Utapeli wa kuagiza gari Japan

Utapeli wa kuagiza gari Japan

Daa pole sana ndugu haikuwa riziki pengine hilo Gari lingekuja kukuletea tatizo. Sahau tu uendelee na maisha mengine. Japo m9 parefu kwa usawa huu. Jina la Account wakati unalipia uliandika lini?
 
Naomba kuwasilisha hili kwa faida ya wengi,Mimi niliagiza gari japan kupitia Real motor japan ni miezi kama mitatu sasa.

Kila kitu kikawa kinaenda sawa, nikajulishwa gari imepakiwa nkapewa na jina la meli itafika tarehe ngapi nikawa naitrack fresh kabisa.

Nikaambiwa wanaandaa documents wanitumie through DHL,nimesubiri mpaka hakuna document inayotumwa.

Nimawasumbua sana hapo imebaki one week meli ifike Tanzania wananipanga tu tutatuma tutatuma.mwisho wakaniambia you can cancel the order.

Nikakubali nikacancel ili wanirefund hela yangu.nkatuma details zote za account yangu, up to now kimya natuma message wamenichunia.

Tuwe waangalifu ndugu zangu ntaleta mrejesho zaidi.

Naombeni anayejua hatua za kuchukua

NB: Nilituma pesa kwenye account yao ya Tanzania shillings.
Unapoagiza gari angalia pia idadi ya watu wanaoagiza gari kupitia hiyo kampuni,iliyo na watu wengi juwa kuwa ni trusted,kinyume cha hapo ni kubahatisha...
 
Naomba kuwasilisha hili kwa faida ya wengi,Mimi niliagiza gari japan kupitia Real motor japan ni miezi kama mitatu sasa.

Kila kitu kikawa kinaenda sawa, nikajulishwa gari imepakiwa nkapewa na jina la meli itafika tarehe ngapi nikawa naitrack fresh kabisa.

Nikaambiwa wanaandaa documents wanitumie through DHL,nimesubiri mpaka hakuna document inayotumwa.

Nimawasumbua sana hapo imebaki one week meli ifike Tanzania wananipanga tu tutatuma tutatuma.mwisho wakaniambia you can cancel the order.

Nikakubali nikacancel ili wanirefund hela yangu.nkatuma details zote za account yangu, up to now kimya natuma message wamenichunia.

Tuwe waangalifu ndugu zangu ntaleta mrejesho zaidi.

Naombeni anayejua hatua za kuchukua

NB: Nilituma pesa kwenye account yao ya Tanzania shillings.
Labda nenda ubalozi wa Japani kwa msaada zaidi
 
kuna jamaa yangu mmoja aliagiza na hao hao Real Motors wa Tz,aliagiza gari aina ya mitsubishi Outlander 22M wakamtapeli badala yake wakamletea fun cargo.

kumbe walitapeliwa wengi wenzake wote walikuwa 8 hawakupata kabisa magari ni bora hata yeye aliletewa hiyo Funcargo.
wateja wote 8 walitapeliwa jumla ya 108M.

Alafu ananambia kuwa jamaa haogopi chochote walipofika polisi anawaambia polisi eti wampeleke mahakamani na hela hana ameshatumia.

Hii ilikuwa mwezi wa March 2023 kesi sijui imeishia wapi.

hao ni matapeli kweli kweli.
 
Gari unaweza agiza kampuni yoyote hata ndogo ndogo na usitapeliwe unapokuwa na hofu wasiliana na umoja wa wauza used car huko Japan watawasiliana na kampuni husika kwani kosa la kampuni kumtapeli mteja adhabu yake ni kubwa mno ikiwemo kufungiwa milele hivyo hizi kampuni zote zinauogopa huo umoja kama ukoma Mimi huwa naagiza Hadi vikampuni vingine hata Tanzania havijulikani kama blauda Japan na gari inafika.
 
Gari unaweza agiza kampuni yoyote hata ndogo ndogo na usitapeliwe unapokuwa na hofu wasiliana na umoja wa wauza used car huko Japan watawasiliana na kampuni husika kwani kosa la kampuni kumtapeli mteja adhabu yake ni kubwa mno ikiwemo kufungiwa milele hivyo hizi kampuni zote zinauogopa huo umoja kama ukoma Mimi huwa naagiza Hadi vikampuni vingine hata Tanzania havijulikani kama blauda Japan na gari inafika.
Asante kwa ushauri mzuri avute subira tu
 
Real Motors hawa hawa? Ebu share email yao tuone.

Mie nimeagiza gari na real motors, nilitumia agent wao yupo pale Ushirika house kama sikosei Kuna CRDB bank na Kila kitu kilienda sawa.

Na kilichonisukima kuagiza real motors ni jamaa yangu aliagiza huko huko nikaona namie niwatumie. Mambo yalienda vizuri tu.
 
Hawana agent Tanzania kabisa.

Sio kweli Mkuu.
Anachosema Watu8 ni sahihi. Mie nimewatumia hao jamaa kuagiza gari RealMotors Japan na sikupata usumbufu wowote.

Tuwekee email uliyokua unawasiliana nao.

Uliwatumia pesa Kwa akaunti Yao ya hapa ya T Shilingi iliyopo benki Gani?
 
Nimewasiliana nao Real wa ukweli wameconferm sio wao

nilikuwa barabarani ndugu zangu,inforealmotor@gmail.com. ndo email yao.
Siku nyingine zingatia kampuni kubwa nadra sana kutumia handlers kama hizo za gmail.com yahoo.com e.t.c
Pia kama una mashaka na issues za online fika katika ofisi husika na usikubali mambo ya nje ya ofisi. Pia shirikisha mtu au rafiki ambae anajua au amewahi kuagiza.

Cha msingi sasa ni kuomba usaidiwe hatua za kujaribu kuokoa fedha yako au hata kumpata mhalifu.
 
RMJ si walikuwa na wawakilishi wao pale jengo la Ushirika kama sijakosea au washatemana nao?

Uko sahihi wanaitwa Afritel kama sikosei. Na Sasa hivi wamekua mawakala wa Befoward, niliwatumia kuagiza Befoward baada ya kufanya nao vizuri miaka minne iliyopita kupitia RealMotors
 
kuna jamaa yangu mmoja aliagiza na hao hao Real Motors wa Tz,aliagiza gari aina ya mitsubishi Outlander 22M wakamtapeli badala yake wakamletea fun cargo.

kumbe walitapeliwa wengi wenzake wote walikuwa 8 hawakupata kabisa magari ni bora hata yeye aliletewa hiyo Funcargo.
wateja wote 8 walitapeliwa jumla ya 108M.

Alafu ananambia kuwa jamaa haogopi chochote walipofika polisi anawaambia polisi eti wampeleke mahakamani na hela hana ameshatumia.

Hii ilikuwa mwezi wa March 2023 kesi sijui imeishia wapi.

hao ni matapeli kweli kweli.
Nimejikuta nacheka huyo wa Outlander.
 
Hiyo ni hatua ya kwanza kuthibitisha kwamba umeshapigwa, Sasa turudi kwenye benki, uliwawekea pesa kwenye akaunti Yao iliyopo benki Gani?
Cha msingi jamaa ni kufanya attempt ya kuwapata wahalifu wake, huenda akaokoa pesa kidogo au akaishi kwa tumaini.

Atume humu miamala ya bank na contacts zote alizotumia.

Kuna watu humu wana ujuzi mwingi wa kisheria na kimitandao wanaweza kumsaidia.

Mfano kasema pesa yenyewe aliwalipia katika bank ya CRDB, amejaribu kwenda kuomba details zao benki, benki wamekataa.
Unaona mpaka hapo suala la sheria hilo, hauwezi kwenda kuomba details za mtu benki ukapewa.
Aombe msaada wa kisheria humu.

Atuonyeshe pia mfumo aliotumia ku cancell order.
 
Back
Top Bottom