Utaratibu mzima wa kufungia ndoa kanisani ni uhuni tu, kanisa limepora mamlaka yasiyowausu ili kuzitawala ndoa

Utaratibu mzima wa kufungia ndoa kanisani ni uhuni tu, kanisa limepora mamlaka yasiyowausu ili kuzitawala ndoa

Mwafrika ulimwambia ukweli anasema ni ujinga, badala ya kutoa hoja zake ili kufifisha huo ukweli anaishia kusema kwa jazba eti ni ujinga. Ndio maana Wazungu wanatudharau, walituletea dini zao tukakubali kama mazuzu bila kuhoji.
 
Elimu katika dini ya uislam ni pana Sana unaweza kutenga mda na maisha yako yote na bado usifikie kikomo cha elimu. unaweza kumuuliza kitu Mtu na asiwe na majibu kwa vile jambo hilo Hana elimu nalo hivyo haina maana kwamba hoja hiyo haijibiki. Nakuhakikishia hakuna hoja katika uislam ambayo haijibiki.
Ndo mnavyodanganyikaga? Hivi kama ni upana wa elimu ya dini waisrael ndo wangekuwa wakuletetea hilo suala ! Wew upana wa dini zilizoanza kwa migogoro ya madaraka ndo ziwe na upana wa elimu? Hivi ungezaliwa na familia ya kikristu ungetetea dhehebu gani hapa? Je hao Wachina ambao hawataki kutawaliwa na tamaduni za mashariki ya kati unaona walivyo na heshima tena na akili panaa. Toka nje ya boksi
 
Basi kifupi kama unataka kujua ukweli usisite kuwa na nia ya kutaka kujua then uliza hata kwa kuleta Uzi watu wenye elimu wapo utasaidiwa ....sio kwamba watu tuna elimu kubwa ila kweny wengi Kuna mengi dini haswa Uislam ni elimu pan mno Kuna watu wa tarekh ,Sunnah na Hadith na Kuna qur an baba lao so ni mambo ya kujua kila kona.

Ninweza nisiwe vizuri sehemu fulani ila mwingine akakuhelp ...ukiwa tayar unaweza kuleta Uzi ukapata msaada wa elimu .
Mkuu natamani nianzishe uzi niorodheshe ukakasi uliopo kwenye dini mbalimbali ikiwemo uislamu,ukatoliki,usabato,n.k lakini nashikwa na uvivu kwa sababu nina uhakika majibu yatakayotolewa yatasababisha ukakasi zaidi badala ya kunitoa kwenye utata. Labda niunganishwe na waasisi wa hizo dini(kama bado wapo hai). Niwaulize mbele ya waumini wao.

Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
 
Na ndio maana nikaona mapema nioe tu ndoa ya kimila kama kwenye biblia, ukilipia mahari unaondoka na mwenzako, imeisha hivyo !! ni ndpa inayotambulika na serikali kama ndoa za dini na cheti cha ndoa ya kimila mtakipata ofisi ya wilaya bila kero yoyote.

Utaratibu mzima wa kufungia ndoa kanisani ni uhuni tu, kanisa limepoka mamlaka ya wazazi. Ni wazazi na ndugu wa pande mbili pekee wanaoamua aidha kuwe na ndoa ama laaa.

Ndugu na wazazi wa upande mmoja wakikataa hata huko kanisani wachungaji hawawezi kulazimisha hio ndoa sababu wazazi / walezi na ndugu ndio wanaachia baraka kwa wanandoa na sio mchungaji au padre.

Pia kwenye kutengana kanisa linaingia vipi kuwa kama mshauri wakati jambo hilo linapaswa lihusishwe na wazazi na ndugu wa koo pande mbili?

Hakuna mahala popote kwenye biblia ambapo mchungaji alifungisha ndoa.
Kwani umelazimishwa kuoa kanisani?
 
Jamaa kasema uislamu usiingizwe wwe unaonyesha chuki za wazi kwamba huko ndo kabisa wakati wanaongia kweny uislamu ni wengi kitakwimu haswa watu maarufu duniani wanaachana na dini nyingine...kama huko dini fulani tulia huko wala hujalazimishwa.

Swala la hoja inategemea je unataka kueleweshwa au kubishana kama wale wa midahalo wale wanabishana hawataki kuelewa..

Hata mm nimesoma seminar nikiwa mdogo ila nimesoma mafundisho ya ukristo kwa umri ule ningekuwa tayar nishakuwa mkristo ila ni muislamu mpaka leo najua wapi Pana uongo kama ningetaka kubadili dini kwa umri huu ningebadili ila naona uislamu ni haki kule ni dram na story za kutunga.
Siku utakapoamua kuwa mfuasi wa Mungu badala ya kuwa mfuasi wa Dini ndio kidogo lugha zetu zinaweza kulandana lakini Kwa sasa hatuwezi kufikia muafaka.

Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
 
Hata Mimi nimelifikiria sana suala la kufunga Ndoa kanisani Mkuu.

1. Mimi ni Mtoto wa Askofu KKKT.
Na Mzee wangu anewahi kuwa mkuu wa kanisa. KKKT.

2. Utaratibu wa kibiblia na Ndoa wakufungishwa na Taasisi za kidini ni kama DINI/ kanisa limehodhi Mamlaka ya ki Ukoo, kifamilia na kimila.

Lakini kanisa ndio linalowalea Wana ndoa kabla ya ndoa, Wakati wa kufunga ndoa na Baada ya ndoa.

YAANI linawalea kiroho
kuwafunza ndoa
kupata vyeti vya ndoa
Ustawi wa ndoa.
na Suluhisho ya migogoro yote ya kindoa.

FAMILIA, KOO, NA JAMII KWA UJUMLA VIMESHINDWA KUWALEA VIJANA KIMAADILI. HADI KUPELEKEA DINI KUINGILIA KATI SUALA LA NDOA.

3. Kanisa na Dini ya Dunia imejipa Mamlaka ya kitaasisi.
Kutoa mafunzo ya ndoa.

UISLAMU NI MILA ZA KIARABU, SIO DINI WALA TAASISI YA KI UNGU
MAVAZI.
LUGHA.
VylYAKULA.
NA MTINDO WA KIMAISHA.
NI MILA ZA KIARABU
 
Mkuu natamani nianzishe uzi niorodheshe ukakasi uliopo kwenye dini mbalimbali ikiwemo uislamu,ukatoliki,usabato,n.k lakini nashikwa na uvivu kwa sababu nina uhakika majibu yatakayotolewa yatasababisha ukakasi zaidi badala ya kunitoa kwenye utata. Labda niunganishwe na waasisi wa hizo dini(kama bado wapo hai). Niwaulize mbele ya waumini wao.

Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
We ukiwa na nafasi lete Uzi itakuwa ni elimu tosha ...usiwe na wasi .
 
Basi niunganishe na aliyeuleta uislamu nimuulize yeye ili kukata mzizi wa fitna maana kwa utetezi wako huu kila mtu utaona anapwaya. Hafit kujibu hoja zangu. Kila kiongozi wa dini utakuwa unasema hatoshi labda aulizwe mwenye upeo zaidi.

Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
Naona unataka ligi tu nachelea kusema huna hoja za msingi Kama uislam ungekuwa unatetereshwa kwa kushindwa kujibu hoja basi dhahiri usingekuwepo mpaka leo hii tunavyozungumza hivyo hakuna kipya utakachouliza kiwe hakijawahi kuulizwa na kujibiwa.
 
Naona unataka ligi tu nachelea kusema huna hoja za msingi Kama uislam ungekuwa unatetereshwa kwa kushindwa kujibu hoja basi dhahiri usingekuwepo mpaka leo hii tunavyozungumza hivyo hakuna kipya utakachouliza kiwe hakijawahi kuulizwa na kujibiwa.
Kudaka watu utotoni ni miongoni mwa mbinu za kujipatia waumini wa kudumu. Ni ngumu kuchomoka kwenye hicho kitanzi. Waasisi wa hizi dini sio wajinga. Ni watu wenye mikakati madhubuti ya kuhakikisha dini zao zinaishi(hazifi) hata kama wao wanakufa.

Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
 
Naona unataka ligi tu nachelea kusema huna hoja za msingi Kama uislam ungekuwa unatetereshwa kwa kushindwa kujibu hoja basi dhahiri usingekuwepo mpaka leo hii tunavyozungumza hivyo hakuna kipya utakachouliza kiwe hakijawahi kuulizwa na kujibiwa.
Majibu yanayotolewa ndiyo yanazua utata zaidi. Hivyo kujibiwa sio hoja,hoja ni je,hayo majibu yanajibu kweli au yanazua utata zaidi?

Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
 
Kudaka watu utotoni ni miongoni mwa mbinu za kujipatia waumini wa kudumu. Ni ngumu kuchomoka kwenye hicho kitanzi. Waasisi wa hizi dini sio wajinga. Ni watu wenye mikakati madhubuti ya kuhakikisha dini zao zinaishi(hazifi) hata kama wao wanakufa.

Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
Hakuna uhusiano wa kukuzwa kuanzia utoto na kuwa muumini wa kudumu nikwambie kitu ambacho hukifaham ni kwamba kuwa nje ya imani ni rahisi Sana kuliko kudumu katika imani.
 
Hata Mimi nimelifikiria sana suala la kufunga Ndoa kanisani Mkuu.

1. Mimi ni Mtoto wa Askofu KKKT.
Na Mzee wangu anewahi kuwa mkuu wa kanisa. KKKT.

2. Utaratibu wa kibiblia na Ndoa wakufungishwa na Taasisi za kidini ni kama DINI/ kanisa limehodhi Mamlaka ya ki Ukoo, kifamilia na kimila.

Lakini kanisa ndio linalowalea Wana ndoa kabla ya ndoa, Wakati wa kufunga ndoa na Baada ya ndoa.

YAANI linawalea kiroho
kuwafunza ndoa
kupata vyeti vya ndoa
Ustawi wa ndoa.
na Suluhisho ya migogoro yote ya kindoa.

FAMILIA, KOO, NA JAMII KWA UJUMLA VIMESHINDWA KUWALEA VIJANA KIMAADILI. HADI KUPELEKEA DINI KUINGILIA KATI SUALA LA NDOA.

3. Kanisa na Dini ya Dunia imejipa Mamlaka ya kitaasisi.
Kutoa mafunzo ya ndoa.

UISLAMU NI MILA ZA KIARABU, SIO DINI WALA TAASISI YA KI UNGU
MAVAZI.
LUGHA.
VylYAKULA.
NA MTINDO WA KIMAISHA.
NI MILA ZA KIARABU
Kama kanisa halijakulazimisha kufunga ndoa kanisani, malalamiko yoyote dhidi ya kanisa ni malalamiko yasiyo na mantiki.

Kwa sababu unalalamikia kitu ambacho hujalazimishwa kufanya.

Unalalamikia pilipili, wakati meza ina vyakula kibao ambavyo havina pilipili.Unaruhusiwa kula.

Kwa nini unalalamikia pilipili ambayo hujalazimishwa kula?

Kwani usipokula pilipili ukaamua kula vyakula vingine utakufa?
 
Eti alichounganisha Mungu asitenganishe binadamu! Binadamu si ndio aliounganisha? Je ikigundulika mmoja ni mchawi tuendelee tu bila talaka? Mimi napiga chini naenda kwenye ndoa ya serikali.
 
Back
Top Bottom