel sahihi na ikishindikana awashitaki hata kwenye mamlaka nyingine, mil 9 parefu
 

Attachments

  • IMG_0021.jpeg
    1.1 MB · Views: 8
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…