Man filandu
JF-Expert Member
- Aug 31, 2023
- 412
- 402
Wabongo sasa wamekuwa nuksi sana hata hao wanaojinadi mawakala wao wa hapa bongo gari grade 3.0 au 3.5 wao wanaipaisha grade 4.0, sio wakweli kabisa bora kuingia kwenye secure website zao na kuchati nao moja kwa moja na hata au wanaojiita Sbteyo ukiwasiliana nao moja kwa moja gari kama grade R wao hawakuambii wanakupa sound za kihindu.Hai sio Nigerians...wabongo wenzetu