Utapeli wa kuagiza gari Japan

Utapeli wa kuagiza gari Japan

Pole sana , kuibiwa kunauma sana but move on , ulikopata hii 9M utapata nyingine Inshallah, nasikia Simba la Masimba Dangote naye kapigwa B4 ya private jet
 
kuna jamaa yangu mmoja aliagiza na hao hao Real Motors wa Tz,aliagiza gari aina ya mitsubishi Outlander 22M wakamtapeli badala yake wakamletea fun cargo.

kumbe walitapeliwa wengi wenzake wote walikuwa 8 hawakupata kabisa magari ni bora hata yeye aliletewa hiyo Funcargo.
wateja wote 8 walitapeliwa jumla ya 108M.

Alafu ananambia kuwa jamaa haogopi chochote walipofika polisi anawaambia polisi eti wampeleke mahakamani na hela hana ameshatumia.

Hii ilikuwa mwezi wa March 2023 kesi sijui imeishia wapi.

hao ni matapeli kweli kweli.

Kuna real motor ya Tanzania na nyingine ya japan??🤔🤔 nazan apo ndo watu wanapopigiwa.

real motors wana website yao kwann usiingie uko uwasiliane nao moja kwa moja wao wenyewe?

ayo mambo ya kutumia watu wa kati ndo yanayoleta milolongo na mianya ya watu kuibiwa.
 
Kwani mkiambiwaga agizeni na sbt au be foward mnasema wana magari ghali alafu mabovu😂😂😂😂 haya kanunueni mazima kwa bei kitonga.

Unalalamika uskute umeagiza ist au passo😂
Kwani IST na PASSO siyo magari?
 
NASHUKURU MUNGU SANA NIMEZUNGUMZA NA MKE WANGU NIMEMWAMBIA KILA KITU KILICHOTOKEA AMENIFARIJI SANA TUNAMUOMBA MUNGU ATUPE KUSAMEHE NA WEPESI WA KUBEBA HILI JAMBO,NALICHUKULIA KAMA KUTOA SADAKA MAISHA LAZIMA YAENDELEE.MUNGU AWABARIKI SANA NDUGU ZANGU HUMU JUKWAANI MMENIFARIJI PIA NA NIMEJIFUNZA MAKOSA NI MWALIMU MUNGU ATUBARIKI SOTE.
Huyu ndugu hajaibiwa ila anatafuta kuibiwa ndo maana hatoi details anazoulizwa.

Kona zako nyingi sana halafu ni za kindezi ndezi
 
Naomba kuwasilisha hili kwa faida ya wengi,Mimi niliagiza gari japan kupitia Real motor japan ni miezi kama mitatu sasa.

Kila kitu kikawa kinaenda sawa, nikajulishwa gari imepakiwa nkapewa na jina la meli itafika tarehe ngapi nikawa naitrack fresh kabisa.

Nikaambiwa wanaandaa documents wanitumie through DHL,nimesubiri mpaka hakuna document inayotumwa.

Nimawasumbua sana hapo imebaki one week meli ifike Tanzania wananipanga tu tutatuma tutatuma.mwisho wakaniambia you can cancel the order.

Nikakubali nikacancel ili wanirefund hela yangu.nkatuma details zote za account yangu, up to now kimya natuma message wamenichunia.

Tuwe waangalifu ndugu zangu ntaleta mrejesho zaidi.

Naombeni anayejua hatua za kuchukua

NB: Nilituma pesa kwenye account yao ya Tanzania shillings.
Bora kwenda moja kwa moja showrom sasa
 
Naomba kuwasilisha hili kwa faida ya wengi,Mimi niliagiza gari japan kupitia Real motor japan ni miezi kama mitatu sasa.

Kila kitu kikawa kinaenda sawa, nikajulishwa gari imepakiwa nkapewa na jina la meli itafika tarehe ngapi nikawa naitrack fresh kabisa.

Nikaambiwa wanaandaa documents wanitumie through DHL,nimesubiri mpaka hakuna document inayotumwa.

Nimawasumbua sana hapo imebaki one week meli ifike Tanzania wananipanga tu tutatuma tutatuma.mwisho wakaniambia you can cancel the order.

Nikakubali nikacancel ili wanirefund hela yangu.nkatuma details zote za account yangu, up to now kimya natuma message wamenichunia.

Tuwe waangalifu ndugu zangu ntaleta mrejesho zaidi.

Naombeni anayejua hatua za kuchukua

NB: Nilituma pesa kwenye account y

WARNING: Beware of fake Real Motor Japan information.​

Publised : July 18, 2023

Some scammers are going so far as to create fake facebook/website using the name and photos of our stock.

There are many versions of this general scheme, currently these scammers are targeting RealMotor Japan in several ways. Note that these examples are not exhaustive;

Scammers asking you to stop communicating directly on the RealMotor website by offering there whatsapp number or Email address.

Scammers sending you bank account details to send money to without sending or giving you official invoice from our website.

WHAT TO DO?

To protect yourself against any loss via these scam schemes, we are offering the following information:

Always make sure to contact us through our official website, Email and numbers (www.realmotor.jp), Email; info@realmotor.jp, Tel:+81-565-85-0602/Fax:+81-565-85-0606 WhatsApp:+81-90-8843-9068/ +81-90-3906-5223

Before payments are made, make sure all information on invoice are correct such as REAL MOTOR JAPAN bank details, consignee and notify party.
 
Ubalozi walisha sema na wakanawa mikono

 
Back
Top Bottom