Utapeli wa kuagiza gari Japan

Utapeli wa kuagiza gari Japan

Siwezi danganya nimetapeliwa kweli ndugu zangu siko kwenye hali nzuri, nifarijini tu najua yatapita naomba Mungu uzima tu.

Nimeenda CRDB nimewaomba details za huyo aliyefungua account namba wamekataa, hawaruhusiwi details za mtu za kibenki basi nimeishia hapo.

Una deposit slip uliyotumia kuweka pesa CRDB ?

Haiwezi kuishia hapo kizembe namna hiyo.

Una pa kuanzia
 
Cha msingi jamaa ni kufanya attempt ya kuwapata wahalifu wake, huenda akaokoa pesa kidogo au akaishi kwa tumaini.

Atume humu miamala ya bank na contacts zote alizotumia.

Kuna watu humu wana ujuzi mwingi wa kisheria na kimitandao wanaweza kumsaidia.

Mfano kasema pesa yenyewe aliwalipia katika bank ya CRDB, amejaribu kwenda kuomba details zao benki, benki wamekataa.
Unaona mpaka hapo suala la sheria hilo, hauwezi kwenda kuomba details za mtu benki ukapewa.
Aombe msaada wa kisheria humu.

Atuonyeshe pia mfumo aliotumia ku cancell order.

Ndio nilichomaanisha akiweka taarifa za miamala, itamsaidia kupata pa kuanzia.

Mfano ile nakala ya kuweka pesa kwenye hiyo akaunti hapo CRDB. Hiyo ni uthibitisho na ushahidi muhimu sana.
 
Watu wana nguvu sanaa, mimi ningekuja humuu baada ya mwaka.
Oya mwacheni mshakji, akiona notifications za huu uzi ni kama mnamtonesha..
Watu wa Dar Mtafteni mshkaji Mpeni Bia.
 
NASHUKURU MUNGU SANA NIMEZUNGUMZA NA MKE WANGU NIMEMWAMBIA KILA KITU KILICHOTOKEA AMENIFARIJI SANA TUNAMUOMBA MUNGU ATUPE KUSAMEHE NA WEPESI WA KUBEBA HILI JAMBO,NALICHUKULIA KAMA KUTOA SADAKA MAISHA LAZIMA YAENDELEE.MUNGU AWABARIKI SANA NDUGU ZANGU HUMU JUKWAANI MMENIFARIJI PIA NA NIMEJIFUNZA MAKOSA NI MWALIMU MUNGU ATUBARIKI SOTE.
 
NASHUKURU MUNGU SANA NIMEZUNGUMZA NA MKE WANGU NIMEMWAMBIA KILA KITU KILICHOTOKEA AMENIFARIJI SANA TUNAMUOMBA MUNGU ATUPE KUSAMEHE NA WEPESI WA KUBEBA HILI JAMBO,NALICHUKULIA KAMA KUTOA SADAKA MAISHA LAZIMA YAENDELEE.MUNGU AWABARIKI SANA NDUGU ZANGU HUMU JUKWAANI MMENIFARIJI PIA NA NIMEJIFUNZA MAKOSA NI MWALIMU MUNGU ATUBARIKI SOTE.
Kama kampuni imesajiliwa brela usikubali matokeo kirahisi hivi. Cha mwanaume hakipotei tu hivi hivi pambana nenda polisi fungua kesi.
 
NASHUKURU MUNGU SANA NIMEZUNGUMZA NA MKE WANGU NIMEMWAMBIA KILA KITU KILICHOTOKEA AMENIFARIJI SANA TUNAMUOMBA MUNGU ATUPE KUSAMEHE NA WEPESI WA KUBEBA HILI JAMBO,NALICHUKULIA KAMA KUTOA SADAKA MAISHA LAZIMA YAENDELEE.MUNGU AWABARIKI SANA NDUGU ZANGU HUMU JUKWAANI MMENIFARIJI PIA NA NIMEJIFUNZA MAKOSA NI MWALIMU MUNGU ATUBARIKI SOTE.
Hata biblia inakataza huu msimamo inapokuja swala la haki yako.

Kafungue kesi. Askari wagewe authority ya kuona taarifa za aliyefungua akaunt CRDB waone wanampataje.

Ila email ya kibiashara kua na domain gmail au yahoo hiyo siyo kweli. Siku nyingine achana nayo
 
Wawezajwe acha 9M iende kwa mtindo huo? Wengi tupo humu muda huu hatuna 50K na utatuangusha sana ukisema 9M ni sadaka.

This is unfair to us and to your unborn children and your grandchildren
 
Ni kweli kabisa nilifanya uzembe sana,naombeni mnisamehe kwa hilo Mniombee nipite salama kwenye hili pito langu.
Pole sana chief ndo kijifunza hela zinatafutwa.! Tunajifunza kutokana na makosa. 9M sio mbaya sana, utapata zaidi ya hizo
 
Back
Top Bottom