Joyce wohwoh
Member
- Sep 17, 2021
- 80
- 185
- Thread starter
- #61
Ni mimi wala sio rafiki, familia inasubiri gari sijui hata cha kuwaambia, najiuliza hivi ntakuja kaa sawa kweli na kusahau kabisa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawana agent Tanzania kabisa.RMJ si walikuwa na wawakilishi wao pale jengo la Ushirika kama sijakosea au washatemana nao?
Ulivyokuwa unawasiliana nao kwenye Website na Emails maana hii ni page ya facebook bila shaka ambayo sio ya kuamini sana.Hawana agent Tanzania kabisa.
Umeambiwa uweke email na namba unazowasiliana nao watu waweze kujua ni wapi umekosea au upo kuchafua kampuni za watu
Nilikuwa nawasiliana nao kwa email na insta.Ulivyokuwa unawasiliana nao kwenye Website na Emails maana hii ni page ya facebook bila shaka ambayo sio ya kuamini sana.
Weka hizo email, TT uliwatumia kwa njia gani sasa baada ya kulipia ila dah m9 sio ndogo hivi pia sio wewe ulikuja kuuliza unataka kulipia na wanakuforce ulipie tukakwambia usilipe tafuta kampuni za kujifunzia ambazo kiasi fulani kupigwa asilimia chache.Nilikuwa nawasiliana nao kwa email na insta.
Nimewasiliana nao Real wa ukweli wameconferm sio wao
nilikuwa barabarani ndugu zangu,inforealmotor@gmail.com. ndo email yao.
Hawana agent Tanzania kabisa.
Next time akimaliza kujipanga atupe taarifa tuone tunafanyaje!!Dah ... pole mkuu.
Hapo utakuta wife wako kashaenda kutamba kwa mabeste zake wote kua soon enough anakua anakoa gia. Mixa watoto washaanza kununuliwa nguo za kuendea beach na gari ya baba..
Anyway, si ni life..
Next time kuja huku pata ushauri wa kina, pia logically, kampuni yoyote verified haiwezi kushindwa kulipia domain ya email mpaka watumie "gmail" kama hao jamaa.
Jipange tena next time
Kachanganyikiwa tayari
Nimekata tamaa sana, sijala toka jana na wala sisikii njaa. Nashindwa kujisamehe kabisa mawazo mabaya yananitawala sana.Next time akimaliza kujipanga atupe taarifa tuone tunafanyaje!!
Ni mimi wala sio rafiki,familia inasubiri gari sijui hata cha kuwaambia,najiuliza hivi ntakuja kaa sawa kweli na kusahau kabisa?
Nimekata tamaa sana.sijala toka jana na wala sisikii njaa ,nashindwa kujisamehe kabisa mawazo mabaya yananitawala sana.
Hii ndio page yao halisi hao Real Motors JapanHuwa wanatumia S&F agents...
Real Motor japan - Japanese Used Cars Export
Real Motor Japan specializes in exporting high-quality, reliable, and affordable used cars internationally, with a primary focus on markets in Africa, including Tanzania, Zambia, Mozambique, Kenya, South Africa, as well as Canada and the Caribbean islands. Featuring top Japanese brands like...www.realmotor.jp
Hii ndio page yao halisi hao Real Motors Japan
Mimi niliagiza gari japan kupitia Real motor japan ni miezi kama mitatu sasa.