t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 7,035
- 16,705
Ndio sheria za posta zinavyosema huwezi chukua mzigo kwenye posta isiyo karibu nawe,Kwahiyo niende POSTA iliyopo eneo langu, wao watafanya mawasiliano na POSTA ya Dar ili mzigo wangu utumwe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio sheria za posta zinavyosema huwezi chukua mzigo kwenye posta isiyo karibu nawe,Kwahiyo niende POSTA iliyopo eneo langu, wao watafanya mawasiliano na POSTA ya Dar ili mzigo wangu utumwe?
Silent Ocean ndiye mkomboziUkiwa na mzigo wa dola nyingi toka china usisite kunitumia nikuagizie, Naelewa nini cha kufanya.
Karibu: Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa
Sawa mkuu, asante kwa ushauri.Ndio sheria za posta zinavyosema huwezi chukua mzigo kwenye posta isiyo karibu nawe,
Inaondoka na kibubu choteMkuu, mbona ukisoma taratibu uzi wangu utaelewa sababu ya mimi kuuliza kabla sijakwenda.
Anyways, tufanye nimefunga safari nimeenda kufuata mzigo. Kumbuka nipo nje ya mji, sipo Dar es Salaam. Nafika Posta kwenye wallet yangu kuna 40000, nafika pale ninaambiwa nilipie kodi 60000. Unadhani itakuwa sawa mimi kurudi ninapoishi kufuata pesa iliyopungua kisha nifunge tena safari nikachukue mzigo wangu?
Hawa jamaa Wana office dar pekee hawajui mikoani pia Kuna uhitaji?Silent Ocean ndiye mkombozi
Huko hakuna biashara. Wafuate ndugu yanguKwanini
Hawa jamaa Wana office dar pekee hawajui mikoani pia Kuna uhitaji?