Utapeli wa kuagiza gari Japan

Utapeli wa kuagiza gari Japan

kuna jamaa yangu mmoja aliagiza na hao hao Real Motors wa Tz,aliagiza gari aina ya mitsubishi Outlander 22M wakamtapeli badala yake wakamletea fun cargo.

kumbe walitapeliwa wengi wenzake wote walikuwa 8 hawakupata kabisa magari ni bora hata yeye aliletewa hiyo Funcargo.
wateja wote 8 walitapeliwa jumla ya 108M.

Alafu ananambia kuwa jamaa haogopi chochote walipofika polisi anawaambia polisi eti wampeleke mahakamani na hela hana ameshatumia.

Hii ilikuwa mwezi wa March 2023 kesi sijui imeishia wapi.

hao ni matapeli kweli kweli.
Nimeona channel 10 wakimzungumzia huyo tapeli anaitwa somebody Laizer
 
Kaka humu watu hawasomi lakini kesi ya REAL MOTORS sio mara ya kwanza watu kulalamika na walishauriwa

Usiagize gari kama huna uhakika na iyo website

Mwenyewe nmeagiza gari SBT imefika
Tena bila kupitia agent wala ofisi yeyote


So sehemu pekee naweza reccomend ni
1.SBT
2.SBT
3.Befoward
4.Enhance
5.Japanessevehicles(Trust)

Hawa huihitaji kwenda ofisini wala agent[emoji845]
Na kuna tradecarview
 
Ni mimi wala sio rafiki, familia inasubiri gari sijui hata cha kuwaambia, najiuliza hivi ntakuja kaa sawa kweli na kusahau kabisa?
Aisee[emoji3064]
Pole sana Mkuu.

Bwana na atafungua mlango kwa njia nyingine..maisha yana mapito mengi.

Muhimu bado upo hai na una nguvu,basi Mungu atabariki tena na kurejesha hela iliyoliwa na nzige na madumadu.
 
Aisee[emoji3064]
Pole sana Mkuu.

Bwana na atafungua mlango kwa njia nyingine..maisha yana mapito mengi.

Muhimu bado upo hai na una nguvu,basi Mungu atabariki tena na kurejesha hela iliyoliwa na nzige na madumadu.
Amina Amina hata sasa nauona ukuu wake ,Mungu achunguziki unapoona umekwisha kabisa yeye anaanzia hapohapo
 
Kampuni kama Autocom Japan, Beforwad, SBT JAPAN, zina ofisi zao hapa bongo, sio ofisi za wakala NO yaani ofisi zao kabisa ambazo wameajiri wabongo, kusimamia shughuli zao.

So hata wakikuzingua ni rahisi kupata msaada na kusaidiwa.

Sasa unawasiliana na watu mtandaoni ambao hawana local office Tanzania hii ni kurisk sana. Jambo lingine, wachina, wahindi na waarabu ni wapuuzi sana. Mkipishana jambo anabadilika hataki kujadili lolote so unaona hapo amekwambia cancel hiyo order then anakukataa hataki mazungumzo.
 
Kampuni kama Autocom Japan, Beforwad, SBT JAPAN, zina ofisi zao hapa bongo, sio ofisi za wakala NO yaani ofisi zao kabisa ambazo wameajiri wabongo, kusimamia shughuli zao.

So hata wakikuzingua ni rahisi kupata msaada na kusaidiwa.

Sasa unawasiliana na watu mtandaoni ambao hawana local office Tanzania hii ni kurisk sana. Jambo lingine, wachina, wahindi na waarabu ni wapuuzi sana. Mkipishana jambo anabadilika hataki kujadili lolote so unaona hapo amekwambia cancel hiyo order then anakukataa hataki mazungumzo.
Ni bahati mbaya tu Mkuu.. Kuna walioagiza direct na wakafanikiwa.

Siku ya kufa nyani miti huteleza yote.
 
Amina Amina hata sasa nauona ukuu wake ,Mungu achunguziki unapoona umekwisha kabisa yeye anaanzia hapohapo
Unaweza shangaa ukapata hela kirahisi.
Mshukuru Mungu kwa yote.

Pengine wakati wako wa kumiliki gari ulikuwa bado,Kuna sababu ya wewe kupita huko.

Hata katika mabaya, yapo mambo mazuri tunayojifunza.. take it in a positive way..
 
Umekosea ku cancel, hayo madai, usinge cancel ufungue Jinai. Sasa ume cancel kwa hiyari? Utateseka sana aisee, ni kiasi gani?
Na wao wamejua kuwa ndio wana matatizo kwa kuchelewesha order ya mteja so walichofanya ni kumwambia acancel ili akija lalamika waseme alicancell order yake mwenyewe, hatukushindwa kumsaidia.
 
Huyu kakutana na scammers wakinaija. real motor OG wako poa tu mbona labda km web yao imehakiwa.

wameweka angalizo kwenye website yao.

Unaweza kuona contact details zao pia humo. km sio hizo mdau umeliwa. 20231101_183002.jpg
 
Amina Amina hata sasa nauona ukuu wake ,Mungu achunguziki unapoona umekwisha kabisa yeye anaanzia hapohapo
Pole sana. Kuna watu wanakejeli ila mambo kama haya mtu unaweza kupigwa. Ushauri wangu kwako ni kuwa pamoja na kukubali matokeo lakini usiwache hivi hivi bila kujaribu kuchukuwa hatua za kisheria. Mradi tu uwe macho, usikubali kuhonga kwani fedha kama hizo huna uhakika wa kuzipata. Mwambie yeyote anayefuatilia kuwa kama anataka afuatilie halafu fedha zikipatikana umpe commission.
 
Nilikuwa nawasiliana nao kwa email na insta.
Hapo ndo kosa lilipoanzia. Haya makampuni wana internet yao ya ndani kwa ndani. Ukiona unapelekwa instagram, WhatsApp sijui facebook ujue tayari ndo majizi yenyewe hayo. pole sana bro. naamini umejifunza kitu pia.
 
Pole sana. Kuna watu wanakejeli ila mambo kama haya mtu unaweza kupigwa. Ushauri wangu kwako ni kuwa pamoja na kukubali matokeo lakini usiwache hivi hivi bila kujaribu kuchukuwa hatua za kisheria. Mradi tu uwe macho, usikubali kuhonga kwani fedha kama hizo huna uhakika wa kuzipata. Mwambie yeyote anayefuatilia kuwa kama anataka afuatilie halafu fedha zikipatikana umpe commission.
Hii kitu ingewezekana kufuatilia na jamaa akapata haki yake km angekuwa anawasiliana na watu genuine! maana pale ubalozini wanayatambua hayo makampuni.

sasa hapa amewakabidhi pesa majizi watu ambao hamna njia ya kuwapata. namshauri asihangaike atapoteza pesa zaidi bure huko polisi sijui wapi hawawezi kumsaidia!

bro kubali matokeo move on, pesa makaratasi yanatafutwa. mungu jalia utapata ingine, maisha yaendelee.
 
Lakini jamaa jambo lake linafatilika. Labda anachoka tu au anajiskia vibaya kufatilia.

Angeripoti polisi then waanze, kuanzia info za benki.
 
Naomba kuwasilisha hili kwa faida ya wengi,Mimi niliagiza gari japan kupitia Real motor japan ni miezi kama mitatu sasa.

Kila kitu kikawa kinaenda sawa, nikajulishwa gari imepakiwa nkapewa na jina la meli itafika tarehe ngapi nikawa naitrack fresh kabisa.

Nikaambiwa wanaandaa documents wanitumie through DHL,nimesubiri mpaka hakuna document inayotumwa.

Nimawasumbua sana hapo imebaki one week meli ifike Tanzania wananipanga tu tutatuma tutatuma.mwisho wakaniambia you can cancel the order.

Nikakubali nikacancel ili wanirefund hela yangu.nkatuma details zote za account yangu, up to now kimya natuma message wamenichunia.

Tuwe waangalifu ndugu zangu ntaleta mrejesho zaidi.

Naombeni anayejua hatua za kuchukua

NB: Nilituma pesa kwenye account yao ya Tanzania shillings.
Pole ndugu mpiga kura
 
Lakini jamaa jambo lake linafatilika. Labda anachoka tu au anajiskia vibaya kufatilia.

Angeripoti polisi then waanze, kuanzia info za benki.
mtandaoni kuna mengi mkuu usiamini website unazokutana nazooo...!! hata ukienda mahakamani bado huna cha kusaidiwa maana hawana ofisi bongo
 
Back
Top Bottom