mzeewabarakoa
Member
- Oct 20, 2024
- 9
- 8
Habari za muda huu ndugu zangu kuna jambo linaniwazisha sana hasa juu ya hii mifumo ya upatu maarufu kama Ponzi schemes(kama sijakosea herufi) binafsi sijawahi kushiriki
Ila naona kama serikali inachelewa sana kutambua haya mambo au inafanya makusudi? au kuna baadhi ya watumishi wa serikali huwa wananufahika nayo Kwa namna fulani? ,hivyo wanazipa gape zinufaike huku wao wakipata chochote kitu behind?
Siituhumu serikali kwamba ni wazembe Ila kuna baadhi ya mambo yanafikirisha kidogo,kwamba haya hawayaoni kweli hao wahusika wanaosimamia? maana tafsiri yake usalama wa wananchi kwa njia ya mtandao ni mdogo na wahusika wanaosimamia ni kama wameshindwa wajibu wao ni kama wameshindwa hilo kusimamia, hii haileti picha mzuri Kwa serikali hivyo nashauri vyombo husika kuwa active na wepesi
Hivi akitokea mtu akamtukana raisi mtandaoni huwa inachukua muda gani kukamatwa kuchukiliwa hata za kinidhamu?
Mbona mambo makubwa kama haya yanayoumiza wananchi yanakuja kugunduliwa too late watu wameshaumia? Na hata yanapogundulika wananchi hawarudishiwi pesa zao?
Nakumbuka DECI,Mr. Kuku na nyingine nyingi pamoja na LBL ,watu wamewekeza weee ndio baadaye serikali inakuja kuingilia kati tatizo nini hasa ..anayeelewa zaidi anieleweshe tafadhali maana inanifikirisha sana
Asante
Ila naona kama serikali inachelewa sana kutambua haya mambo au inafanya makusudi? au kuna baadhi ya watumishi wa serikali huwa wananufahika nayo Kwa namna fulani? ,hivyo wanazipa gape zinufaike huku wao wakipata chochote kitu behind?
Siituhumu serikali kwamba ni wazembe Ila kuna baadhi ya mambo yanafikirisha kidogo,kwamba haya hawayaoni kweli hao wahusika wanaosimamia? maana tafsiri yake usalama wa wananchi kwa njia ya mtandao ni mdogo na wahusika wanaosimamia ni kama wameshindwa wajibu wao ni kama wameshindwa hilo kusimamia, hii haileti picha mzuri Kwa serikali hivyo nashauri vyombo husika kuwa active na wepesi
Hivi akitokea mtu akamtukana raisi mtandaoni huwa inachukua muda gani kukamatwa kuchukiliwa hata za kinidhamu?
Mbona mambo makubwa kama haya yanayoumiza wananchi yanakuja kugunduliwa too late watu wameshaumia? Na hata yanapogundulika wananchi hawarudishiwi pesa zao?
Nakumbuka DECI,Mr. Kuku na nyingine nyingi pamoja na LBL ,watu wamewekeza weee ndio baadaye serikali inakuja kuingilia kati tatizo nini hasa ..anayeelewa zaidi anieleweshe tafadhali maana inanifikirisha sana
Asante