Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Ubalozi walisha sema na wakanawa mikono
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUONGEZEKA KWA MALALAMIKO YA KUTAPELEWA WATANZANIA WANAOAGIZA MAGARI YALIYOTUMIKA JAPAN | Embassy of Tanzania in Tokyo, Japan
Ubalozi wa Tanzania nchini Japan umekuwa ukipokea malalamiko yayohusu kutapeliwa magari toka kwa watanzania wanaoagiza magari yaliyotumika nchini Japan. Malalamiko hayo hupokelewa moja kwa moja kutoka wa watanzania hao kwa njia ya barua pepe na kupitia Wizarani. Malalamiko hayo ni pamoja na...www.jp.tzembassy.go.tz
Makampuni ambayo yako based bongo mbona mnauza bei kubwa sana.Mbona mimi gari zangu zote wameniletea? Gar yangu ya 2 hii naunua kwao
Www.realmotor.jp
Ukifungua hapo soma how to buy maelezo yako wazi kabisa!
Nadhani kuna matapeli waliingilia mfumo wa Web ya Real motors..mm najuaga wako vema tu ila Web security yao inawezekana ikawa poor, ndo mana sbt au Bf wanatumia gharama kubwa kulinda Web zao. Pia inawezekana alikytana na masales agents wahuni ambao wakampiga jamaa , aubkweli kuna tatizo tu mfumo, angewambia wamsafirishie gari nyingine...sio kucancel coz kurejesha pesa wagumu sana. All in all better to rely on SBT and BF, atleast unapunguza risks hizo..mm nmefanya sana nikapigwa za uso na kampuni kadhaa za huko Japan katka ile kutafuta best cars and cheap for my customers, nikajikuta kwenye madeni wallah najuta..Wiki chache zilizopita kuna mtu alikuja na malalamiko ya changamoto ya kuagiza gari Real Motor Japan.
Tulimtahadharisha kwa sababu muuzaji (ambaye tulihisi ni tapeli) alianza kumpa vitisho endapo asipolipia gari kwa wakati.
Nilisema pia kwa muda sasa website ya Real Motor Japan inaonesha security yake haipo sawa. Ikiwa na maana kwamba matapeli wanaweza kuivamia na kutapeli wateja. Sasa sijui uliagiza gari kutoka genuine website ya Real Motor Japan au ulikutana na matapeli.
Aisee pole sana. Muhumu sana ku deal na kampuni kubwa. Kuna wakati unatembelea sites tofauti za kampuni ndogo ndogo, gari nzuri ila bei nafuu. Unatamani kujaribu ila hofu ya kupigwa inakukimbiza.Nadhani kuna matapeli waliingilia mfumo wa Web ya Real motors..mm najuaga wako vema tu ila Web security yao inawezekana ikawa poor, ndo mana sbt au Bf wanatumia gharama kubwa kulinda Web zao. Pia inawezekana alikytana na masales agents wahuni ambao wakampiga jamaa , aubkweli kuna tatizo tu mfumo, angewambia wamsafirishie gari nyingine...sio kucancel coz kurejesha pesa wagumu sana. All in all better to rely on SBT and BF, atleast unapunguza risks hizo..mm nmefanya sana nikapigwa za uso na kampuni kadhaa za huko Japan katka ile kutafuta best cars and cheap for my customers, nikajikuta kwenye madeni wallah najuta..
Ndo mm nilipigwa sina hamu tena, wameniharibia maisha kabisa lakini ni funzo.Aisee pole sana. Muhumu sana ku deal na kampuni kubwa. Kuna wakati unatembelea sites tofauti za kampuni ndogo ndogo, gari nzuri ila bei nafuu. Unatamani kujaribu ila hofu ya kupigwa inakukimbiza.
Real motor ni reputable tu kama wameanza uhuni au haikuwa website ya real motor Hawa wanaojulikana.Daah aisee pole Sana mkuu,, kwann haukuagiza na hizi trusted companies Kama SBT, jan japan au befoward ?
Kwenye website Yao chino kabisa kuna namba zao za simu na link ya kuwacontact. Muhimu atumie link sahihi. Kwa kuwa amesisitiza kuwa amewatumia real motor wenyewe, muhimu aendelee kuwacontact zaidi kupitia channel sahihi na ikishindikana awashitaki hata kwenye mamlaka nyingine, mil 9 parefuMnaojua mawasiliano sahihi ya real motor japan mpeni ili ajue alitumia njia sahii au alikuwa redirected.