Hata Mimi nimelifikiria sana suala la kufunga Ndoa kanisani Mkuu.
1. Mimi ni Mtoto wa Askofu KKKT.
Na Mzee wangu anewahi kuwa mkuu wa kanisa. KKKT.
2. Utaratibu wa kibiblia na Ndoa wakufungishwa na Taasisi za kidini ni kama DINI/ kanisa limehodhi Mamlaka ya ki Ukoo, kifamilia na kimila.
Lakini kanisa ndio linalowalea Wana ndoa kabla ya ndoa, Wakati wa kufunga ndoa na Baada ya ndoa.
YAANI linawalea kiroho
kuwafunza ndoa
kupata vyeti vya ndoa
Ustawi wa ndoa.
na Suluhisho ya migogoro yote ya kindoa.
FAMILIA, KOO, NA JAMII KWA UJUMLA VIMESHINDWA KUWALEA VIJANA KIMAADILI. HADI KUPELEKEA DINI KUINGILIA KATI SUALA LA NDOA.
3. Kanisa na Dini ya Dunia imejipa Mamlaka ya kitaasisi.
Kutoa mafunzo ya ndoa.
UISLAMU NI MILA ZA KIARABU, SIO DINI WALA TAASISI YA KI UNGU
MAVAZI.
LUGHA.
VylYAKULA.
NA MTINDO WA KIMAISHA.
NI MILA ZA KIARABU