Kampuni kama Autocom Japan, Beforwad, SBT JAPAN, zina ofisi zao hapa bongo, sio ofisi za wakala NO yaani ofisi zao kabisa ambazo wameajiri wabongo, kusimamia shughuli zao.
So hata wakikuzingua ni rahisi kupata msaada na kusaidiwa.
Sasa unawasiliana na watu mtandaoni ambao hawana local office Tanzania hii ni kurisk sana. Jambo lingine, wachina, wahindi na waarabu ni wapuuzi sana. Mkipishana jambo anabadilika hataki kujadili lolote so unaona hapo amekwambia cancel hiyo order then anakukataa hataki mazungumzo.