Shika kwanza adabu yako. Udogo huo unaongelea ni wa size ya kiatu au size ya kiuno cha suruali. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]itakuw ww bado mdogo na huhawahi staajabu ya musa hayo ya firauni si utakufa kbsa.
Amina ... Amina mkuu. Ni jukumu letu kunyoosha jamii hata kwa nguvu ikibidi. Ni jukumu letu.Mkuu.. nikushukuru tu kuja kunyoosha huu uzi.. M/MUNGU akubariki tu na sio kingine mkuu ubarikiwe na Asante
vyotevyote tu. na ulivokuwa mkali inachangia.😁😁😁Shika kwanza adabu yako. Udogo huo unaongelea ni wa size ya kiatu au size ya kiuno cha suruali. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Say that again young lady.OUR KIDS ARE OUR EVERYTHING INDEED
Inategemea umezaa na nani fisadi we.Our kids... afu kulea hamuwezi!?
Kwa muda mrefu wanaume wamekuwa wakisemwa na kulaumiwa kuwa ni wanyanyasaji na watesi kwa wanawake. Hii imepelekea malalamiko haya kukaa vichwani mwa mabinti na kuamini kuwa hata wanapokosea ni mwanaume ndie chanzo bila hata ya ushahidi.Wnawake wachache siku hizi ndio hulea watoto,watoto wengi hulea na mabeki tatu au bibi wenyewe kazi yao ni kupwiyanga na kuzurula. Halafu unaninyima mimi kumlea mtoto ambaye kishavuka miaka saba then,unamuamini baba wa kambo tena mtoto wenyewe wa kike.
Sio kina mama wote wapo ivo,hiyo unayosemea ni baadhi tu,wa mama wengi ni wenye mapenzi na watoto wao.mwanamme akipewa mtoti wake alee,lazima ataomba msaada kwa mama yake,dada ake au mfanya kazi wa ndani,sasa hao unaawaamini zaidi kwa mwanao kuliko mzazi alomzaa??Aaaah hapana. Mapenzi ndio nini....?!
Mapenzi ya kumpost Instagram ili upate likes, ila nyuma ya pazia mtoto unafeli kumtrain aje kuwa mtu wa kueleweka?!
Siku hizi wanawake mtoto anatimiza hadi miaka mitatu bado mnavalisha diapers, mtoto hajui hata kusema poti liko wapi ajiongeze.
Mtoto anakuwa na adabu mbovu, inamwita anajibu "sitaki" ukifuatilia unagundua mama ndie ulimfunza hiyo tabia ya kujibu shoti tokea utoto wake akiwa kichanga.
Kuna mengi mnakosea siku mkianza kukaa sawa mtaona kama hizi lawama zitakuwa tena mitandaoni
Mchezo wa kipumbavu sana huu. Mwanamke kama huyo anatakiwa kuwekwa jela hata miaka kumi akitoka awe amenyooka akome kucheza na akili za watu.Of a very recently kuna jamaa mkewe ameamua kuondoka walipokuwa wanaishi na mumewe baada ya mke kufahamu kuwa mume wake amezaa na mchepuko ambae alikuwa akiwastukia uhusiano wao tangu mwanzoni mwa ndoa yao na wakajifanya kukataa kuwa na uhusiano baina yao lakini kila mara alikuwa akikuta mawasiliano kati yao ya yule mwanamke kumuomba hela na Miamala kutumwa kwa yule mwanamke.
Ndoa ina Miaka takribani 10.
Mwanamke anawekwa mjini na huyo mwanaume maana hana kazi yoyote hata ya kumuingizia shilingi 100.
Mke kasema hawezi kuishi ukewenza na mchepuko mwenyewe mchawi amekuwa akiwaroga mume na mke kwa miaka mingi.
Mke ameondoka amemwambia nawapisha muishi na mchepuko wako maana nilikuwa nawabana mnakosa Uhuru sasa kuweni huru mjiachie. [emoji3]
Sasa kumbe yule mchepuko mtoto amewapa wababa 3 mtoto huyo mmoja.
Mke kasema anaomba Mungu amfunulie mtalaka wake ajue jinsi alivyoingizwa mkenge na huyo kahaba wa jiji.
Sasa mwanamke kama huyo unazani atakubali kumpa mtoto baba mojawapo kati ya hao watatu?
Atawaambia nini hao wengine wawili?
Na wote watatu anapokea matunzo ya mtoto!
Anajifanya mtoto Mdogo ana miaka 2 mpaka afikishe miaka 7 hiyo sababu ni ya kuwapa mtoto wanaume watatu .
Na hata mtoto akifikisha miaka 7 Ata tafuta kimsingizio kingine sababu anachokifanya anakijua.
Kupiga picha na mtoto ili kupata likes.Huu ndio ukweli japo ni mchungu. Wanawake wengi wa kizazi hiki hawawez malezi ya watoto ziad ya kujionesha mitandaoni kuwa wana watoto wakishua
Eeh..watajua hawajui... Shwain kabisaa!! Kama sijui kulea angeonekana hata kwenye hiyo picha?Kupiga picha na mtoto ili kupata likes.
Kumhudumia ni swala moja. Malezi ya maadili ni jambo jingine. Unaona kama akina shilole, kajala, auntie Ezekiel, etc hawa watoto wao wanakula vizuri na wanavaa na kusomeshwa ila yale malezi ni mwanaume mpumbavu tu atakubali mtoto wake apitie hata kama mama mtu atang'ang'ania.Kusema kweli mkuu mim siwezi kumuacha mtoto angu aende kuishi kwa baba ake.......ni bora nipambane mwenyewe kuhakikisha mtoto angu anapata huduma zote muhimu......Sasa hapo ndo baba ajiongeze kua anakuja kumtizama yeye mwenyewe akishindwa imekula kwake[emoji41][emoji41]
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Kama Baba ni kapuku mnampotezea au aki RIP ndio mnapata akili ya kulea.Inategemea umezaa na nani fisadi we.
Sasa mkuu maswala mingine awajibike Nani mfano vifaa vya shule na nguo zakawaida ?Mtoto kuanzia miaka 9-11 anaruhusiwa kuishi mbali na mama yake, kisheria kumuhudumia mtoto kila mwezi ni debe moja la mahindi na pesa 20000 elfu ,yaani ww baba unatakiwa utoe debe moja la mahindi na pesa taslim sh elfu ishirini, hapo umefuata taratibu za kiselikali, kuhusu huduma ya afya kuna ile bima ya 30 eflu ambayo haitoki nje ya mkoa nenda kamkatie .baba ndio anatakiwa atoe mtunzo ya mtoto mama anamuhumia kumfulia kumpikia nk. Kingine mwambie huyo mwanamke asilalalmike na kuchukua hiyo kama njia ya kipato mmbadala ashukuru kwa kuitwa mama baada ya kuzaa huyo mtoto
Ningesema wanawake wote ningemaanisha hata mama yangu yumo humo.
Hapa ndio nipo stationary naongea najamaa aiprint iwekwe kwenye frame ili vizazi vijavyo viikute pale makumbusho. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tangu niingie hili jukwaa sijawahi nakukutana na comment Bora kama hii yako hongera Sana mzee baba inaatahili ifanyiwe lamination mzee baba umepiga kunako
Eti hebu ona kama yule dada ukikuta analia unaweza sema ni mtu yupo sawa sawa kiakili.Imenikumbusha Faiza na Jongwe
Mtu mlikutana mwezi uliopita unasikia sms, nina ujauzito wako. Ukiuliza wa tokea lini anakwambia una mwezi na wiki kadhaa. Khaaaaaaaaaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anaejua
Kalenda ya siku za uzazi ni mwanamke, hivyo mimba ikitokea ni mwanamke amependa kwa kuitegesha makusudi au kwa uzembe wa kutokujijali ambapo vyote havifai.
Raha ya mimba ni ridhaa ya Mwanaume na mwanamke mkubaliane kuwa mnahitaji
Mtoto.
Actually hiyo hupelekea hata mtoto atakayezaliwa kukubalika na kufanikiwa maishani zaidi ya wale ambao wamejikuta wamezaliwa tu bila wazazi kukubaliana .
Na hiyo siyo kwa michepuko tu lakini hata ndani ya ndoa ni vizuri kupanga na kukubaliana kuzaa kwa kila mtoto, inamaana kubwa sana.
Sasa mtoto anatakiwa kula nini kiafya wadhani, baga?!Buku mbili ya mboga gani au unamaanisha mboga za majani?
Una shilingi ngapi kwenye account yako. Kama our kids is our everything ungeanza kwa kuwaheshimu kwa kuwajengea mazingira ya familia bora ili waje kufurahia dunia.OUR KIDS ARE OUR EVERYTHING INDEED
Hakunaga mwanaume asikuwa na ufahari katika kulea mtoto wake. Shida inaanza na misotojo yenu isiyo na mbele wala nyuma.Ndo maana wengine tunawabadilisha watoto wetu tu ubini ili tujue moja kuwa baba hahusiki kwa sababu mnaona siyo haki yenu kutunza watoto ambao ni mbegu zenu.
As long as wewe ni BABA, ni jukumu lako kulea mwanao bila kuhoji unless hali yako ya uchumi iwe hairuhusu then ndo ulazima unakuja hapo wa kusaidiana.
Just bcoz mama anakaa na mtoto wenu, unadhani hajipindi mgongo na kujibana ili mtoto apate kila anachokitaka? Ila nyie wanaume suruali mkikumbushwa tu majukumu mnaanza malalamiko.
SHAME ON YOU.