- Thread starter
- #21
Kwahiyo ukikuta amefurahi sana siku hiyo anakutoza 30%, akiwa amenuna sana au akiona umevaa jezi ya timu ambayo haipendi anakutandika 50%, sio?Kwa sasa iko wazi ni kati ya asilimia 30% hadi 50%
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo ukikuta amefurahi sana siku hiyo anakutoza 30%, akiwa amenuna sana au akiona umevaa jezi ya timu ambayo haipendi anakutandika 50%, sio?Kwa sasa iko wazi ni kati ya asilimia 30% hadi 50%
Sawa mkuu.Ukiwa na mzigo wa dola nyingi toka china usisite kunitumia nikuagizie, Naelewa nini cha kufanya.
Karibu: Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa
Swala la msingi ni unapoagiza mzigo toka nje ya nchi uwe tayari kulipia kodi.Kwahiyo ukikuta amefurahi sana siku hiyo anakutoza 30%, akiwa amenuna sana au akiona umevaa jezi ya timu ambayo haipendi anakutandika 50%, sio?
Pata jibu la uhakika kupitia namba ya POSTA uliyowasiliana nayo awali.Pia mkuu nina swali, kuna deadline ya kufuata mzigo wangu POSTA?
Mkuu ni posta ya Dar sindio, make hapa Mwanza waliwai nipa majibu haya, mizigo midogo yote kutoka nje ya Nchi haikatwi kodi ya aina yoyote, nkawaambia nikiwa Dodoma nimewai kuombwa kodi, wakanambia ulipigwa.Sawa mkuu.
Pia mkuu nina swali, kuna deadline ya kufuata mzigo wangu POSTA?
Maana nafikiria kuwaachia tu kwasasa waendelee kukaa nao, halafu niufuate mwakani.
Wala sio rushwa, ni sheria mbovu za kodi ambazo zinatungwa bungeni na wabunge wetu, Tra wao ni wasimamizi tu wa hizo sheria.Harufu ya rushwa, nenda kawaone uwape kitu kidogo
Kisheria Tra wanatakiwa kuwepo popoote mizigo inaposhushwa, sema huko mikoani watu wana enjoy maana posta za huko hazina maafisa wa Tra wanaofanya assessment.Mkuu ni posta ya Dar sindio, make hapa Mwanza waliwai nipa majibu haya, mizigo midogo yote kutoka nje ya Nchi haikatwi kodi ya aina yoyote, nkawaambia nikiwa Dodoma nimewai kuombwa kodi, wakanambia ulipigwa.
Malalamiko mengi ya kukatwa kodi nimeyaona humu jukwaani kwa watumiaji kutoka Dar.
Walikuwepo mkuu muda huo ana nambia walikua wanaskilizia tu.Kisheria Tra wanatakiwa kuwepo popoote mizigo inaposhushwa, sema huko mikoani watu wana enjoy maana posta za huko hazina maafisa wa Tra wanaofanya assessment.
Ali express inawezekana kupunguza invoice ila hicho kitu kisiwe maarufu., ila sellers wa us hawakubali huo ujinga, ulicholipa wanaandika kwenye invoice.Njia nyingine mwambie seller akutumie invoice ya uongo ili ukakabane nao, kama ni AliExpress ndo wazoefu wa hizi kazi.
Wakaa Daslam taabu mnayo na jiji lenu, wajuaji wengi.Kisheria Tra wanatakiwa kuwepo popoote mizigo inaposhushwa, sema huko mikoani watu wana enjoy maana posta za huko hazina maafisa wa Tra wanaofanya assessment.
Wataurudisha ulipotoka na siku hizi posta pia kuna storage. The max wanaeza kukaa na mzigo wako ni mwezi mmojaSawa mkuu.
Pia mkuu nina swali, kuna deadline ya kufuata mzigo wangu POSTA?
Maana nafikiria kuwaachia tu kwasasa waendelee kukaa nao, halafu niufuate mwakani.
Sasa usiombe mzigo upitie Dhl, utajua hujui.Wakaa Daslam taabu mnayo na jiji lenu, wajuaji wengi.
Niliagizax kitu cha 270K hivi, seller kwenye package bila hata kumwambia aliandika mzigo ni wa $27 nilipo muomba invoice akanipa 2, moja ya 27 na nyingine bei ya kweli.Ali express inawezekana kupunguza invoice ila hicho kitu kisiwe maarufu., ila sellers wa us hawakubali huo ujinga, ulicholipa wanaandika kwenye invoice.
Me nipo mkoa wa Pwani, lakini mzigo wangu umezuiwa Dar, wameniambia huku nilipo hakuna wakaguzi wa TRA, hivyo natakiwa nifuate mzigo wangu Dar.Mkuu ni posta ya Dar sindio, make hapa Mwanza waliwai nipa majibu haya, mizigo midogo yote kutoka nje ya Nchi haikatwi kodi ya aina yoyote, nkawaambia nikiwa Dodoma nimewai kuombwa kodi, wakanambia ulipigwa.
Malalamiko mengi ya kukatwa kodi nimeyaona humu jukwaani kwa watumiaji kutoka Dar.
Hao ni mashetani Earbud ya dola 2, kutoka china Dhl wanataka laki na nusu😆😆Sasa usiombe mzigo upitie Dhl, utajua hujui.
Du! Usikate tamaa kuagiza next time agiza kwa kutumia mkoa wako, mi gu nikiona hata hapa posta za town kuna nongwa, Adress najaza ya Bugando make kuna katawi ka Posta, pale muhudumu ni mmoja so hata kama kuna lolote ni rahisi kuyajenga.Nipo nipo mkoa wa Pwani, lakini mzigo wangu umezuiwa Dar, wameniambia huku nilipo hakuna wakaguzi wa TRA, hivyo natakiwa nifuate mzigo wangu Dar.
Ungekuwa upo mikoa ya mbali ungeupata mzigo wako bila kukutana na Tra, pwani ni karibu na mjini ndo maana wanakutingisha,Nipo nipo mkoa wa Pwani, lakini mzigo wangu umezuiwa Dar, wameniambia huku nilipo hakuna wakaguzi wa TRA, hivyo natakiwa nifuate mzigo wangu Dar.
Mkuu, nimeagiza kwa kutumia taarifa za mkoa wangu, mkoa wa Pwani, lakini mzigo umezuiliwa Dar.Du! Usikate tamaa kuagiza next time agiza kwa kutumia mkoa wako, mi gu nikiona hata hapa posta za town kuna nongwa, Adress najaza ya Bugando make kuna katawi ka Posta, pale muhudumu ni mmoja so hata kama kuna lolote ni rahisi kuyajenga.
Nilowahi kulipa 167000 kwa earbud, jaama wa ebay alizituma dhl, toka hapo nipo makini sana.Hao ni mashetani Earbud ya dola 2, kutoka china Dhl wanataka laki na nusu😆😆